Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Carlo Ancelotti ametangaza kuwa Vini ni Best Player. sasa wazee wa mapambio munasemaje hapo?
Unaandika pumba tu... Hembu nionyeshe mahali nimelinganisha wachezaji wa Madrid..Wewe uliesema hakuna kitu anafanya uwanjani zaidi ya kuanguka tu ndio utuambie imekuaje katajwa mchezaji bora wa pili... Utakua ulikimbia umande wewe sio bure.
 
Jamaa walituvuruga sana, individual brilliance ndio imetuokoa, ila team wise jamaa walikua na intensity kubwa sana..
Jamaa huwa wana intensity ya hali ya juu kweli kweli., msimu uliopita walitufunga pale kwao., ila this time ninaona ile uoga wa kuwa hatuna beki wa kati imetusaidia team kukaba kwa ushirikiano.
 
Hatimae. Nimependa tu hii ya kuja kwa terms zetu
Screenshot_20240216-063720.jpg
 
Kwenye kitu Perez anajitahidi kukikweka sawa ni kwenye suala la mshahara wa wachezaji, hataki kutoka kwenye structure waliojiwekea., hii imetusaidia sana kwa muda mrefu.,
Kabisa, nimeona report za mishahara kwenye vilabu vya ligi bora 5, Ndugu zetu wanaongoza. Nimejiuliza wanamlipa nani mshahara mkubwa considering age ya wachezaji na viwango uwanjani... Perez yupo vizuri sana.
 
Kabisa, nimeona report za mishahara kwenye vilabu vya ligi bora 5, Ndugu zetu wanaongoza. Nimejiuliza wanamlipa nani mshahara mkubwa considering age ya wachezaji na viwango uwanjani... Perez yupo vizuri sana.
Jamaa walianza kupoteana kwenye ishu mishahara., huwezi kushangaa kwa kile kikosi chao ati wapo nafasi ya pili kwenye viwango vya ulipaji mshahara kwa wachezaji., si kituko hicho.
 
Hawa Rayo huwa kuna nyakati tunapata ushindi kwa shida sana na hata draw...leo inatakiwa tuwakanda mapema tu.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app

Hawa tukicheza nao kwao wanakomaa kishenzi. Stadium yao ndogo halafu wanapiga makelele hatari. Walikuwa tunawafunga kwa tabu tangu enzi za CR7, Benzema na Bale wapo kwenye peak
 
Back
Top Bottom