Daah! Tunatofautiana mengi sana watanzania na wakenya aisee,,, wakenya vitu mnavyovipenda na kuvishobokea huku kwetu watu hawana habari nazo. Mtu unaona ufahari kura kuku wa mtumba KFC kwa tsh 20k wakati hichohicho kiasi nikienda sokoni nanunua kuku wakinyeji Safi kabisaa nakula na familia pia
Please guys hebu acheni kueneza ukabila, Bora uchangie hoja Kama huna baki kusoma comment ujifunze kitu kuliko huu upuuzi unaofanya
Sent from my TECNO CD6j using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.