Mchaga kamwe haisomi namba ya Msukuma

Mchaga kamwe haisomi namba ya Msukuma

unajua wewe mwenyewe huwezi ukajielewa ulivyo. Wengne ndio wanakuona ulivyo. Na hatujasema wana shda bali ni ule utofauti kidogo ambao unauna hapa sio fresh
Mimi mwenyewe naongea kawaida tu , maisha ya kawaida ya mtanzania wa kawaida ila nyie huko kazura mimba mkijipima maneno yangu na umaskini wenu mnaona ni masifa kumbe Kawaida tu
 
Mimi mwenyewe naongea kawaida tu , maisha ya kawaida ya mtanzania wa kawaida ila nyie huko kazura mimba mkijipima maneno yangu na umaskini wenu mnaona ni masifa kumbe Kawaida tu
naona umeanza kukosa adabu sasa acha niende hivi ntarudi na utafiti mwingne ila mim sijataja mtu nimeongelea wachaga na wasukuma kama umekasisika ambia serikali ifunge konyagi
 
Hahahaha nafurahia unavyo kiwasha ki anjo na pendaeli nakuwa nasoma tuu 😂 nikasema huyu tumfanye awe wa sembeti au mshiri kabisa
Yeah nimekulia marangu kwa baba mkubwa alie nunua eneo marangu ila hakujaliwa mtoto yeye na mkewe, mdogo wake ambae ni baba yangu ndio akampa mimi mwaka 89 nikae tu kwake , ndio nikakulia marangu nakijua kimarangu kwangu ni marangu kwa kupewa na baba mkubwa RIP 🙏

Japo pia baba yangu kanipa kibosho kirima eneo.
 
Yeah nimekulia marangu kwa baba mkubwa alie nunua eneo marangu ila hakujaliwa mtoto yeye na mkewe, mdogo wake ambae ni baba yangu ndio akampa mimi mwaka 89 nikae tu kwake , ndio nikakulia marangu nakijua kimarangu kwangu ni marangu kwa kupewa na baba mkubwa RIP 🙏

Japo pia baba yangu kanipa kibosho kirima eneo.
Mjomba umesogea karibu na kwetu aseeh lasima warombo tukuletee keifanti feki bwashee 😂
 
Jackson matthew watawashindaje na huku wao ni mafree manson kazi uchawi tu yaani nyie mnaona mtawashinda na uchawi wenu ila hakuna wachawi kama wachagga hakuna.

Maendeleo nyie mmewapita ila kwa uchawi bado sana sana
 
ule sasa ndio ugali na unakuta umeiva na sio ule ugali unaokaa kama tapish la mbwa ukimaliza kula unakaa karibu na mlango wa choo. Ule ugali mgumu ukiula kama unahisi utakumbua wewe tafuta paipai kula mambo yote kwisha. Yo gor me bra!
Mnapikiwa matakataka mnasema chakula.
 
Back
Top Bottom