Recent content by Offshore Seamen

  1. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Ukipita ya Mtwara hiyo utaona ina nafuu sana
  2. Offshore Seamen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nyie wanaume wa miaka 29+ mnaoishi kama kuku wa kisasa, mnasubiri kuolewa

    Ukienda mtwara mjini utapata hasira mara 70. Vijiwe vya kahawa vimefungwa mpaka TV,pakikucha saa 12 asubuhi mpaka usiku saa 5 ni story mbalimbali
  3. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Kusaga: Tunakoelekea radio nyingi zitafungwa

    Redio siku hizi hazina mvuto wa kusikiliza ni vijiwe vya kelele hakuna professionalism
  4. Offshore Seamen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nyie wanaume wa miaka 29+ mnaoishi kama kuku wa kisasa, mnasubiri kuolewa

    Baharia unashambulia sana na drone hapo hata mifumo ya anga haiwezi zuia
  5. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Dots nilizounganisha kuhusu uwepo wa gaidi Abu Ubaydah Al Banshiri kwenye ajali ya MV Bukoba

    Hayo matenk yalikuwa hayatumiki story aliyokupa sio sawa. Na hakuna ofisa aliyekuwa na ujuzi wa kuyatumia katika kubalance meli pia kulikuwa hakuna kitabu cha stability ya meli. Hivyo yeyote angethubutu kuyatumia ilikuwa kama kubahatisha. Mfano rahisi wa stability ya meli ni mabasi ya zamani...
  6. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Dots nilizounganisha kuhusu uwepo wa gaidi Abu Ubaydah Al Banshiri kwenye ajali ya MV Bukoba

    Mwambie akuelezee hizo tank zilikuwa hazifunguki manhole(njia ya watu kupita kuingia kukagua tank) au sound pipe (tobo la kupimia kimiminika cha ujazo wa tank). Hizo hata kama hazifunguki haziwezi kuzuia kuweka maji kwenye tank,maji yanaingia kwa kutumia pipe na yanasukumwa na pampu.
  7. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Dots nilizounganisha kuhusu uwepo wa gaidi Abu Ubaydah Al Banshiri kwenye ajali ya MV Bukoba

    Hayo matank yalikuwa hayatumiki. Hiyo meli imenunuliwa mwaka 1979 kwa mkopo toka Belgium. Kuanzia kuja kwake wataalam wakalalamika ina tatizo la stability na kampuni ya Belgium walitakiwa wafanye matengenezo. Hayo matank wakaguzi wa Denmark walikagua kabla ya ajali wakatoa ripoti ya mapungufu...
  8. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Dots nilizounganisha kuhusu uwepo wa gaidi Abu Ubaydah Al Banshiri kwenye ajali ya MV Bukoba

    Huwezi cheza rafu kwenye stability ya meli. Sounding ni kitendo cha kupima tank linakimiminika kiasi gani. Kwenye meli mtengenezaji kila tank analipa capacity ya kubeba maji&mafuta kutokana na ukubwa.Hiyo meli haikuja na kitabu kinachoonyesha uwezo wa matank. Na meli inapopakia kuna mistari...
  9. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Tazama hii nyumba tunaijenga Kiluvya Madukani May 2026

    Itakuwa aliwauzia wale wenye makampuni ya kukata viwanja. Maeneo hayo saizi kumejengwa sana nyumba
  10. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Good News kwa Wapenzi wa SUV: Mitsubishi wametangaza kurudi kwa Gari yao pendwa PAJERO!

    Pajero walianza kuwa na luxury version miaka ya 90 walikuwa tayari wanatumia air suspension. Land Cruiser wao wamekuja kuweka miaka ya 2000 kwenye series 100.
  11. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Good News kwa Wapenzi wa SUV: Mitsubishi wametangaza kurudi kwa Gari yao pendwa PAJERO!

    Enzi za Raisi Mwinyi ndio zilitumika mpaka kwenye msafara wa Raisi zilikuja na speed 200 na 240.
  12. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Tazama hii nyumba tunaijenga Kiluvya Madukani May 2026

    Hapo ni makurunge opposite na Shule ya Masister
  13. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Gari “Namba D” zimeenda wapi?

    Namba A ndio hamtaki ziingie city centre
  14. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania KERO Yard ya GSM Mbagala imeongeza tatizo la foleni

    Kwala inafanya kazi kwa speed ile ya train kwenda trip 2 per day haiwezi kuwa tiba ya msongamano wa foleni
  15. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania KERO Yard ya GSM Mbagala imeongeza tatizo la foleni

    Mzizi wa kuondoa foleni kwenye hizi bandari kavu (ICD/CFS) ni kuzitenga ziwe na zone(ukanda) maalum. Hizi zilizo tayari katikati ya mji zibaki kuwa Container Freight Stations(CFS) kwa ajili ya kurahisisha export container zifike haraka bandarini bila delay. ICD za container zilizokuja kama...
Back
Top Bottom