Recent content by Nilipe nisepe

  1. N

    Kwenu wachambuzi wa Mashariki ya Kati ( Iran, Israel na Marekani)

    Mkuu ukijibu hayo mwaswali yangu utakuwa umepata jibu ni nani hasa ni gaidi hii Dunia !! Na utaacha kutusumbua huku jukwaani ..
  2. N

    Kwenu wachambuzi wa Mashariki ya Kati ( Iran, Israel na Marekani)

    Na mimi nina maswali mkuu! Ni kweli Marekani alitupa bomu la Nuklia kule Japan Yiroshima na Nagasaki na kuuwa viumbe visivyo na hatia?? Swali la pili :Ni kweli Marekani aliuwa maelfu ya watu kule Iraq mwaka 2003 kwa kuwasingizia kuwa wana silaha za maangamizi wakati ilikuwa ni uongo!??? Naomba...
  3. N

    Kwenu wachambuzi wa Mashariki ya Kati ( Iran, Israel na Marekani)

    Yule aliyeuwa Wapelestina 720000 sio gaidi mtoa mada???
  4. N

    Mshahara laki mbili mkoani, au nijilipue Dar?

    Mkuu umesomea maendeleo ya jamii lakini wewe mwenyewe haujui jinsi gani utaendelea ?? Sasa jamii itaendeleaje?? Samahani lakini mkuu..
  5. N

    Ni lazima Tufanye Maandamano Makubwa ya Kitaifa kwa ajili ya Tundu Lissu na wengineo waliotekwa na kuuawa na kwa walioluliwa Okt 29 !!

    Mkuu mbona kelele nyingi huku?? Kwanini usianzee wewe hapo barabarani hata kesho
  6. N

    Netanyahu: Iran sasa ni dhaifu

    Dah hii vita ya Wairan na Waisraeli wa Jf ni kubwa sana kuliko vita vyenyewe.. Cha kushangaza vita iyo inapiganwa na watu hata wasiojuana.. Sasa hapo sijui mshindi atakua nani..!
  7. N

    Najua watu wataniona mjinga ila Lamine Yamal is talented than Lionel Messi

    Mtoa mada nenda kanywe supu mapema utoe hangover kwanza halafu uje uangalie tena uzi wako..
  8. N

    Mbunge Sumbawanga Mjini, Kuliko kujenga Muhimbili mpya kwa Tsh. 1.2 Trilioni bora tujenge hospitali mikoani kuipunguzia mzigo hospital hiyo

    Mkuu uwe unafatilia madaa inavoenda,sio unakurupuka kama umetoka kwenye Danguro..
  9. N

    Mbunge Sumbawanga Mjini, Kuliko kujenga Muhimbili mpya kwa Tsh. 1.2 Trilioni bora tujenge hospitali mikoani kuipunguzia mzigo hospital hiyo

    M Mkuu upo sahihi, Kuna hospital inaitwa Saifee aisee nilienda hapo na wife nikahisi nipo hotelini duh,,! Jamaa wamejipanga aisee,afya ni bisharaa..
  10. N

    Jinsi ya Kuchomoka Kwenye Mtego wa Umaskini wa Siri wa Tabaka la Kati (how to escape on The Middle Class Trap)

    Mkuu upo sahihi kabisaa,na mimi nakuunga mkono asilimia zote..! Lakini mkuu wewe baada ya kufanya hayo umekuwa tajiri kiasi gani? Naomba nijibu ili swali kuna tafiti nafanya kwa motivesho spika wa jf..
  11. N

    Uhalisia wa maisha ya Israel kipindi hiki cha vita

    Sawa mkuu kuwa makini sana, lakini naskia hao jamaa ni maarufu kwa kukulana donati.. Linda hiyo Tunu kwa hali na mali mkuu..
  12. N

    KERO Wilaya ya Mbinga Mkurugenzi anaenda kinyume na Sera ya Elimu, analazimisha Wanafunzi wasome masomo yote

    Mtoa mada umejawa na chuki kwa mkurugenzi!! Acha watoto wasome mbona sisi tulisoma..
  13. N

    Kujichua ni changamoto kwa taifa, hali ni mbaya

    Mkuu kifo ni kifo tu,vipi na yule mwanadada aliyeuliwa akiwa lodge??.!
Back
Top Bottom