Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 3,483
- 7,166
Hakuna kundi linaloteseka kama wafanyakazi wa serikali. Faraja yao kuu ni weekendi na public holidays. Ila masela wengine ikifika jumatatu ni mwendo wa kula tungi tu hawana stress za maisha. Ila wafanyakazi ni kukuru kakara. He/she wake up early in the morning doing the same thing from January to December. Mungu awasaidie sana.
min -me
min -me