Rudisha fedha za umma kwenye mabenki ya biashara #mzeee watu wakopeshwe ili waweze kufanya biashara zao.
Fuata ushauri wa watu #mzee usiende ende tu! Kama mlevi,Mara leo umesema hili Mara kesho umefanya lile.
RUDISHA PESA ZA UMMA KWENYE BENKI ZA BIASHARA
#mzee
Safiii.. how viwanda bila mazingira rafiki kwa entrepreneur haitofanikiwa,
.Mazingira rafiki
1.miundombinu bora na wezeshi
2.kupunguza mlundiko wa kodi za mapato
3.ushirikwishwaji wa wananchi katika kutunga sera stahiki za ukuzaji viwanda.
Wafanya biashara wadogowadogo wanalia huku mitaani, maisha yao ya kila siku yamejawa malalamiko kila kukicha, factor mojawapo ya kupma uchumi ni pamoja na Per-capita income ya raia kwa uchumi wao.
Eee Tanzania kataa unakopelekwa
Big respect to this Bank, wametumwa kazi wafanya kazi wao Mungu awabariki kwa kweli, vijana n wachangamfu mpaka basi. Hongera kimei unachofanya ili awa watu wako wa act namna iyo.....
Jaribu uvisit tawi la lumumba au Morogoro au Mpwapwa, nafikiri kwa uko panadisplay tabia ya benki nzima
Ujue tu Prof Muhongo ndie kiongozi mwenye elimu ya juu na iliyoshiba ma research na publication za kutosha na kugombaniwa kila mahali..
MUHONGO ni kiongozi ila mimi nina wasiwasi na MWIJAGE tu kwenye huu uongozi.
Pumbavu**
Nendeni mkarekebishe laws za Taxation on specialized industries tupate kodi za kutosha.
Sio kufukuafukua mizigo ya walala hoi wenzangu.
Inawezekanaje ni nunue LG ya $90 = Tzs 180,000/-. Afu unakuja kunipiga more than 100% Tax yaan Tzs 200,000/-.
Acheni Ujinga.( coz nyote nyie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.