Recent content by phc girl

  1. phc girl

    Mtaje Mwalimu aliyekusaidia na Hutomsahau

    Daah teacher ryoba from makongo,advanced mathematica,barikiwa sana
  2. phc girl

    Nashukuru (HESLB) kuninyima mkopo mmenifunza maisha

    Amina kaka mimi pia nimekosa ila nimepata akila ya kuwauzia vitu wenye mikopo, Mungu ndiye atajua,hamna sababu ya kukata tamaa
  3. phc girl

    Serikali ya awamu ya 5 imezidi kutuonea kuhusu swala la mkopo

    Mimi natamani kulia lakini sina jinsi
  4. phc girl

    Sina imani na NECTA kwa upande wa Private Candidate!

    Wakati mwingine kujiamini kupita kiasi siyo nzuri
  5. phc girl

    HESLB mbona hawaeleweki sasa

    Yani Mimi nawasubiri maana walisema in Jana sasa cjui imekuwaje
  6. phc girl

    Nakumbuka Mitihani yetu ya Darasa la Saba ilikuwa inaanza ivi

    Hahaha na maumbo kutafuta mzingo[emoji3] [emoji3]
  7. phc girl

    Hussein Pambakali kizimbani kwa utapeli wa 75ml

    Sidhani kama ndo huyo ambaye yupo kwenye list ya makonda
  8. phc girl

    Mjadala Maalum: Wanaosaka ajira nje ya Tanzania

    Bariki wa elimu nzuri
  9. phc girl

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Mimi napenda kufuga kuku ila kila nikifuga wanakufa,kwann au nakosea namna ya kufuga
  10. phc girl

    Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

    Jamani Mimi naona makonda anganza na wahusika wakuu ambao kuna ingiza madawa ili kuwanusuru vijana wenzetu
Back
Top Bottom