Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,084
- 122,429
Ndio nionavyo hata mimi ila hakuna hata cha kumfanya atake ushauri wakati majibu yako wazi.Muomba ushauri hajielewi. Yaani hajui nini anataka
Ndio nionavyo hata mimi ila hakuna hata cha kumfanya atake ushauri wakati majibu yako wazi.Muomba ushauri hajielewi. Yaani hajui nini anataka
Tatizo hajataka kujiongezaHiyo pesa si bora ununue dagaa mle na mkeo.
Utamfungulia saluni wewe kama nan!? Huku mumewe akiwa wap!?.
Acha hizo bro
Kabisa hela yenyewe ngumu balaa.Ahadi ni deni ila huu ni usawa wa ngosha...
Hiyo hela bora usaidie wagonjwa ocean road

Rudisha avatar ileile, naipenda sanaahadi ni deni hakuna namna mpe tu ata kama ni mke wa mtu
aisee imebidi tu niirudishe we sijui n mtu wa ngap unataka nirudisheRudisha avatar ileile, naipenda sana
Boraaisee imebidi tu niirudishe we sijui n mtu wa ngap unataka nirudishe
Mkuu kumbuku aliahidi lakini! Na ahadi ni deni!Isikuhangaishe
Huyo ni mke mtu haihitaji akili ya kiwango cha lami kujua kama kumtimizia mahitaji yake ni kosa au si kosa.
Achana naye tena kuwa na msimamo usije haribu ndoa ya mtu
Mmh emmyta na ww piaBora
Shunie ata mieMmh emmyta na ww pia

Usijaribu wewe ameshakuwa mke wa mtu. We usimfikirie yeye tu, jaribu kufikiri jamaa yake akijua.Habari zenu wana wa MMU!!! Kwa heshima kubwa, naombeni msaada wa mawazo.
Mimi ni mume wa mtu. Ila kabla sijaoa nilikuwa na mpenzi ambaye nilidumu nae kwa takribani miaka 4, lakini bahati haikuwa yetu, hatukuweza kuoana.
Nilipomueleza kuwa naoa mwanamke mwingine, aliumia sana na alilia sana. Katika kupooza, nilimpa ahadi kuwa sitamuacha hivi hivi. Nikamwambia achague, nimfanyie nini? Yeye akachagua, nimfungulie saluni ya kike, na baada ya kufanya quotation tukabaini kuwa shilingi milioni 2 zingetosha. Mimi kiasi hicho cha pesa, ninakimudu.
UGUMU UNAANZIA HAPA.
Huyu dada (mpenzi wa zamani), alipata mwanaume akaolewa kwa ndoa kabisa. Baada ya ndoa yake, amekuwa akinipigia mara kwa mara, na mara zote anaulizia ahadi yangu kwake (kumfungulia saluni).
Kila nikimueleza kuwa, wewe sasa ni mke wa mtu nitakufunguliaje saluni? Hanielewi. Na amekuwa akinifuata, hadi kazini kwangu.
NIFANYAJE? Ni kweli niliahidi, na nilikuwa na nia hiyo. Ila, kwa sasa ni mke wa mtu. Ni hatari kwa mustakabali wa maisha ya ndoa yake na kwangu pia
Nipo mkuu !Kabisa hela yenyewe ngumu balaa.
Hivi umejifichia wapi aisee?
Vaa uhusika wa huyo mwanaume..!ahadi ni deni hakuna namna mpe tu ata kama ni mke wa mtu


