Wiki hii imebidi nikumbushie kupika vijana wa Gen Z walijua hatuwezi kazi za jiko wanalalamika wanaona kupika adhabu. Kwenye vitafunwa inabidi nipitie nyuzi zako sije nikaharibu
Baada ya Strait of Hormuz kufungwa bandari za Jeddah na Jizan ndio zilikuwa zinafanya kazi upande wa Red Sea.
Houthi wakimshambulia Saudi Arabia kwenye bandari wataleta madhara makubwa sana
Hiyo bomba inakusanya maji kutoka kwenye mfumo wa city storm drain (mfumo unaokusanya maji kutoka kwenye kalavati, chemba za barabarani)na kuyamwaga hapo.
Bomba nyingine ipo mikocheni Warioba mbele ya Nyumba ya Mzee Mark Bomani, Msasani karibu na mapenzi beach, Acha khan, Ocean Road na...
Muanzisha thread unafanya kazi kubwa pongezi kwako. Watu wanaobeza hawana Shukrani, kwa UAE,Qatar,Oman,Kuwait na Saudia Arabia waajiri huwa wanawapa watu wawatafutie staff na anayetangaza kazi na kuwaleta huwa analipwa kwa kila mtu atakayepatikana.
Hesabu ni laki 5 au 6 kwa siku. Changamoto ni madereva,kuna kipindi kazi zinapungua,njia mbovu, ufuatiliaji wa karibu. Gari ukichukua mpya miezi 6 ya mwanzo service ni ndogo za kawaida baada ya hapo andaa bajeti ya dharura muda wowote unaweza pata simu ya spare au marekebisho. Kama una long term...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.