When I was sick as a little kid
To keep me happy, there's no limit to the things you did
And all my childhood memories
Are full of all the sweet things you did for me
And even though I act crazy
I gotta thank the Lord that you made me
There are no words that can express how I feel
You never kept...
Lionel Messi ametangaza rasmi kustaafu kuichezea timu ya taifa ya Argentina. Taarifa hiyo ameitoa leo, Agosti 31, 2026, kupitia ujumbe kwenye Instagram yake.
Messi amesema amefikia uamuzi huo baada ya kutafakari kwa muda mrefu tangu fainali ya Kombe la Dunia 2026, akieleza kuwa ni uamuzi...
Gabriel Jesus kacheza Arsenal misimu minne.
Mechi-84
Magoli-21
Japo majeruhi yanamkosesha muda wa kucheza hususani misimu uliopita akiwa na arsenal lakini haibadili kuwa ni mchezaji wa kawaida.
Baada ya dili la Alvarez kuwa gumu kutoka atletico Madrid,kumekuwa na washambuliaji kama victor...
Jana katika mchezo wa Simba na Coastal Union mchezaji bora kapewa Chilambo, lakini kipa wa Coastal alikuwa bora zaidi japo aliconced goli moja.
Chuma Ramadhan golikipa wa Coastal kasevu mashuti saba kati ya nane yaliyo lenga lango.
Ni sawa na mechi ya laliga jana usiku kati ya Barcelona na...
Nealy 30 years after Tupac's death,the only man charged in his murder is standing trial.
A judge has ruled that Duane"Keffe D" davis 2008 police interview and memoir can be used as evidence.
Keffe D will face life in prison if found guilty.
#rap
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.