Kuna part time job kwenye shirika moja la kimarekani hapa Arusha, wanahitaji mhasibu lakini lazima awe msichana. NGO yenyewe inasupport wasichana. Tafadhali ni-PM.
Karibu na kwetu, umoja wa JF Arusha, kila la kheri katika kupata kazi hiyo.Hellow,mm nipo arusha n according to your thread i do qualify. nimeshindwa kuku PM naomba unitext no yangu ni 0753388819.
Nitafuteni basi
hakuna kazi hapo wizi mtupu...mwanamke ili iweje...???? wizi mtupu....:lol::spy::embarassed2:
Karibu na kwetu, umoja wa JF Arusha, kila la kheri katika kupata kazi hiyo.
Kama upo Arusha hakuna pingamizi mkuu, karibu.:juggle:mkuu naona uko ki umoja zaidi...je sisi pia tunaweza kukaribishwa tukiweka number zetu za simu hapa kama alivyofanya huyu mrembo? :A S-coffee:
hellow,mm nipo arusha n according to your thread i do qualify. Nimeshindwa kuku pm naomba unitext no yangu ni 0753388819.