pretypriceless
Member
- Dec 29, 2016
- 45
- 47
Huyo sio mwanaume muaminifu, kwanini afiche simu? Anajua yaliyopo humo ndani sio kwa faida yenu wote... kwenye ndoa mbona ndo utaomba poo sasa kama usipotafuta ufumbuzi saiv
Inabid! Mtuvumile bhana ruksa kushikana ila kushikiana cm! Iwe for goodwillSometimes yes, sometimes no mnajitetea tu
asante mkuuHuyo sio mwanaume muaminifu, kwanini afiche simu? Anajua yaliyopo humo ndani sio kwa faida yenu wote... kwenye ndoa mbona ndo utaomba poo sasa kama usipotafuta ufumbuzi saiv
Na mawasiliano omba vocha nikusaidie.sio kukurupuka utakufa na presha bureSimu yangu haikuhusu.kama inashida
Inaonekana hukuwa na taarifa ya msiba wala nini maana kwa mtu anayejiheshimu hawezi kunyakua simu yako, bali huomba.Habari za leo wanajamvi,
Jamani leo nimestaajabu. Nikiwa nimetolewa dinner na shemeji yenu mtarajiwa huku tukibadilishana mawazo ya hapa na pale nikapata simu ya msiba sasa kwa kuwa sina salio la kutosha nikasema nichukue simu ya shem wenu ili nipate kujua zaidi juu ya msiba.
Lakini mwenzenu ile nimeshika simu tuu nikashangaa ghafla nimevutwa mkono yani mkono umenyongorotwa kidogo nitoe damu. Ile nataka kukimbia nayo nikavutwa mpaka mkono kidogo nivunjike. Hivi jamani wanaume mna nini ni vitu gani au siri zipi ambazo hampendi zijulikane.
Naombeni kujuzwa
Na nyie mkifanyiwa ivo msing'ake sasaNa mawasiliano omba vocha nikusaidie.sio kukurupuka utakufa na presha bure
Inaonekana hukuwa na taarifa ya msiba wala nini maana kwa mtu anayejiheshimu hawezi kunyakua simu yako, bali huomba.

Mkuu naye huyo mmoja ni lazima atakuwa na simu nyingine ambayo mke/mpnz anakuwa haijui, anayoijua ndo anamwachia acheze nayo. Chezea timu wanaumeWanaume wote ukisema huyu hafai utatafuta sana hawapo wakutumia simu pamoja mmoja kwa mia.
sI ni mpenzi wanguWe kwani umeona hiyo simu ya mezani.
Ata kama ya mpenzi wako ndio mama kila MTU anasimu yake,kuishika bila ruhusa mpaka uwe na kibali toka ikulusI ni mpenzi wangu
Ata kama ya mpenzi wako ndio mama kila MTU anasimu yake,kuishika bila ruhusa mpaka uwe na kibali toka ikulu

Simu ya huyo "shemeji yetu" alikunyang'anya kwa kuwa ina picha zake Enzi akiwa mtoto mdogo hivyo alihisi utakuwa unamtania: hahahahahahahhahha:
