Kuna watu hawana pesa ila tabia zao mmmmmhhhh!Pata pesa tujue tabia yako brother
Siyo pesa tu hata akipata uongozi..hii statement ina ukweli ndani yake mtu akipata pesa kunatabia ambazo zilikuwa zimejificha ataanza kuzionyesha waziwazi
kuna tabia zako huzijui ngoja upate pesa zitajionyesha dhahiri,,
nikizipata nakuja humu na nitakua vilevile.Pata pesa tujue tabia yako brother
ety mtu akipata pesa anakua mwizi.Mwingine akipata pesa anataka kujaribu mpaka threesome
Kweli kabisa.hii statement ina ukweli ndani yake mtu akipata pesa kunatabia ambazo zilikuwa zimejificha ataanza kuzionyesha waziwazi
kuna tabia zako huzijui ngoja upate pesa zitajionyesha dhahiri,,