USIPITE HEBU soma HAPA

Kama jamaa bado anampenda aende kanisa analosali binti ajaribu kuongea na viongozi wake wamsihi kama yy hataki kumsikiliza. Na pia jamaa ajiweke karibu na Mungu inawezekana huyo sie aliepangiwa.
 
Hivi watu wanaokoka kutokana na matatizo yaliyowapata?. shame on them. Yesu gani huyo anatafutwa kwa nguvu hivyo baada ya matatizo. We need sometime to come to agreement that also problems are part of our life hata dunia ina ups and downs we need to accept that.
 
siku zote dawa ya moto ni moto. cha kufanya huyo kijan aokoke na yeye akishaingia zizini ndo ataona utamu wake na Mungu atamfanyia jambo. Nakushukuru kwa kutupa taarifa bt nakusikitikia km hujampa Yesu maisha yako wewe
 
Kama hii stori ni ya kweli Mwambie Huyo Jamaa yako amuachie Mwanamke afanye Kazi ambayo MUNGU ANAMTUMIA. Hakika nawaambieni Huyo Mwanamke atakuja kutulia, Huyo Jamaa Yako mwambie asimwache huyo Mwanamke maana MUNGU amempenda ili Amtumikie, Inawezekana Mungu amemuita kupitia MATATIZO YA FAMILIA.
 
Cyo jukwaa langu lakini acha niache ujumbe huu!

Maandiko yananena hv: Usidharau mahubiri ya watumishi wake.

Kazi kweli kweli!!
 
I've been saying this "dini inafanya waTZ wengi kua almost vichaa" sii-dis dini na ni vyema sana mtu unapomkumbbuka Muumba wako ila iwe kwa kiasi, mwanako ajaribu kumshawishi huyo mpenzi wake kwa kutumia mistari ya Biblia pia it might work out ila ikizingua basi jamaa achukue 50 zake. Kuna mistari kwa Bible sikumbuki mafungu exactly ila nakumbuka vitabu, in Mithali inasema mshike sana elimu usimuache aende zake, in Muhubiri anasema na kila jambo lifanyike kwa kiasi, in Zaburi anasema kazi na sara, in Mithali tena anasema Mungu ni Mungu wa mpangilio yani kila jambo lifuate mkondo wake na in Mathayo anasema ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari. Hebu mtie hayo mafungu
 
Wakuu labda tunatumia Biblia tofauti, ni sehemu Mungu kasema nikikutumia acha mambo yako yote fanya kazi yangu tu? Paul mwenyewe alikua anahubiri na bado alikua fundi mzuri sana wa kutengeneza tents kwa ajili ya kipato chake, muda wote ukiwa kwa maombi tu bila kufanya kazi Mungu atakuangushia manna toka mbinguni ule.!? acheni hizo bana huyo mwanamke anazingua Yesu kasema acha dhambi na unifuate ajasema acha kazi zako za kila siku na uniombe tu. Dini inapoteza TZ/Africa ya leo for sure watu wanadanganywa sana na dini zao.
 
Kama hii stori ni ya kweli Mwambie Huyo Jamaa yako amuachie Mwanamke afanye Kazi ambayo MUNGU ANAMTUMIA. Hakika nawaambieni Huyo Mwanamke atakuja kutulia, Huyo Jamaa Yako mwambie asimwache huyo Mwanamke maana MUNGU amempenda ili Amtumikie, Inawezekana Mungu amemuita kupitia MATATIZO YA FAMILIA.

Mungu anamtumia ndio afeli mitiani kwa uzembe wa kutosoma,...hamna kitu kama hicho..asome kwa bidii na huku akihubiri injili hapo sawa
 
Usifungiwe nira na wasioamini, kwa hiyo mshauri kama anamtaka naye aokoke waendane sawa, au amuache tu maana ndoa hiyo haitadumu kwa utofauti wa imani.
The unseen is illustrated by the seen.
 
Kwa uliyoyaeleza ni dalili tosha za kujua kuwa huyo binti anaumwa ugonjwa wa Major Depressive Disorder (MDD) ambazo dalili zake ni kukosa interest ya vitu alivyokuwa akivifanya zamani, kukosa hamu ya chakula , feeling sad , loss of weight , desperate, feeling worthless and guilty on small things, may even commit suicide due to feeling of worthless.
Chukua Hatua haraka ya kumpeleka hospital kwa ajili ya psychiatrist consultation lkn mtampoteza huyo binti. Anayoyafanya sio kwa mapenzi yake bali ni underlying problem.
Jana 14 june Tukiwa katika mizunguko yetu ya life mi na rafiki yangu ghafla alipokea simu yake iliyokua ikiita na baada kukatika nikaona kama jamaa ghafla katokwa na mood {kapotea kimawazo} nakaanza kumdodosa kwa nini amechange ghafla kidogo agome kunieleza ila baada kushow care akanieleza yafuatayo:
MPENZI WAKE ALIPATWA NA TATIZO LA KIFAMILIA MWAKA JANA na HILO TATIZO LILIPELEKEA MPENZI WAKE KUOKOKA tangu safari yake ya wokovu imeanza kwa huyo mpenzi wake imemsababishia kukonda,anacomplicates life kitu kidogo tu YESU HAPENDI hata kiss imekuwa tabu kupata na mengine kibao hadi kupelekea jamaa yangu akae pembeni kucheki trend ya huyo mpenzi wake.Sasa ile simu aliyotoka kupigiwa ilikuwa ni taarifa kutoka kwa rafiki yake na jamaa yangu huyu ambaye anasoma na huyo msichana chuo kimoja hapa nchini ikimueleza kuwa mpenzi wake hasomi na anafail mitihani sana kutokana na kuwa MUDA wote anautumia kusali na free time yake anaitumia kuhubili Injili chumba hadi chumba kwenye hosteli za pale chuoni anaposoma na anazidi kupungua kwa kukonda kwa ajili ya kuzidisha kufunga(fasting) mara kwa mara.SASA JAMAA YANGU AMEINGIWA NA HURUMA ANAHISI MPENZI WAKE ANACHANGANYIKIWA NA KILA AKIMFUATA KUMUELEZA NDO KABISA JAMAA YANGU ANAONWA KAMA SHETANI ANAMTUMIA JAMAA ILI AMTOE MIKONONI MWA YESU.jamaa yangu hajui pa kuanzia mi nimeshindwa kumshauri nimemsihi ajipe muda aombe ushauri kwa watu mbali mbali ila nimeona bado nina nafasi ya kumshauri jamani mnalionje hili swala?
 
hata Yesu walidhani amechanganyikiwa; Amwache dada wa watu afanyekazi ya kuokoa roho zilizo potea
 
Ata kuwa na pepo huo sio ulokole wa kweli. Mshauri rafiki yako akawaone wachungaji.
 
kama hii stori ni ya kweli...
Huyo binti anasoma biblia gani?
Si imeandikwa shika sana elimu, usimuache aende zake?
 
Kaunga , Hongera kwa uamuzi wa kujiandalia maisha ya Baadae

Bwana akushike na kukuongoza ktk safari yako ya WOKOVU
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom