Thanks mkuu.Welcome back Tall
😀😀😀mwanangu...ungekuta tushakula kama tatu hivi.Kotwaa kacheza sana kwenye hizi dakika 45 la hivyo sasa hivi tungeshaumia vibaya vibaya
Mwanangu...mechi zakuangalia huku umebinya zaga ndio hizi sasa.Daaah, hatimae yaani
Boya yule Ceballos ametuuza, dakika za usiku sanaaManinaa tumewekwa.
Hii timu ukishamchezesha Mbappe na Vin kwa pamoja hapo tayar tupo pungufu,maana wote hao ni abiria...halafu hapa nyuma acheze Ceballos ambaye ni average player mchezaji hewa ndio kabisaa na huku nyuma sasa awepo huyu mtoto Ansencio anayejiona ni Ramos wakati ni Maguire tena yule wakubahatisha..ndio kabisaa,tunakuwa tunakatika mbaya kabisa..Mbappe ametunyima ushindi yaani, kama hajui umuhimu tulionao
FT: Osasuna 2-1 Real Madrid