Hata Mtwara kwenda Comoro tangu Balozi akiwa Mohamed Yakubu alikuwa akisisitiza watanzania kufanya biashara Comoro ya vyakula. Kama ukienda Mtwara wengi saizi wanasafirisha Unga kwenda Comoro kwa njia ya meli na jahazi
Changamoto ni umbali na usafiri. Pia hatuko linked direct na Sudan lazima uingie Uganda. Waganda nao wanataka hilo soko baada ya kuweka ugumu saizi wao ndio wananunua kwa mbongo kisha wanapeleka Sudan.
Uandishi wa habari ndio sekta ambayo yeyote anaweza kuajiriwa kisa maarufu ana watu mtandaoni. Kadri siku zinavyoenda wahandishi wa habari mahiri na wabobezi wanapotea kwa kasi
Mimi sifanyi hiyo biashara mkuu. Kuna watu ni jamaa zangu najua wana supply unga kupeleka South Sudan ndio kazi yao miaka na miaka.
Siku utembee pale Elegu -Nimule Border uone maroli ya watanzania wakiuza unga kwa waganda kisha waganda wanasafirisha kwenda Juba. Serikali haiwezi kutufanyia...
South Sudan licha ya umbali na changamoto ya usafiri kuwa kubwa na njia mbovu lakini Unga hata ukiuzwa bei kubwa kiasi gani gari ikifika mzigo wote unauzwa.
Soko la Mahindi Sudan kusini ni kubwa na uhitaji ni mwaka mzima. Tatizo ni changamoto ya walioshika ni tycoon hawataki new comer na wao wanapeleka final product unga ukiwa packed. Pia transporter wengi wanaogopa kwenda Sudan Kusini kwa Tanzania ni transporter wachache ndio wanafanya route hiyo.
Hao mijusi mmerusiwa kuwauwa msiwaache.
Katika hadithi iliyopokelewa na Abu Hurairah na kurekodiwa katika Sahih Muslim, Mtume (SAW) alisema:
Yeyote anayeua mjusi kwa pigo la kwanza, ataandikiwa thawabu mia moja, na katika pigo la pili (atapata) pungufu ya hizo, na katika pigo la tatu (atapata)...
Wale miamba kuwajua hata kama umezaliwa eneo hilo huwezi wajua upande wa pili ni watu wema,kujitoa kwa jamii na biashara vivuli. Ukiwa mtu wa mishe na kujichanganya hata ukiwa mgeni lazima utawajua mapema
Mitaa hiyo ndio kama Brazil wanaofanya huwezi wajua wanatumia biashara nyingine kama kivuli ungekuwa mtu wa mishe ungewajua mpaka sura na wanapoweka mizigo.
Hapo Kurasini kuanzia Mivinjeni,Ufundi mpaka shimo la Udongo watu walihamishwa kuna raia walikuwa wabishi kweli kweli. Ila wakahama na kupewa fidia. Muda ukifika hata hao wa Temeke wote watatoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.