Recent content by onazi

  1. onazi

    JamiiForums Tanzania Nimepata Milioni 2 Biashara ya Chips naona ngumu, nawaza kuwekeza kwenye hisa

    Sijui kijijini kwenu ni wapi lakini mimi ningefanya hivi; 1. Ningenunua mbuzi wadogo niwe na fuga kwa kumuajiri mtu najua kijijini hii sio ghali, kwa miaka miwili uwezekano wa kua na mbuzi wengi zaidi ni mkubwa. 2. Ningenunua pikipiki naitumia kwendea chuo na muda usio wa masomo nabeba abiria...
  2. onazi

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kumuwin mwanamke yeyote chukua code hizi

    Hii nilikuwa naitumiaga nikiona pisi ya maana Fb naifata inbox nataja dau tu. Ni ukweli haziruki chapaa
  3. onazi

    JamiiForums Tanzania African Satellite World and Sat Gear

    Any wholesaler of Fta receiver over here?
  4. onazi

    JamiiForums Tanzania SHERIA ZA KOREA YA KASKAZINI ZA KUSHANGAZA ZAIDI

    usisahau game ya epl huonyeshwa kwa dk60 tu hiyo nchi
  5. onazi

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Timu imejaa average players wengi, ukija kwa mbape ni kama anawaza tuzo binafsi sana kuliko maslahi ya timu leo kazingua sana
  6. onazi

    JamiiForums Tanzania Msaada Lugha ya Kifaransa

    Tu habites
  7. onazi

    JamiiForums Tanzania Brand gani Flat screen tv ni bora kwa bajeti ya Tsh 450,000

    50' second hand inaendaje?
  8. onazi

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Hakimi anarudi naona uzee unamsumbua Dani
  9. onazi

    JamiiForums Tanzania Haya maisha bhana!!

    Atachagua yeye atakachopenda
  10. onazi

    JamiiForums Tanzania Haya maisha bhana!!

    Jiongeze kidogo na Tourism inaweza kukusaidia kwa mkoa uliopo.
  11. onazi

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Huyo militao ni maguire kabisa
  12. onazi

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kuona Jiji la hovyo kama Arusha

    Hata Everton walipokuja kucheza mechi walisema dar ni kijiji cha wavuvi.
  13. onazi

    JamiiForums Tanzania Wazo la biashara la milion moja na laki nane

    Kubadilisha ela border ya zambia na Tz inaeza kukufaa
  14. onazi

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Siamini kama vini ni mchezaji wa kuelekezwa kitu cha kufanya uwanjani kulingana na wakati. Aletewe Rafael Leao ajifunze
  15. onazi

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Na huyo Fran Garcia hana quality ya kuvaa hio jezi
Back
Top Bottom