SIO UTU KUDHULUMU WASTAAFU

SIO UTU KUDHULUMU WASTAAFU

Papillon 1906

Senior Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
187
Reaction score
652
God forbid.

Imagine mtu kafanya kazi miaka kibao kwa jasho na damu na kuwa na malengo kadha wa kadha ya kuboresha maisha yake zaidi mara baada ya kustaafu.

Kwa kujenga nyumba ya ndoto yake au kufungua biashara au vyovyote vile si pesa yake bwana, wewe unatumia ulaghai na project za kimchongo kumtapeli bwana au bibie huyu.

Sijui mnafanya vipi kuwashawishi kwa hoja potofu na kuwatii lakini jua kwamba huyu mtu anakundi kubwa la watu wanao mtegemea. Sio kwasababu hana maalifa ya biashara ndio uchukue faida hiyo kudhurumu sio uungwana.
 
Back
Top Bottom