Recent content by Nomadiq

  1. Nomadiq

    Leo una hamu ya nini?

    Leo nina hamu na sotojo
  2. Nomadiq

    Maisha ya kujitegemea ni magumu nyie

    umerudi na haka kaID ngoja wapite nako 😂
  3. Nomadiq

    Zawadi Tatu (3) za Muhimu kumpatia Mama aliyetoka kujifungua!

    Pesa pesa mpe pesa atanunua mwenyewe anachotaka
  4. Nomadiq

    Kitu gani ulishawahi kukisikia hukuamini kabisa lakini baadae ukajua ni kweli?

    Nikitaka kucheka tatizo mbu zitajua nilipo hapa chumbani 🤭
  5. Nomadiq

    Kitu gani ulishawahi kukisikia hukuamini kabisa lakini baadae ukajua ni kweli?

    Niliambiwa paka ana roho saba sikuamini kuna paka akawa anaiba msosi nikampiga haswa nikamtupa jioni naskia meow dah sema nilimdaka tena kipigo hasa, akafa alikula vifaranga 10
  6. Nomadiq

    Kitu gani ulishawahi kukisikia hukuamini kabisa lakini baadae ukajua ni kweli?

    Kipaji kipo ndani yake ndio kuna uwezo amini kwamba
  7. Nomadiq

    Kitu gani ulishawahi kukisikia hukuamini kabisa lakini baadae ukajua ni kweli?

    Bado sijaamini hii kitu maana sijaoa bado itabidi nioe nijue hii kitu kama ni kweli
  8. Nomadiq

    Kitu gani ulishawahi kukisikia hukuamini kabisa lakini baadae ukajua ni kweli?

    Hadi wewe sasa siamini tena hadi niaminishwe , hivi bado huamini kuwa kuna kipaji 😁
  9. Nomadiq

    Kitu gani ulishawahi kukisikia hukuamini kabisa lakini baadae ukajua ni kweli?

    Kurogwa kupo constant jichanganye kwa walimwengu utaamini sio story za Abunuwasi
  10. Nomadiq

    Kitu gani ulishawahi kukisikia hukuamini kabisa lakini baadae ukajua ni kweli?

    Sikuamini nyeto ni tamu mpaka nilipothibitisha kwa maandishi unayoandikaga humu 😁
  11. Nomadiq

    Kitu gani ulishawahi kukisikia hukuamini kabisa lakini baadae ukajua ni kweli?

    Hii ni kweli hata hatakiwi kuwa mazingira ya karibu na ukweni
  12. Nomadiq

    Kitu gani ulishawahi kukisikia hukuamini kabisa lakini baadae ukajua ni kweli?

    Nilikuwa nahisi Binti wa zamani ni ID ya jamaa fulani kumbe sio, ashakum si matusi auntie tusameheane 😁
Back
Top Bottom