Recent content by Nilipe nisepe

  1. N

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda amaliza kutoa ushahidi Mahakamani Septemba 9, 2026

    Mkuu kwani Heche anaenda mahakamani kama mwanasheria wa Lissu au shahidi wa Lissu? Mbona huku Jf kuna vilaza sana aisee??
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kama unataka kuwa kupitia TAJIRI kupitia kuajiriwa basi usisome kozi ya UDAKTARI

    Kwani mkuu matajiri wapo wangapi unaowajua?? Na jee ili uwe tajiri ni course gani unatakiwa kusomea ili tuwaambie watoto wetu wakasome??
  3. N

    JamiiForums Tanzania Kama unataka kuwa kupitia TAJIRI kupitia kuajiriwa basi usisome kozi ya UDAKTARI

    Cha kwanza wewe sio daktari, kwa muandiko huu wewe utakuwa Nurse au Co wa zahanati.. Alafu mkuu unaongelea madaktari gani hasa maana haujafafanua.. Halafu mkuu kila kazi duniani ni kujiongeza,embu fafanua unaongelea udaktari upi hasa hasa ..?
  4. N

    JamiiForums Tanzania Polisi form four failure wanataka kumuua Daktari Bingwa

    Polisi wakaw chini waongee na madaktari wqyamalize.. Madaktari ni jeshi kubwa sana.! Hivi wakiamua wasiwatibu Polisi wetu hali itakuaje huko mtaani??!
  5. N

    JamiiForums Tanzania Kwa nini huwa ni Mzena au nje ya nchi ?

    Sasa sisi makapuku tunataka na sisi tutibiwe hospital za viongozi? Hata hizo hospital za kawaida kumudu malipo yenyewe ni changamoto..! Sasa embu tuweni wapole..
  6. N

    JamiiForums Tanzania Ukweli wa Majonzi: Kifo cha Mume wa Rais Samia na Machungu ya Mauaji ya Tarehe 29 Oktoba

    Inaonekana akili huna! Bandiko lote ila ni taka taka tu! Huo muda wa kuandika utumbo huu bora ungekunywa hata konyagi..
  7. N

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa afya mkuje hapa

    Yani unaaita wataalamu wa afya kama unavoita michepuko yako sio.. Yani mtaalmu wa afya umuite ivo aje kizembe ulimsaidia kusoma??
  8. N

    JamiiForums Tanzania Wachezaji wa kuisaidia Yanga kimataifa humu hakuna

    Naona Makolo mmekuja kuanzisha kauzi chenu cha kujifariji hapa..
  9. N

    JamiiForums Tanzania Mudathir jitafakari bro, umekua slow sana hii ni Yanga

    Vijana wa Rage kweli nyie ni mbumbumbu.! Ivi hamshamgai Mudathiri kila kocha akija anampanga ?Unafikiri ni bahati mbaya?? Kweli Rage ajengewe sanamu..
  10. N

    JamiiForums Tanzania Ni bora kukomaa hapahapa Tanzania mungu atajaalia, kila nikiwaangalia wanao rudi kutoka Afrika Kusini, nachoka kabisa

    Mkuu haujui unachoongeaa aisee..! Ivi mkuu nchi gani ya ulaya ushawai kwenda???. Mkuu embu tupe uzoefu wako maana unachoongeaa unachekeeha sanaa…
  11. N

    JamiiForums Tanzania Linda Attention Yako: Usiwanufaishe Wengine!

    Mkuu baada ya kunywa chai na magimbi umeeamua na wewe uje utoe onyo ..!!
  12. N

    JamiiForums Tanzania Ni bora kukomaa hapahapa Tanzania mungu atajaalia, kila nikiwaangalia wanao rudi kutoka Afrika Kusini, nachoka kabisa

    Mkuu mbona kipengele cha living costs za huku haujakiongeleaa ?? Unafikiri iyo saving utaifanya ukiwa hauli,hauvai,na utakuwa unalala jalalani sio???
  13. N

    JamiiForums Tanzania Fabrizio Romano azitambulisha jezi mpya za Kimataifa za Yanga. Hakika Yanga ni kubwa sanaaaa

    Nisamehe mkuu,niliandika kwa njia ya utani wa jadi mkuu wangu .! Samahani sana mkuu..
  14. N

    JamiiForums Tanzania Onyo: Usimwoe mwanamke anayejipost mitandaoni

    Hahaha,wanaume tumekuwa watu wa ovyo sana aisee!! Kila siku tunaleta maonyo kuhusu wanawake..
Back
Top Bottom