Hiyo si sawa inabidi amhudumie mambo ya muhimu kuliko kula bata halafu demu anahitaji matumizi hapati. Lakini kuhusu kuoa ni uamuzi unaohitaji umakini sana kuna uwezekano kaona sio wife material.....
Halafu kuna watu hawajielewi yani ikitokea kiongozi wa chama tawala kakosoa serikali wanamwona msaliti... Kiongozi mwenye hekima anapoona kuna tatizo lazima aweke bayana na ikitokea unampinga toa sababu za msingi sio kuandika hoja za kujipendekeza.
Mmh kuhadithia sio jambo la busara Ila kuna mazingira yanaeza kukulazimu kwa mfano demu wako aking'aka umle jicho wakati ww hutaki si utaomba ushauri kwa wadau? Ama unakuta mshikaji ndo anang'aka ale witi kwa demu?.....
Pole sana ndugu .... Hatua ya kwanza unatakiwa kumtafuta physically ili ujue nini kinaendelea ili kama amekutapeli akamatwe kwa mahojiano. Vilevile tunza Meseji za miamala na maelezo. Halafu jaribu kufatilia usije sema kakutapeli kumbe kapatwa na majanga
Tatizo ni kwamba wanaoneemeka na serikAli Aidha wanahofu kukosoa Ama ni wanFiki na hawapo tayari kutoa mchango wao kwa serikali isipokuwa kuisapoti kwa lolote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.