Recent content by Nilipe nisepe

  1. N

    JamiiForums Tanzania Uhai wa binadamu unaanza wakati gani?

    Uhai wa mwanaume unaanza pale anapopata hela.! Mwanaume kama hana ela bado anakuwa kama hajazaliwa..
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kumfunga pingu Mwekezaji wa Mabasi ya Tilisho ni udhalilishaji, Vitisho na Ulevi wa madaraka

    Mtoa mada umeandika taka taka.! Ivi uyo Tilisho ana ela gani hadi ajifanye anakiburi!?? Uyo ni mjasiria mali mchanga sana kutoka hapoo Moshi. Amepata vihela kidogo ameamua kuwa mkorofi.. Jifunze kuheshimu mamlaka.! Mbona kina Abood wametii amri bila shuruti yeye ni nani??.
  3. N

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Ilibidi wakupige na kidole cha makalio maana nyie Gen zee hamna mnachoelewa kwenye hii dunia…
  4. N

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Yanga akiendelea kutumia mawinga wake hivi msimu huu hatoboi

    Nyie mashabiki acheni ujuaji aisee!!. Nyie si ndo mlisema Shalulile hana kitu lakini cha kushangaza ana goli kila mechi aliyocheza.! Embu tulieni kocha afanye kazi yake aisee..!
  5. N

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa haraka unahitajika wakuu

    Katika uzi taka taka ndani ya mwezi huu naupa namba 3.! Mtoa mada inaonekana ni mtu mbea mbea sana.!! Hana tofauti na wale wapemba wanavaa msuli..
  6. N

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu atapewa" kesi ya kujibu

    Akutwe na kesi au asikutwe tunachojua Tundu Lissu ni Shujaaa…
  7. N

    JamiiForums Tanzania Kama Unafanya Uzinzi Sahau Kufanikiwa Maisha (Labda kwa Kutumia Waganga au Utapeli)

    Hahaha,kweli watu mnajua kufikiria aisee!! Mtoa mada ukimwambia athibitishe aliyo yaandika hakuna analoweza..! Hakuna uhusiano wowote kati ya uzinzi na mikosi! Hizo ni story za kusadikika.. Sana sana uzinzi umebeba magonjwa na kupoteaza hela ..!
  8. N

    JamiiForums Tanzania Presha ya wafanyakazi baada ya weekend

    Mkuu kwani kuna tofauti gani wafanyakazi wa serikali na Private kwenye iyo mada yako??
  9. N

    JamiiForums Tanzania Katika miji niliyotembelea, Moshi ndio mji wa kijani zaidi

    Mkuu wasukuma wanakuja kwa kasi ya ajabu kushambulia huu uzi wako..
  10. N

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na Milioni 10 leo, utachagua kufanya nini kati ya shughuli hizi tatu?

    Mkuu baadae njoo na milioni 2 pale kitambaa cheupe Tabata kuna ushauri nitakupa..
  11. N

    JamiiForums Tanzania Taabu na Pombe ni Kaka na Dada

    Mkuu wewe endelea kunywa soda zako.na mango passion! Laiti ungejua izo zinavyotengenezwa wala usingeleta huo uzi hapa.! Alafa shida sio pombe,shida ni mnywaji..! Pombe haijawai kuwa na shida kwa waastaarabu..!
  12. N

    JamiiForums Tanzania Watoto wa 2000 Almaarufu kama Gen Z uwezo wenu wa Akili ni mdogo kuliko vizazi vingine

    Sasa kama kizazi kimegundua Ai ili iwasaidie kufikiri hapo kuna bunadamu mwenye akili timamu kweli???
  13. N

    JamiiForums Tanzania Kama leo ungekuwa ndio unatimiza miaka 26 ungefanya nini?

    Kwa ito mkuu hata akipata kazi Bank kama Crdb anatakiwa abadilishe kampuni sio??
  14. N

    JamiiForums Tanzania Mchaga kamwe haisomi namba ya Msukuma

    Mnapikiwa matakataka mnasema chakula.
Back
Top Bottom