Papillon 1906
Senior Member
- Jun 19, 2025
- 199
- 678
Mzazi unajukumu la kushauri tu katika mahusiano ya mtoto wako sio kumpangia nani aoe au nani hasioe kadhalika na upande wa kuolewa.
Sio wewe ndio kuwa kifua mbele fulani simtaki oooh ukiwa nae mimi sio mama yako au mimi sio baba yako,nadhani uko upstairs hauko sawa.
WAZAZI you better watch your back
Sio wewe ndio kuwa kifua mbele fulani simtaki oooh ukiwa nae mimi sio mama yako au mimi sio baba yako,nadhani uko upstairs hauko sawa.
WAZAZI you better watch your back