SIJAWAHI KURIDHIKA JE NINA TATIZO!!!!!!!

SIJAWAHI KURIDHIKA JE NINA TATIZO!!!!!!!

sirnare

Senior Member
Joined
Nov 27, 2016
Posts
120
Reaction score
23
Habari za wakati huu wanajf ....!
Niende Moja kwa moja kwenye point:-
Mimi ni kijana Nina miaka 20 pia Nina mpenzi tatizo:-mimi kwenye swala zima la sex sijawahi kuridhika je nina tatizo..??



Changia mawazo yenye kujenga na kama huna cha kuchangia ni usipost ki2 niko serious na hilo limekua tatizo kubwa sana kwangu
 
umri wako wataubeza wengi sana ila usijali kuwa tayari kwa lolote watakalokuambia... sawa kwenye mada, kama wewe ni mvulana na hauna tatizo la kiafya basi tatizo lako kubwa ni la kisaikolojia... usipende kujitenga, tafuta marafiki watakokupa furaha, sikiliza mziki unaoupenda, shiriki kwenye michezo na jaribu kusoma machombezo ya kimapenzi! utamaliza tatizo lako.
 
pole kwa tatizo linalokukabili lakini kwa upande mwingine nakuomba mdogo wangu utafute mbinu za kujikwamua kimaisha mahusiano ya mapenzi yapo....tuliyakuta....na tutayaacha...tafuta pesa kulizika kwenye mapenzi bila kuwa na pesa ni kujitafutia presha...
 
umri wako wataubeza wengi sana ila usijali kuwa tayari kwa lolote watakalokuambia... sawa kwenye mada, kama wewe ni mvulana na hauna tatizo la kiafya basi tatizo lako kubwa ni la kisaikolojia... usipende kujitenga, tafuta marafiki watakokupa furaha, sikiliza mziki unaoupenda, shiriki kwenye michezo na jaribu kusoma machombezo ya kimapenzi! utamaliza tatizo lako.
Mmmmmmmh
 
Habari za wakati huu wanajf ....!
Niende Moja kwa moja kwenye point:-
Mimi ni kijana Nina miaka 20 pia Nina mpenzi tatizo:-mimi kwenye swala zima la sex sijawahi kuridhika je nina tatizo..??



Changia mawazo yenye kujenga na kama huna cha kuchangia ni usipost ki2 niko serious na hilo limekua tatizo kubwa sana kwangu
Hilo pull unalocheza sio kabisa achana nalo
 
Ingewa basi hata nafanya hivo nisingedhubutu kuomba ushauri

Sijawahi kabisa ndg cha muhimu nishauri tu wala usianzishe mada nyingine
Kula ushibe, kunywa maji mengi, ondoa stress, usafi muhimu, badili mikao mkao utakaokukoleza ndo utakaokuridhisha
 
Tafuta hela kwanza utaridhika baadae stress za maisha zitakapopungua
 
Kula ushibe, kunywa maji mengi, ondoa stress, usafi muhimu, badili mikao mkao utakaokukoleza ndo utakaokuridhisha
Sawa nimekuelewa ila naomba nikueleweshe vizuri ....kwa kifupi niseme kwa naweza 1 2 3.... Then unakuta mpaka yy anapoteza kabisa hamu wakt mm ......
 
Back
Top Bottom