Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,078
Juzi niliangalia game ila sikutoa recommendation hapa. Ukweli tulishinda ila mpira wetu bado si tishio kabisa. Hatuna structure ya kushambulia, build up pia haipo.
Kidogo alivyongezeka modric ndio nikaona kiasi chake tunauwezo ata wa kuzunguka 18 ya mchezaji.
Timu bado sana
Kidogo alivyongezeka modric ndio nikaona kiasi chake tunauwezo ata wa kuzunguka 18 ya mchezaji.
Timu bado sana