Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Wadau wa hapa mna kumbukumbu
Hasa konnie.
Wadau wa hapa mna kumbukumbu
Kama hii stori ni ya kweli Mwambie Huyo Jamaa yako amuachie Mwanamke afanye Kazi ambayo MUNGU ANAMTUMIA. Hakika nawaambieni Huyo Mwanamke atakuja kutulia, Huyo Jamaa Yako mwambie asimwache huyo Mwanamke maana MUNGU amempenda ili Amtumikie, Inawezekana Mungu amemuita kupitia MATATIZO YA FAMILIA.
Jana 14 june Tukiwa katika mizunguko yetu ya life mi na rafiki yangu ghafla alipokea simu yake iliyokua ikiita na baada kukatika nikaona kama jamaa ghafla katokwa na mood {kapotea kimawazo} nakaanza kumdodosa kwa nini amechange ghafla kidogo agome kunieleza ila baada kushow care akanieleza yafuatayo:
MPENZI WAKE ALIPATWA NA TATIZO LA KIFAMILIA MWAKA JANA na HILO TATIZO LILIPELEKEA MPENZI WAKE KUOKOKA tangu safari yake ya wokovu imeanza kwa huyo mpenzi wake imemsababishia kukonda,anacomplicates life kitu kidogo tu YESU HAPENDI hata kiss imekuwa tabu kupata na mengine kibao hadi kupelekea jamaa yangu akae pembeni kucheki trend ya huyo mpenzi wake.Sasa ile simu aliyotoka kupigiwa ilikuwa ni taarifa kutoka kwa rafiki yake na jamaa yangu huyu ambaye anasoma na huyo msichana chuo kimoja hapa nchini ikimueleza kuwa mpenzi wake hasomi na anafail mitihani sana kutokana na kuwa MUDA wote anautumia kusali na free time yake anaitumia kuhubili Injili chumba hadi chumba kwenye hosteli za pale chuoni anaposoma na anazidi kupungua kwa kukonda kwa ajili ya kuzidisha kufunga(fasting) mara kwa mara.SASA JAMAA YANGU AMEINGIWA NA HURUMA ANAHISI MPENZI WAKE ANACHANGANYIKIWA NA KILA AKIMFUATA KUMUELEZA NDO KABISA JAMAA YANGU ANAONWA KAMA SHETANI ANAMTUMIA JAMAA ILI AMTOE MIKONONI MWA YESU.jamaa yangu hajui pa kuanzia mi nimeshindwa kumshauri nimemsihi ajipe muda aombe ushauri kwa watu mbali mbali ila nimeona bado nina nafasi ya kumshauri jamani mnalionje hili swala?