Recent content by Offshore Seamen

  1. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Guys, Naomba anaye jua kuhusu sexual transmutation a nisaidie.

    Kilimo cha mti wa nyama.Andaa peni na karatasi wajuvi wanashusha nondo zao saizi wamelala
  2. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Mlo wa mchana

    Wiki hii imebidi nikumbushie kupika vijana wa Gen Z walijua hatuwezi kazi za jiko wanalalamika wanaona kupika adhabu. Kwenye vitafunwa inabidi nipitie nyuzi zako sije nikaharibu
  3. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Una mpango gani na uzao wako wa nje ndoa?

    Unajaza dunia
  4. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Houth waikoromea Saudi Arabia

    Baada ya Strait of Hormuz kufungwa bandari za Jeddah na Jizan ndio zilikuwa zinafanya kazi upande wa Red Sea. Houthi wakimshambulia Saudi Arabia kwenye bandari wataleta madhara makubwa sana
  5. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Kama ulikuwa hujui kuwa Dar es Salaam kuna sehemu kuna bomba kubwa limeingia baharini, wacha nikufahamishe...

    Bado ipo mwaka juzi nilienda wahudhuriaji ni wadosi
  6. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Kama ulikuwa hujui kuwa Dar es Salaam kuna sehemu kuna bomba kubwa limeingia baharini, wacha nikufahamishe...

    Hiyo bomba inakusanya maji kutoka kwenye mfumo wa city storm drain (mfumo unaokusanya maji kutoka kwenye kalavati, chemba za barabarani)na kuyamwaga hapo. Bomba nyingine ipo mikocheni Warioba mbele ya Nyumba ya Mzee Mark Bomani, Msasani karibu na mapenzi beach, Acha khan, Ocean Road na...
  7. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Muanzisha thread unafanya kazi kubwa pongezi kwako. Watu wanaobeza hawana Shukrani, kwa UAE,Qatar,Oman,Kuwait na Saudia Arabia waajiri huwa wanawapa watu wawatafutie staff na anayetangaza kazi na kuwaleta huwa analipwa kwa kila mtu atakayepatikana.
  8. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Ushuru wa Tesla Model 3 ya 2019 ni karibia theruthi ya Ushuru wa Toyota Crown ya mwaka huo huo. #EV4Everybody!

    Wengi waliopitisha hizo wao gari zao hawaumizi kichwa kulipa kodi
  9. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Board ya Prado TX

    Natuma meseji kwenye PM yako imagoma nicheki kuna jamaa yangu anazo hizo body
  10. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri biashara ya magari ya mchanga 20cbm FAW, HOWO

    Hesabu ni laki 5 au 6 kwa siku. Changamoto ni madereva,kuna kipindi kazi zinapungua,njia mbovu, ufuatiliaji wa karibu. Gari ukichukua mpya miezi 6 ya mwanzo service ni ndogo za kawaida baada ya hapo andaa bajeti ya dharura muda wowote unaweza pata simu ya spare au marekebisho. Kama una long term...
  11. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Board ya Prado TX

    Zipo Tandale na Big brother unataka ya mwaka gani
  12. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu anajua ni nini kinaendelea hapa?

    Hiyo ni Chagulaga
  13. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Kununua spare parts kutoka Japan

    Agiza Dubai
Back
Top Bottom