Hili tatizo limeota mizizi katika familia nimekuwa nikishuhudia ndugu zangu wakike hawaolewi na wakiolewa ndoa hazidumu. Nafikiri labda mizimu ya ukoo imekasirika au vipi lakini sio jambo la kawaida.
Nimejaribu kuunganisha doti maana babu alimuoa bibi akiwa na miaka 70+ huko na baada ya ndoa...
Zamalek waipa vitisho shirikisho la soka barani afrika CAF kama watahidhinisha Al Ahly fc kushiriki mashindano ya klablu bingwa afrika mara baada ya kuwepo kwa taarifa ya kutaka kuongeza timu shiriki.
Ikumbukwe Al Ahly ameangukia katika michuano ya shirikisho ya CAF mara baada ya kufanya vibaya...
Staa wa Real Madril na Brazil, Vinícius Jr adaiwa kufanyiwa upasuaji wa kurekebisha umbo la kidevu (chin harmonization) nchini Brazil, kwa mujibu wa TMC Esporte.
Katika picha hii ni muonekano wa zamani kabla hajafanyiwa surgery
Na hizi ni picha za kwanza baada ya kufanyiwa upasuaji huo.
Baadhi ya sehemu wazee wanapitia changamoto mbalimbali kutokana na kukosekana uangalizi wa karibu unaosababishwa na ubize wa maisha katika jamii na kupelekea upweke na kutengwa kwao.
Kuna haja ya kuwa na makazi maalumu ya wazee katika kila mkoa ili kuweza kuwahudumia kwa karibu na kunufaika na...
Mzazi unajukumu la kushauri tu katika mahusiano ya mtoto wako sio kumpangia nani aoe au nani hasioe kadhalika na upande wa kuolewa.
Sio wewe ndio kuwa kifua mbele fulani simtaki oooh ukiwa nae mimi sio mama yako au mimi sio baba yako,nadhani uko upstairs hauko sawa.
WAZAZI you better watch...
Wanawake mnao tazama mechi mbalimbali za mpira wa miguu mnafurahia au mnafuata mkumbo labda kwasababu mpenzi,rafiki,kaka au wazazi wako ni shabiki wa timu fulani.
Kipi au nani akilikuvutia kushabikia timu unayoipenda?
Bondia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Roméo "Bololo" Katompa, ameripotiwa kufariki dunia usiku wa kuamkia Julai 17, 2026 jijini Johannesburg, Afrika Kusini.
Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya DRC, Katompa anadaiwa kuchomwa moto akiwa hai katika tukio lililotokea jijini humo. Baadhi...
God forbid.
Imagine mtu kafanya kazi miaka kibao kwa jasho na damu na kuwa na malengo kadha wa kadha ya kuboresha maisha yake zaidi mara baada ya kustaafu.
Kwa kujenga nyumba ya ndoto yake au kufungua biashara au vyovyote vile si pesa yake bwana, wewe unatumia ulaghai na project za kimchongo...
Bado nipo kwa bi mdashi na mzee naishi fuleshi tu sina mali yeyote,kazi au kitega uchumi chochote kiufupi naenda kama houseboy nashughulikia mambo yote ya nyumbani kama usafi nk.
Sina mtoto wala sijaoa sina majukumu kwaujumla muda mwingi najikita kutazama runinga kipindi baada ya kipindi...
Nigerian preacher and marriage counsellor, Reverend Funke Felix-Adejumo has advised married men not to wear themselves out in an attempt to satisfy their wives, saying no man can completely please a woman.
Speaking during a sermon, the cleric urged husbands to remain responsible in their homes...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.