Nyie mashabiki acheni ujuaji aisee!!.
Nyie si ndo mlisema Shalulile hana kitu lakini cha kushangaza ana goli kila mechi aliyocheza.!
Embu tulieni kocha afanye kazi yake aisee..!
Hahaha,kweli watu mnajua kufikiria aisee!!
Mtoa mada ukimwambia athibitishe aliyo yaandika hakuna analoweza..!
Hakuna uhusiano wowote kati ya uzinzi na mikosi!
Hizo ni story za kusadikika..
Sana sana uzinzi umebeba magonjwa na kupoteaza hela ..!
Mkuu wewe endelea kunywa soda zako.na mango passion!
Laiti ungejua izo zinavyotengenezwa wala usingeleta huo uzi hapa.!
Alafa shida sio pombe,shida ni mnywaji..!
Pombe haijawai kuwa na shida kwa waastaarabu..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.