Recent content by Nomadiq

  1. Nomadiq

    JamiiForums Tanzania Hivi Indira Gandhi alipomwambia Nyerere, "nitaimeza hiyo Tanzania yako ndani ya India yangu", alimaanisha nini? 🤔.

    au ndio bahari ya Hindi imetumeza?! sema huwa najiuliza kwanini mabilionea wa bongo mi wahindi asilimia kubwa
  2. Nomadiq

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tafsiri mbaya na namna baadhi ya wanaume wanavyomshusha mwanamke

    Lahaula lakwata ushaanza kunidhalilisha jukwaani ama unatania
  3. Nomadiq

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niko na furaha sana leo, Niko comfortable

    mbna kama unanitaka unaogopa kusema 😁 sema tu jikaze
  4. Nomadiq

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niko na furaha sana leo, Niko comfortable

    Unataka nipigwe ban
  5. Nomadiq

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    23:54 Last day of April 2026 Watu wana mengi mazuri ya kusema kuhusu wewe, lakini inabidi ufe kwanza.
  6. Nomadiq

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nadhani si vizuri na haipendezi

    umeanza ukorofi umeshatoka kifungoni 🥱😅
  7. Nomadiq

    JamiiForums Tanzania Leo una hamu ya nini?

    Leo nina hamu na sotojo
  8. Nomadiq

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha ya kujitegemea ni magumu nyie

    umerudi na haka kaID ngoja wapite nako 😂
  9. Nomadiq

    JamiiForums Tanzania Zawadi Tatu (3) za Muhimu kumpatia Mama aliyetoka kujifungua!

    Pesa pesa mpe pesa atanunua mwenyewe anachotaka
  10. Nomadiq

    JamiiForums Tanzania Kitu gani ulishawahi kukisikia hukuamini kabisa lakini baadae ukajua ni kweli?

    Nikitaka kucheka tatizo mbu zitajua nilipo hapa chumbani 🤭
  11. Nomadiq

    JamiiForums Tanzania Kitu gani ulishawahi kukisikia hukuamini kabisa lakini baadae ukajua ni kweli?

    Niliambiwa paka ana roho saba sikuamini kuna paka akawa anaiba msosi nikampiga haswa nikamtupa jioni naskia meow dah sema nilimdaka tena kipigo hasa, akafa alikula vifaranga 10
  12. Nomadiq

    JamiiForums Tanzania Kitu gani ulishawahi kukisikia hukuamini kabisa lakini baadae ukajua ni kweli?

    Kipaji kipo ndani yake ndio kuna uwezo amini kwamba
  13. Nomadiq

    JamiiForums Tanzania Kitu gani ulishawahi kukisikia hukuamini kabisa lakini baadae ukajua ni kweli?

    Nikuokotee mawe😁
  14. Nomadiq

    JamiiForums Tanzania Kitu gani ulishawahi kukisikia hukuamini kabisa lakini baadae ukajua ni kweli?

    Bado sijaamini hii kitu maana sijaoa bado itabidi nioe nijue hii kitu kama ni kweli
  15. Nomadiq

    JamiiForums Tanzania Kitu gani ulishawahi kukisikia hukuamini kabisa lakini baadae ukajua ni kweli?

    Hadi wewe sasa siamini tena hadi niaminishwe , hivi bado huamini kuwa kuna kipaji 😁
Back
Top Bottom