wamezidi kufuata nyuma ya CDM kwa nini? Kwanini wasiende Rukwa? Wanasubiri wakisikia chadema imepita mahali nao utasikia hao nyuma kama nani vile....... Igeni ya tembo.
Leo taarifa ya habari ya itv wameonyesha mkutano wa CDM iringa lile nyomi ccm ingetumia fuso zaidi ya 300 kuwaleta
siku za Nepi kama katibu wa uenezi zimefika ukingoni. Ni bora afanye uamuzi mgumu. Kwanza ni kipindi cha uongozi wake ndiyo watu wanahama chama kwa mamia.
worse enough anatumia kauli za hovyo na matusi as he did at Iringa today. shame on HER.
Hakika umenena kamanda nami na amini BIDII YETU ITAINGIZATogether we can!bidii yetu na maamuzi yetu ndoitakayoiweka chadema madarakani!!!tuwe mabalozi wa mabadiliko,mimi na wewe!!!wewe,mimi na yule ndo tutakaoleta mabadiliko kwa kuchagua kilicho safi!!Peoplesss!!!!!!