Recent content by ninawi

  1. N

    CCM hawana Chao Jimbo la Iringa

    dah msiwashangae CCM kinachofanya wakose watu ni wizi, watu wamechoswa na unafiki lkn yupo Mungu asiyeshindwa Tz tumepewa magoti tupige nakumuomba yy atatusaidia
  2. N

    Ushauri wa bure kwa BAKWATA na waislamu wenzangu wote kuhusu kususia SENSA

    Wito wa toba12 “Lakini hata sasa,” nasema mimi Mwenyezi-Mungu, “Nirudieni kwa moyo wote, kwa kufunga, kulia na kuomboleza. 13 Msirarue mavazi yenu kuonesha huzuni bali nirudieni kwa moyo wa toba.” Mrudieni Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu; yeye amejaa neema na huruma; hakasiriki upesi, ni mwingi wa...
  3. N

    USIPITE HEBU soma HAPA

    siku zote dawa ya moto ni moto. cha kufanya huyo kijan aokoke na yeye akishaingia zizini ndo ataona utamu wake na Mungu atamfanyia jambo. Nakushukuru kwa kutupa taarifa bt nakusikitikia km hujampa Yesu maisha yako wewe
  4. N

    PART TIME JOB - ACCOUNTANT Kwa msichana aliyeko Arusha

    sasa mnataka mhasibu afanye kazi au mnataka mtu wa kuzaa watoto? mbna binfsi sioni logic awe wa kike il nini ? yani elimu nao in jinsia. ths z childish vacancy. kuna kiongozi mmoja alishawahi kusema ukila lzm uliwe nadhani mnataka kutimiza hilo.
  5. N

    Nafuu Yusuph Makamba kuliko Nape

    Basi bwana wal;e wajumbe wa halmashauri kuu ya kile chama chetu cha mafiosango wamelichoka vuvuzela lao na kusema kuwa eti linaropoka na halina mpangilio, haivi jamani kwani hataki kuonana na washauri wenye akili timamu na kusaidiwa katika kutoa taarifa, basi alivyojichanganya tu wale wenye...
  6. N

    Hoja ya Tundu Lissu yaigawa NCCR bungeni

    kama ilivyo kawaida upinzani kwa hapa tz unafahamika , na wabunge wa upinzani wanafahamika ikiwa ni pamoja na wanachuo wenye uchungu na nchi yao. Kafulila ni jembe mimi nalikubali tena saana na hiyo ndo iliofanya akakubal kutoka ili asijinajisi km wengine ambao walikua wameamua kubaki ndani ya...
  7. N

    Natafuta marafiki wanaompenda yesu waliokoka tualiane

    Napenda kuwapata marafiki waliopo tayari au ambao wameokoka na wanaompenda bwana
  8. N

    @@@! Natafuta "Nyumba Ndogo" !@@@

    Okoka yesu yupo
  9. N

    hata kwa dawa ctaki

    Ni kazi ya mikono ya bwana, duh ama kweli yesu anawatu wengi hata hawa ni wake yeye, jina litukuzwe
  10. N

    Nini tofauti ya Nape na Tabwe Hiza?

    nape mnafiki tambwe mjinga nape ana bachelor tambwe ana cheti nape vuvuzela tambwe kasuku nape ana sera feki tambwe mbabaishaji nape mamluki wa ccm tamwe kibaraka wa cuf nape ni mdau wa ccj tambwe mdau cuf. yote 9 lakini ukimsikiliza nape unaweza ukatapika km una akili timamu coz ana ushamba...
  11. N

    MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

    SIO KWELI KWA  KUWA HILO HALIJAWAHI KUSEMWA NA MUNGU WAKATI WA UUMBAJI  WA VIUMBE, NADHANI HATA WEWE UMEZALIWA NA MWANAMKE
  12. N

    MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

    Sio kweli kwa kuwa hilo halijawahi kusemwa na mungu wakati wa uumbaji wa viumbe, nadhani hata wewe umezaliwa na mwanamke
Back
Top Bottom