Recent content by Offshore Seamen

  1. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Bei ya Mahindi Tanzania Kuporomoka Baada ya Afrika Kusini Kuweka rekodi ya Kuzalisha zaidi ya Tani milioni 16 msimu wa 2025/26

    Hata Mtwara kwenda Comoro tangu Balozi akiwa Mohamed Yakubu alikuwa akisisitiza watanzania kufanya biashara Comoro ya vyakula. Kama ukienda Mtwara wengi saizi wanasafirisha Unga kwenda Comoro kwa njia ya meli na jahazi
  2. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Bei ya Mahindi Tanzania Kuporomoka Baada ya Afrika Kusini Kuweka rekodi ya Kuzalisha zaidi ya Tani milioni 16 msimu wa 2025/26

    Changamoto ni umbali na usafiri. Pia hatuko linked direct na Sudan lazima uingie Uganda. Waganda nao wanataka hilo soko baada ya kuweka ugumu saizi wao ndio wananunua kwa mbongo kisha wanapeleka Sudan.
  3. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kweli ni ngumu! Mtangaaji wa Crown FM apata homa akiwa anawahoji wageni waliomshtukiza studio

    Uandishi wa habari ndio sekta ambayo yeyote anaweza kuajiriwa kisa maarufu ana watu mtandaoni. Kadri siku zinavyoenda wahandishi wa habari mahiri na wabobezi wanapotea kwa kasi
  4. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Bei ya Mahindi Tanzania Kuporomoka Baada ya Afrika Kusini Kuweka rekodi ya Kuzalisha zaidi ya Tani milioni 16 msimu wa 2025/26

    Mimi sifanyi hiyo biashara mkuu. Kuna watu ni jamaa zangu najua wana supply unga kupeleka South Sudan ndio kazi yao miaka na miaka. Siku utembee pale Elegu -Nimule Border uone maroli ya watanzania wakiuza unga kwa waganda kisha waganda wanasafirisha kwenda Juba. Serikali haiwezi kutufanyia...
  5. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Bei ya Mahindi Tanzania Kuporomoka Baada ya Afrika Kusini Kuweka rekodi ya Kuzalisha zaidi ya Tani milioni 16 msimu wa 2025/26

    South Sudan licha ya umbali na changamoto ya usafiri kuwa kubwa na njia mbovu lakini Unga hata ukiuzwa bei kubwa kiasi gani gari ikifika mzigo wote unauzwa.
  6. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Bei ya Mahindi Tanzania Kuporomoka Baada ya Afrika Kusini Kuweka rekodi ya Kuzalisha zaidi ya Tani milioni 16 msimu wa 2025/26

    Soko la Mahindi Sudan kusini ni kubwa na uhitaji ni mwaka mzima. Tatizo ni changamoto ya walioshika ni tycoon hawataki new comer na wao wanapeleka final product unga ukiwa packed. Pia transporter wengi wanaogopa kwenda Sudan Kusini kwa Tanzania ni transporter wachache ndio wanafanya route hiyo.
  7. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Mjusi katika tafsiri ya kiroho na ulimwengu wa giza

    Hao mijusi mmerusiwa kuwauwa msiwaache. Katika hadithi iliyopokelewa na Abu Hurairah na kurekodiwa katika Sahih Muslim, Mtume (SAW) alisema: Yeyote anayeua mjusi kwa pigo la kwanza, ataandikiwa thawabu mia moja, na katika pigo la pili (atapata) pungufu ya hizo, na katika pigo la tatu (atapata)...
  8. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Mwanaume anaesomea nursing na ukunga ndio mtu shujaa sasa kwa Tanzania

    Registered Nurse kwa Barhain na UAE nako wanavuta pesa ndefu.
  9. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Siku hizi husikii madawa ya kulevya/Dhahabu kukamatwa Airport

    Na show kama hizo mpaka Boss wao Mr Lyimo anakuwa Front line hapo hakuna kupona.
  10. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Anayejua location ya Body Massage ya bei chee aniambie, nataka kutoa ushamba na Ku relax pia

    Mikocheni mitaa ya kona ya Tanesco tembea ile njia zipo kibao mpaka usawa wa kwenda Mapenzi Beach na ile ya kutokea Macho.
  11. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Siku hizi husikii madawa ya kulevya/Dhahabu kukamatwa Airport

    DCEA wanajitahidi sana fanya usiingie 18 za Bwana Lyimo
  12. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Siku hizi husikii madawa ya kulevya/Dhahabu kukamatwa Airport

    Ilala wapo kibao karume,mchikichini, machinga,mitaa ya nyuma ya reli ya SGR,kariakoo
  13. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Siku hizi husikii madawa ya kulevya/Dhahabu kukamatwa Airport

    Wale miamba kuwajua hata kama umezaliwa eneo hilo huwezi wajua upande wa pili ni watu wema,kujitoa kwa jamii na biashara vivuli. Ukiwa mtu wa mishe na kujichanganya hata ukiwa mgeni lazima utawajua mapema
  14. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Siku hizi husikii madawa ya kulevya/Dhahabu kukamatwa Airport

    Mitaa hiyo ndio kama Brazil wanaofanya huwezi wajua wanatumia biashara nyingine kama kivuli ungekuwa mtu wa mishe ungewajua mpaka sura na wanapoweka mizigo.
  15. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Serikali kutaka kuhamisha watu Temeke ili kupisha Bandari Kavu ni ukatili wa kiwango cha juu. Hii Serikali ni ya Kijamaa kweli?

    Hapo Kurasini kuanzia Mivinjeni,Ufundi mpaka shimo la Udongo watu walihamishwa kuna raia walikuwa wabishi kweli kweli. Ila wakahama na kupewa fidia. Muda ukifika hata hao wa Temeke wote watatoka
Back
Top Bottom