Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,359
Shukran za kipekee ziende kwa Brahim Diaz, bila kumsahau Lunin kwa kusimama golini imara.,
HalaMadrid
HalaMadrid
Jamaa walituvuruga sana, individual brilliance ndio imetuokoa, ila team wise jamaa walikua na intensity kubwa sana..Shukran za kipekee ziende kwa Brahim Diaz, bila kumsahau Lunin kwa kusimama golini imara.,
HalaMadrid
Unaandika pumba tu... Hembu nionyeshe mahali nimelinganisha wachezaji wa Madrid..Wewe uliesema hakuna kitu anafanya uwanjani zaidi ya kuanguka tu ndio utuambie imekuaje katajwa mchezaji bora wa pili... Utakua ulikimbia umande wewe sio bure.Carlo Ancelotti ametangaza kuwa Vini ni Best Player. sasa wazee wa mapambio munasemaje hapo?
Jamaa huwa wana intensity ya hali ya juu kweli kweli., msimu uliopita walitufunga pale kwao., ila this time ninaona ile uoga wa kuwa hatuna beki wa kati imetusaidia team kukaba kwa ushirikiano.Jamaa walituvuruga sana, individual brilliance ndio imetuokoa, ila team wise jamaa walikua na intensity kubwa sana..
Kwenye kitu Perez anajitahidi kukikweka sawa ni kwenye suala la mshahara wa wachezaji, hataki kutoka kwenye structure waliojiwekea., hii imetusaidia sana kwa muda mrefu.,Hatimae. Nimependa tu hii ya kuja kwa terms zetuView attachment 2905542
Kabisa, nimeona report za mishahara kwenye vilabu vya ligi bora 5, Ndugu zetu wanaongoza. Nimejiuliza wanamlipa nani mshahara mkubwa considering age ya wachezaji na viwango uwanjani... Perez yupo vizuri sana.Kwenye kitu Perez anajitahidi kukikweka sawa ni kwenye suala la mshahara wa wachezaji, hataki kutoka kwenye structure waliojiwekea., hii imetusaidia sana kwa muda mrefu.,
Jamaa walianza kupoteana kwenye ishu mishahara., huwezi kushangaa kwa kile kikosi chao ati wapo nafasi ya pili kwenye viwango vya ulipaji mshahara kwa wachezaji., si kituko hicho.Kabisa, nimeona report za mishahara kwenye vilabu vya ligi bora 5, Ndugu zetu wanaongoza. Nimejiuliza wanamlipa nani mshahara mkubwa considering age ya wachezaji na viwango uwanjani... Perez yupo vizuri sana.
Hawa Rayo huwa kuna nyakati tunapata ushindi kwa shida sana na hata draw...leo inatakiwa tuwakanda mapema tu.
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Hakimi anarudi naona uzee unamsumbua Dani
afadhali.. mkeka wangu umebakisha mechi yake tu, badae niamke mnonoLukaaa Modric, goal