Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Shida sio wachezaji shida ni kochi. Kocha anakjla mchezaji sisi hao kila game we concede, kwa mpira wa sahivi lazima timu ipende kukaa na mpira.

We kila timu tu struggle kudadeki

Yani kabisa unaamini kuwa wachezaji sio shida? striker tegemea wa timu ametokea Espanyola, Left back wa timu sijui hata ameokotwa wapi, Alaba alishaagwa Bayern ndio beki tegemeo wa timu, kuna Lord Mendi hazungumziki, Kroos na Modric ni senior citizens ambao bado wanaendelea kuwa tegemeo kwenye timu. Carvajal, MIlitao, Valverde, Rodrigo, team ni full of average players ambao munajidanganya ni world class, hapo hatujamgusa Jude ambae huwezi kumtaja hata kwenye 3 key players wa England lakini Madrid anaonekwanwa ndio Star Player.
 
Yani kabisa unaamini kuwa wachezaji sio shida? striker tegemea wa timu ametokea Espanyola, Left back wa timu sijui hata ameokotwa wapi, Alaba alishaagwa Bayern ndio beki tegemeo wa timu, kuna Lord Mendi hazungumziki, Kroos na Modric ni senior citizens ambao bado wanaendelea kuwa tegemeo kwenye timu. Carvajal, MIlitao, Valverde, Rodrigo, team ni full of average players ambao munajidanganya ni world class, hapo hatujamgusa Jude ambae huwezi kumtaja hata kwenye 3 key players wa England lakini Madrid anaonekwanwa ndio Star Player.
Acha ujinga
 
Yani kabisa unaamini kuwa wachezaji sio shida? striker tegemea wa timu ametokea Espanyola, Left back wa timu sijui hata ameokotwa wapi, Alaba alishaagwa Bayern ndio beki tegemeo wa timu, kuna Lord Mendi hazungumziki, Kroos na Modric ni senior citizens ambao bado wanaendelea kuwa tegemeo kwenye timu. Carvajal, MIlitao, Valverde, Rodrigo, team ni full of average players ambao munajidanganya ni world class, hapo hatujamgusa Jude ambae huwezi kumtaja hata kwenye 3 key players wa England lakini Madrid anaonekwanwa ndio Star Player.
Huyo militao ni maguire kabisa
 
Kama ni xabi hatuwezi enda naye katikati ya msimu ni hadi msimu uishe. Tuone ata prove nini na Leverkusen.

Ila hadi sasa confirmed ni msimu ujao tutakua na kocha mpya

hana atakacho prove Leverkusen, tayari ameshachemka kule
 
1695829916603.png
 
Back
Top Bottom