OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,065
Vip wachimbaji munaendeleaje na machimbo?
Me nipo huku Dutwa bariadi, madini yapo ila shida ni maji mengi, watu tunaogopa kuzika mitaji.Ndo kwanza nimepata sample ya point 2 kirova na hii ni baada ya miezi 14
Dutwa nilikuja kipindi pamefoka, nikaona hapaeleweki nikasepa.Me nipo huku Dutwa bariadi, madini yapo ila shida ni maji mengi, watu tunaogopa kuzika mitaji.
Dutwa namba moja ndo pakijinga, namba mbili dhahabu ipo ila inenda inapungua.Dutwa nilikuja kipindi pamefoka, nikaona hapaeleweki nikasepa.
Huku nilipo maji ni mengi ila umeme upo karibu hivo hatuteseki
Dutwa nmezka 47 mln marudio ya hapo ni matatzo nduguDutwa namba moja ndo pakijinga, namba mbili dhahabu ipo ila inenda inapungua.
Dutwa namba moja, inataka kubinafsishwa kwa mchina(ipo on process), maana Raia wa kawaida hawapawezi maji ni mengi ku-run duara ni pesa ndefu.
Mkuu wewe upo wapi?
Musoma vijijiniDutwa namba moja ndo pakijinga, namba mbili dhahabu ipo ila inenda inapungua.
Dutwa namba moja, inataka kubinafsishwa kwa mchina(ipo on process), maana Raia wa kawaida hawapawezi maji ni mengi ku-run duara ni pesa ndefu.
Mkuu wewe upo wapi?
Unaloga lakini??Ndo kwanza nimepata sample ya point 2 kirova na hii ni baada ya miezi 14
Hiyo ni PIEUnaloga lakini??
Kuna watu wanadhani dhahabu ni mchezomchezo, dhahabu ni kuloga hasa ila watu wakifika humu jF utasikia "chamsingi ni juhudi"Unaloga lakini??
Upande wa kiza unadai majini ndio yaliyoficha ivi vito vya thamani na wao ndio wanajua uelekeo wa kuvipata bila kumwaga damu msio na mitaji hamtoboiKuna watu wanadhani dhahabu ni mchezomchezo, dhahabu ni kuloga hasa ila watu wakifika humu jF utasikia "chamsingi ni juhudi"
Unachimba na mwenzako maduara yaliyo jirani kwamba mmoja,mwenzako anaepata wewe unapata mawe hayana hata chabo. Hela haijawahi kuwa nyepesi.Upande wa kiza unadai majini ndio yaliyoficha ivi vito vya thamani na wao ndio wanajua uelekeo wa kuvipata bila kumwaga damu msio na mitaji hamtoboi
Dhahabu unayo huko PM sio?😂Nani aje PM nmpe dhahabu
Nilishaambiwa kama unataka kwenda huko njoo nikutengeneze kwanza moja kwa moja nikajua hii ngoma ni ngumuUnachimba na mwenzako maduara yaliyo jirani kwamba mmoja,mwenzako anaepata wewe unapata mawe hayana hata chabo. Hela haijawahi kuwa nyepesi.
Unanunu mawe na mwenzako, unachukua mifuko ishirini unapata gram 5, mwenzako ananunua palepale mifuko kumi anapata gram 20.
Ukakimbilia wapi ambako ngoma sio ngumu?Nilishaambiwa kama unataka kwenda huko njoo nikutengeneze kwanza moja kwa moja nikajua hii ngoma ni ngumu