Recent content by Nilipe nisepe

  1. N

    JamiiForums Tanzania Tupia nguo yako kali unayoikubali muda wote

    Mkuu achana na izo story za wadada, Njoo hapa kitambaa cheupe karibu na Dj mara moja..
  2. N

    JamiiForums Tanzania Maono ya jicho la tatu: Namuona Dkt. Asha-Rose Migiro mbali sana , akiwa Mwenyekiti wa bunge maalumu la katiba na baadae Rais wa Jamhuri yetu

    Mkuu kuwa makini sana na hilo jicho la tatu mkuu usije ukaliwa donati mtuu…
  3. N

    JamiiForums Tanzania Haya ni baadhi ya matukio muhimu baada ya kupanda mount Kilimanjaro "way back" hakika ilikua safari nzuri na kuvutia sana

    Mkuu embu kuwa specific ulipanda njia gani,? Lemosho ,Rongai,Marangu,Ubwe au??
  4. N

    JamiiForums Tanzania Jesca Magufuli: Mikopo pekee haitoshi kwa Vijana, wapewe na elimu

    Hawa kila siku vijana vijanaa,waachane na sisi banaa,hatuwezi tetewa na wezi sisi,watuache tu kama tulivo ..
  5. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke ambaye sio rafiki yako hawezi kuwa mkeo

    Kwani mkuu haya umeyajuaje wakati hapa duniani sisi wote ni wageni mkuu???
  6. N

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ni marehemu anayetembea ambaye anatafuta kaburi la kuzikwa

    Mtoa mada mbona wewe ni marehemu mtarajiwa tena mjane ..
  7. N

    JamiiForums Tanzania Ukiroho wa tendo la Ngono

    Hakuna uhusiano wowote kati ya sex na izo roho mnaziita , Ni muafrika tu ndo anaamini ivyoo! Ndo maana bado tupo kwenye umaskini wa kutisha..
  8. N

    JamiiForums Tanzania Emmanuela Mtatifikolo ajitosa kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Isimani

    Aya nenda kachukue elfu 7 yako sasa kama malipo ya kumpigia chapuo..!
  9. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtazamo binafsi: Hatua anazopitia mwanamke baada ya kuachika kwenye ndoa yake

    Yani hao masingle Mama wakiona uzi wa Natafuta ajira lazima wauchungulie kwa mbali kama wanaaga maiti..
  10. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Kila mtu atajifunza kutokana na makosa yake..
  11. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Acha kutetea ujinga mkuu,hata kama likimkuta dada yake ni ujinga wa dada yake na inabidi atengwe na jamii ..
  12. N

    JamiiForums Tanzania Iran wanaweza juta kwa hili maana mapato yao yanategemea meli kutoka na kuingia kupitia hormuz, Marekani wataufunga tena

    Kweli unaweweseka kama kuku mwenye kideri..! Haujui hata kama Iran hategemei huo mlango kwenye uchumi wake..! Sasa ngoja tukujuze.! Huo mlango wa Hormuz ni kwa ajili ya mataifa mengine wala Iran hana sana faida nayo..!! Rudi kwenye uganga wa kienyeji na tabiri zako uchwara..
  13. N

    JamiiForums Tanzania JF imenifumbua macho

    Mkuu achana na ayoo mambo,baadae njoo plae kitambaa cheupe karibu na Dj upande wa kulia..
  14. N

    JamiiForums Tanzania Nianze na CPA au bachelor degree?

    Anzaa na boda bodaa mkuu..
  15. N

    JamiiForums Tanzania Britanicca ndio wewe? Unajisikiaje sasa?

    Uyo Britatanica ni mtabiri uchwara kama kaka yake Mshana,hana tofauti na mganga wa kienyeji..
Back
Top Bottom