Na mimi nina maswali mkuu!
Ni kweli Marekani alitupa bomu la Nuklia kule Japan Yiroshima na Nagasaki na kuuwa viumbe visivyo na hatia??
Swali la pili :Ni kweli Marekani aliuwa maelfu ya watu kule Iraq mwaka 2003 kwa kuwasingizia kuwa wana silaha za maangamizi wakati ilikuwa ni uongo!???
Naomba...
Dah hii vita ya Wairan na Waisraeli wa Jf ni kubwa sana kuliko vita vyenyewe..
Cha kushangaza vita iyo inapiganwa na watu hata wasiojuana..
Sasa hapo sijui mshindi atakua nani..!
Mkuu upo sahihi kabisaa,na mimi nakuunga mkono asilimia zote..!
Lakini mkuu wewe baada ya kufanya hayo umekuwa tajiri kiasi gani?
Naomba nijibu ili swali kuna tafiti nafanya kwa motivesho spika wa jf..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.