Recent content by Papillon 1906

  1. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuamua kwenda kupanga na kujitegemea, chumba chako cha kwanza kilikuwa na muonekano gani?

    Kipindi hicho usikute ata kitanda huna godoro unaweka down nenga .
  2. Papillon 1906

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kila mwanamke aliyeolewa kuna mwanaume anayempenda kuliko mume wake

    Kama wanawake wakipewa nafasi ya kuolewa na mwanaume zaidi ya mmoja hakika wangezidisha zaidi. Kuna mke wa mtu aliniambia hajaolewa kwa sababu anampenda mume wake bali kwasababu anajali,tajili au mwenyekutaka kuwa na familia. Kama mwanaume ni bora kuweka akilini mwako kwamba huwezi kukidhi...
  3. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Je, mentor wako ni nani?

    Nani mtu wako wa kwanza kumcheki pale unapotaka kufanya maamuzi ya jambo Fulani mathalani masiala ya kifedha,kazi,mahusiano n.k Yani likitokea Jambo tu lazima umcheki ni nani huyo?
  4. Papillon 1906

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usikubali kuonewa huruma, unastahili heshima

    Nipo katika situation hiyo asa hivi ninajidanganya kuwa subira na uvumilivu kwa mtoto huyu wa kishua. Ukweli ni kwamba sipendwi nafosi penzi unaenda mwezi wa Tisa .alooo ni kwele
  5. Papillon 1906

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume zikilizeni

    Siku zako na huyo mwanamke ambae haumpi pesa zinahesabika chukua tahadhari. Usije kulia kilio cha mbwa mdomo wazi Husipeleke maua tia hela
  6. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Sadaka ya kweli

    Je, umewahi kujiuliza kwa nini watu wengi wanatoa sadaka kwa miaka mingi lakini maisha yao bado yamekwama kwenye umaskini, hofu, na madeni? Wengi wanaelewa sadaka ni kama biashara ya kubadilishana na Mungu au Universe kwamba "Nitoe kiasi hiki, nipate hiki." Lakini ukweli ni kwamba Universe...
  7. Papillon 1906

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume unadhani mambo gani Wanawake wanahisi ni ya kimapenzi lakini ni miyeyusho

    Mfano: Kutaka kuwa nae kila dakika na kufuatilia kila hatua yake pia kumvisha pete mbele ya watu wengi hii inaleta shinikizo kinoma. Ni yapi mengine unayohisi ni ya kimiyeyusho?
  8. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Kadhaa wajeruhiwa baada ya taili za mbele za ndege kupasuka

    Frankfurt, Germany: wafanyakazi kadhaa wa ndege kampuni ya Lufthansa Boeing 787, wapata majeruhi baada ya taili za upande wa mbele wa ndege(nose gear) kupasuka wakati ikiwa imepaki katika geti la airport ya Frankfurt. Lufthansa wamesema wafanyakazi kadhaa wapata majeruhi baada ya tukio lakini...
  9. Papillon 1906

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kimazingira Arsenal kabebwa ubingwa EPL 2025/26

    Baada ya rejea mbalimbali za matukio ikiwemo penati,faulo na kadi nyekundu katika ligi kuu ya uingereza msimu wa 2025/26. Imebainika kwamba Manchester city walitakiwa kuongoza ligi kwa pointi mbili akifuatiwa na arsenal kabla ya mechi ya mwisho . Matukio mawili muhimu: 1.Dalot alitakiwa kupewa...
  10. Papillon 1906

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania I don't wanna wait your love in vain

    From the very first time I placed my eyes on you, girl My heart says follow through But I know, now, that I'm way down on your line But the waitin' feel is fine So don't treat me like a puppet on a string 'Cause I know how to do my thing Don't talk to me as if you think I'm dumb I wanna know...
  11. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania The largest African language community in the world

    Swahili is spoken by over 200 million people across more than 10 african countries.
  12. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Yaani kushoboka ndo nimeshindwaga kabisa

    Mikausho mikali ankol
  13. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania LONGEST FART EVER

    The world's longest recorded fart lasted for two (2) minutes and forty two (42) seconds. Bernard clemmes of London holds this world record.
  14. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Lil Nas x has been hospitalized for a possible overdose

    After being spotted roaming LA Streets nearly naked at 4AM. According to TMZ.
Back
Top Bottom