iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Mimi natumia 5s usiposhusha sauti hata bila loud speaker wa pembeni yako anasikia maongezi yote

Mkuu..baada ya ku google nmeona wadau wanasema iphone 5s hazina matatizo hayo.
 
Wakuu iv nawezaje kutuma audio wasap pamoja na kudownload nyimbo?
 
Wakuu iphone 6 plus yangu imepotea katika mazingira ya kutatanisha
Rangi ya Gold na ina crack kwenye screen
Ni ngumu kuitumia sababu ina password kabla hujaingia

Kwa vyovyote itakua imejilock kwa icloud

So please kama kuna mtu atakutana na iphone 6 plus inacrack nyingi kwenye kioo inauzwa na ina icloud lock naomba anisaidie kunijuza hata kwa pm....... Tafadhali
Zawadi nono itatolewa
Nenda kupatana, search iphone 6 nahisi nmeiona leo kwenye zinazouzwa
 
a1d69de1be324678ca298bf87a76f3e0.jpg


Niliwasiliana na Apple nikajibiwa hivyo

Hao Elite ni mafundi tu nami nimesha fanya nao kazi sio authorized
Mkuu kuna tofauti gani ?
Apple authorized dealer wapo dsm.
Labda sijajua unachokitafuta.
Shoppers plaza masaki wapo mcity.
Mafundi authorized pia wapo hata hapo mikocheni tu.
??
Ww unatafuta nini labda?
Kama ligi tu hapo sawa.
 
Mkuu kuna tofauti gani ?
Apple authorized dealer wapo dsm.
Labda sijajua unachokitafuta.
Shoppers plaza masaki wapo mcity.
Mafundi authorized pia wapo hata hapo mikocheni tu.
??
Ww unatafuta nini labda?
Kama ligi tu hapo sawa.

Wabongo tuache uvivu wa kufuatilia mambo hata wewe ukiwa na mtaji ukaamua ku deal na bidhaa Za apple nawe tukuite ni authorised? Sio kila mtu aneyeuza bidhaa au aneyefanya service flan ni authorised.

Kama hao jamaa ni authorised lazima watambulike na Apple sasa ukiwauliza Apple wenyewe wanakuambia tanzania hakuna. Tusitishwe na mabango yao.

Hao unaowaita authorised waulize kama Wanaweza kurekebisha Touch ID ifanye kazi baada ya kubadilisha home button
 
Jamani msaada, nina Iphone 6s imepoteza personal hotspot. Siioni kwenye settings ila nilikua naitumia. Kwa anayejua namna ya kuirudisha
 
Jamani msaada, nina Iphone 6s imepoteza personal hotspot. Siioni kwenye settings ila nilikua naitumia. Kwa anayejua namna ya kuirudisha
Au umebadilisha line, maana mie yalinikuta baada ya kuweka line ya Hallotel personal hotspot ikapotea nikiweka line zingine inaonekana, embu wataalamu waje watutatulie tatizo
 
Nenda kwneye Cellular data
Halafu Cellular data network halafu
Unashuka mpaka kwenye personal hotspot
Weka settings km inavyoonekana hapo
43106da0ba1062c0e7d327862de70383.jpg
 
Back
Top Bottom