kantalambazi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 2,010
- 650
Kama hiyo ndiyo sheria inabidi ifatwe mpk pale itakapobadilika
Kama unaondoka na chochote cha thamani una declare, kuna forms za kujaza wakati unatoka nacho.
Hivi mtu unakuja na TV kama baggage yako kwanini usi declare kabisa kabla hujapeleka mabegi yako kukaguliwa? Kuna chumba cha custom pale airport.
Hii sasa imetosha na ni aibu kwa taifa. TRA inavuka mipaka ya ubinadamu. Hii ni pale uwanja wa Ndege wa JKNIA . Shame on you. Watu wanalia Airport, yaani wanafikia hatua ya kuvuruga nguo za watu hivi wanatafuta vitu vya kutoza ushuru. Shame on you
Last week, katika issue tofauti kabisa, rafiki yangu alinunua used small 27inch LG TV Kwa $90 Singapore . Alipofika walimmbambikizia ushuru wa laki mbili. Alishindwa na kuwaachia TRA.......Kipindi cha kikwete TRA walikuwa na aibu. Hawa hawana. Pathetic animals
You should focus on businesses and drugs. Stop harassing travelers
Safari ya mwezini ikiisha you will have your common sense with you. You don't seem to have seen beggars in Dar, go n tax them.Hey, you have problems.
You are carrying 27" of used TV from Far East all the way to Dar as LG TVs are not available in Dar and you are asked to pay 200K you say you don't have.
First, you rise all suspicious alarms by carrying a huge TV as accompanied baggage.
Second, you are so stupid not to know that TVs are subject to taxation, no matter what.
Next time use your common sense and know that we have LG TV dealers locally and they do not cost that much.
Who, in his right mind buys a used TV and bring it all the way from Singapore to Dar by air as accompanied baggage?
I am asking you, which airline? It seems the question is too hard to be answered.
Besides, you are talking about TV but your picture shows an opened bag. Pathetic.
Mkuu kunguru na tongwa wote ni ndege faiza foxy bora angetumia lugha anayoilewa kuliko pumba zenye makosa ya grammar hana tofauti na Pogba aliyeamua kusalimu amri. Teh teh teh ngeli bwana!Faiza kweli nimeamini kwanini huwa unarekebisha watu kiswahili na niliwahi kukwambia utakuwa mwalimu wa kiswahili!! Unasema umetembea mabara yote halafu kiingereza hujui kabisa! Basi nadhani huwa unasafiri na mkalimani!!!! Kiingereza gani hichi mrembo! Kweli lugha ya malkia ni shida!!! Hata mtoto wa kindergatten hawezi andika lugha ya kiingereza kibovu kama ulichoandika!!! Kuna umuhimu gani wa kutumia lugha usiyoijua kwa usahihi? Ina maana hata pc au simu unayotumia ilikuwa haikuonyeshi kuna makosa ya grammar? Pumbavu wewe!!!
umbumbu wa sheria sio kinga ya kosa, naloliona hapa wengi sisi hatujui hizo sheria za custom zinasemaje kwa hiyo tukienda nje ya nchi tunanunua tu mavitu tukitegemea tutapita tu uwanja wa ndege na kutoka free. Maafisa wa TRA wao wanatekeleza sheria tu hawana kosa lolote. Tuzisome sheria za kodi na custom kama zina mapungufu tunayo nafasi ya kuziboresha kupitia taratibu zilizopo na sio kuwalaumu watu wakiwa wanafanya kazi zao na kutekeleza sheria.So people are not allowed to bring personal items or what?
I mean, you pay taxes when you purchase things like that but also you got to pay taxes again when you bring them with you into the country for your own personal use?
This country is going to hell in a hand-basket.
Hii sasa imetosha na ni aibu kwa taifa. TRA inavuka mipaka ya ubinadamu. Hii ni pale uwanja wa Ndege wa JKNIA . Shame on you. Watu wanalia Airport, yaani wanafikia hatua ya kuvuruga nguo za watu hivi wanatafuta vitu vya kutoza ushuru. Shame on you
Last week, katika issue tofauti kabisa, rafiki yangu alinunua used small 27inch LG TV Kwa $90 Singapore . Alipofika walimmbambikizia ushuru wa laki mbili. Alishindwa na kuwaachia TRA.......Kipindi cha kikwete TRA walikuwa na aibu. Hawa hawana. Pathetic animals
You should focus on businesses and drugs. Stop harassing travelers
Huwa anavaa kaptula,,, uzeeni chupi hulegea.Porojo hizo.
Hacha kupoteza topic wewee bibi huyo dada hajabeba tv ni nguo zake wanazimwaga chini au unaona raha kuona chup... za wana wake wenzio?
Wao wanapita vipHuduma mbovu almost everywhere utadhani hawa wanasiasa hawatembei na kujifunza kutoka nje.
hizo product mtu akinunua kariakoo analipa kodi.sasa watu wanataka ukija nacho kutoka nje wapite free.hy cyo fair.na tatizo watu hawafanyi declaration akishapekuliwa ndio analalamika.Mwanjomwanjo utamjuwa tu, wewe kusafiri unakuona kwa maana sana katika karne hii ambayo dunia ni kijiji?
Tena unakuja na ji TV la nchi 27 Kama accompanied baggage? Kama nchi nyingine wanalitupa kwenye dustbin.
For your information, nimekanyaga "continents" zote za dunia hii na hivi sasa nimeshafanya booking ya moon express na Virgin Galactic na probabilities are very high za kuwa abiria wa mwanzo mwanzo wa kutembelea mwezini.
Na ujazo pia wanaangalia si liquid hizo.Inategemea na quantity uliyongia nayo. Kama ni vichupa viwili vitatu vya kutumia mwenyewe haulipishwi.
Muulize huyo "mshikaji" wako alikuwa na chupa ngapi?
Hilo ndio la ukweli. Wana roho mbaya......
.....roho ya kimaskini na wivu
Utakuwa kwenye hedhi. Kuna jambo kwako wewe kibibi