Recent content by Nomadiq

  1. Nomadiq

    Ukweli gani mgumu umekubaliana nao baada ya kuwa mtu mzima?

    Dalili ya mvua ni mawingu 😁
  2. Nomadiq

    Ukweli gani mgumu umekubaliana nao baada ya kuwa mtu mzima?

    Nilikuwa najua ndoa ni raha sana nimekua nimejua ndoa ni utapeli nakubaliana na huo ukweli
  3. Nomadiq

    eFootball Special Thread

    Shukrani mkuu na kwenye kuanza nchi gani nzuri kuna mtu kaniambia Japan au Brazil nisiweke Bongo hii ipoje?
  4. Nomadiq

    eFootball Special Thread

    Nishacheza Dream League mwaka mzima 😁
  5. Nomadiq

    eFootball Special Thread

    Samaleko mods wa eFootball Selikavu Edo kissy nawezaje kuanza kucheza baada ya kudownload nizingatie nini kabla sijaanza
  6. Nomadiq

    Kuna jamaa mmoja wa bodaboda hapa mtaani namchapia mke wake Sasa nahisi kama ameanza kujua

    Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu, ingekuwa unachapiwa wewe sidhani kama ingesound fun kama unavyosimulia kwa bashasha
  7. Nomadiq

    Kuna namna tu muziki wa kitambo ni mzuri, kuliko wa sasa

    Mbaga Jr kwema mkuu, hivi ile ngoma ya "hakutaki hakutaki amekupasulia wazi msichana..." Inaitwaje
Back
Top Bottom