Mh wewe kweli Bongo lala,nani kakwambi watoto hawasemi uwongo?? Sasa ushahidi wa watoto huwa una mashaka mno kortini na ndiyo maana kabla ya kutoa ushahidi wanafanyiwa kitu kinaitwa voledaire test ,mahakama ikijiridhisha na uwezo wa mtoto wa utambuzi ndio huchukua ushahidi,kwa ufupi watoto...
Judy ni mwanamke flani mwenye tabia ambazo hakuna gentleman ataweza kuvumilia,ataishia kuoata wanaume marioo siku zotee km hatobadilika..kwanza alimuiba Gadna kwa mwanamke mwenzie akategemea anaweza kumfanya awe wake milele kwa kumpa pesa na mali hatimae ikawa kinyume ,kwa ufupi ni mwanamke...
Msamaha wa Raisi hauwahusu wenye makosa ya ubakaji,unyang'anyi wa kutumia silaha,uhaini,uuwaji na makosa mengine yoote makubwa ambayo hupelekea adhabu za muda mrefu au kifo...wanaachiwa watu wenye makosa ya kawaida sana na pia waliotumikia kwa kiwango flani
Jamani mwanamke bikira ukianza kumwingilia utamjua hata usoni yani anaogopa ,anatetemeka mwili mzima mpk mapaja,anatoka jasho ,japo kutoka damu inategemea na wewe umemuingilia vip km ulienda kwa upole tu damu haiwezi kutoka,bikira feki damu hutoka nyingi maana huwa wanachanika kbsaa ila orijino...
DNA kwa Tz ipo kwa mkemia mkuu wa serikali tuuu,na inatumika kutambua vinasaba mbalimbali hata vya wahalifu pia ,lakini kufikia maamuzi ya kupima ni lazima muwe mmeanza mbali na mzazi mwenzio i mean kuwe na mgogoro mahakamani ambao mahakama kwa busara zake itaona kuwa ili kutatua mgogoro huo ni...
Hapana mie mjasiriamali,nlikopesha wanajeshi wameshanipa ,ppf nimkwenda leo nimepewa changu sasa yeye anasema mshahara wao mpk tar 28 duh au ndio kashanipiga sound...
Jamani kuna hakimu namdai sasa ananiambia et mishahara yao haijatoka ,km kuna wanaofanya kazi mahakamani mnijuze pls.....maana watu woote naona wanasema serikalini washapewa chao sasa huyu jamaa sijui vipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.