Recent content by Papillon 1906

  1. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Kimazingira natusua vipi hapa?

    Mshahara laki tano PAYE na HESLB vinanimaliza, chumba elfu 50 kwa mwezi kimsingi kabla ya mwezi kuisha sina kitu mikopo inaniokoa.
  2. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Hujui kupika halafu unataka kuoa

    Mke wako atakula nini akirudi kwa kuchelewa kutoka kazini?
  3. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Jamii yatunyooshea vidole kisa kila ndoa inavunjika

    Hili tatizo limeota mizizi katika familia nimekuwa nikishuhudia ndugu zangu wakike hawaolewi na wakiolewa ndoa hazidumu. Nafikiri labda mizimu ya ukoo imekasirika au vipi lakini sio jambo la kawaida. Nimejaribu kuunganisha doti maana babu alimuoa bibi akiwa na miaka 70+ huko na baada ya ndoa...
  4. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Zamalek watishia kujiengua mashindano ya klabu bingwa Afrika

    Zamalek waipa vitisho shirikisho la soka barani afrika CAF kama watahidhinisha Al Ahly fc kushiriki mashindano ya klablu bingwa afrika mara baada ya kuwepo kwa taarifa ya kutaka kuongeza timu shiriki. Ikumbukwe Al Ahly ameangukia katika michuano ya shirikisho ya CAF mara baada ya kufanya vibaya...
  5. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Surgery ya kidevu aliyofanya nyota Vinicius Junior imefanikiwa

    Staa wa Real Madril na Brazil, Vinícius Jr adaiwa kufanyiwa upasuaji wa kurekebisha umbo la kidevu (chin harmonization) nchini Brazil, kwa mujibu wa TMC Esporte. Katika picha hii ni muonekano wa zamani kabla hajafanyiwa surgery Na hizi ni picha za kwanza baada ya kufanyiwa upasuaji huo.
  6. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania HOJA Kuna haja ya kuwa na vituo vya kulea wazee mikoa yote Tanzania

    Baadhi ya sehemu wazee wanapitia changamoto mbalimbali kutokana na kukosekana uangalizi wa karibu unaosababishwa na ubize wa maisha katika jamii na kupelekea upweke na kutengwa kwao. Kuna haja ya kuwa na makazi maalumu ya wazee katika kila mkoa ili kuweza kuwahudumia kwa karibu na kunufaika na...
  7. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Wazazi, mapenzi ni ya watu wawili

    Mzazi unajukumu la kushauri tu katika mahusiano ya mtoto wako sio kumpangia nani aoe au nani hasioe kadhalika na upande wa kuolewa. Sio wewe ndio kuwa kifua mbele fulani simtaki oooh ukiwa nae mimi sio mama yako au mimi sio baba yako,nadhani uko upstairs hauko sawa. WAZAZI you better watch...
  8. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Wananwake wanafurahia Mpira wa Miguu au fata mkumbo

    Wanawake mnao tazama mechi mbalimbali za mpira wa miguu mnafurahia au mnafuata mkumbo labda kwasababu mpenzi,rafiki,kaka au wazazi wako ni shabiki wa timu fulani. Kipi au nani akilikuvutia kushabikia timu unayoipenda?
  9. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Bondia Katompa (wa DRC) achomwa moto hadi kufariki huko Afrika Kusini

    Bondia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Roméo "Bololo" Katompa, ameripotiwa kufariki dunia usiku wa kuamkia Julai 17, 2026 jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya DRC, Katompa anadaiwa kuchomwa moto akiwa hai katika tukio lililotokea jijini humo. Baadhi...
  10. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania SIO UTU KUDHULUMU WASTAAFU

    God forbid. Imagine mtu kafanya kazi miaka kibao kwa jasho na damu na kuwa na malengo kadha wa kadha ya kuboresha maisha yake zaidi mara baada ya kustaafu. Kwa kujenga nyumba ya ndoto yake au kufungua biashara au vyovyote vile si pesa yake bwana, wewe unatumia ulaghai na project za kimchongo...
  11. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania UPDATES: Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva | Mlimani City | 10.07.2026

    Mchizi mox kaumiza🔥🔥
  12. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Miaka 40 sina nachomiliki zaidi ya smart phone

    Bado nipo kwa bi mdashi na mzee naishi fuleshi tu sina mali yeyote,kazi au kitega uchumi chochote kiufupi naenda kama houseboy nashughulikia mambo yote ya nyumbani kama usafi nk. Sina mtoto wala sijaoa sina majukumu kwaujumla muda mwingi najikita kutazama runinga kipindi baada ya kipindi...
  13. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Biashara ambazo huwezi toboa kamwe!

    Machinga noma mali umedaka elfu kumi unauza elfu nne
  14. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Rev Funke Adejumo tells married men, Nobody can please a women

    Nigerian preacher and marriage counsellor, Reverend Funke Felix-Adejumo has advised married men not to wear themselves out in an attempt to satisfy their wives, saying no man can completely please a woman. Speaking during a sermon, the cleric urged husbands to remain responsible in their homes...
Back
Top Bottom