Mchaga kamwe haisomi namba ya Msukuma

Mchaga kamwe haisomi namba ya Msukuma

Mimi sio msukuma wala mchaga lakini kwa upande wa msukuma kinacho mponza ni ushamba tu lakin mengne yote yupo fresh. Tukija kwa akina mangi shda kibao, kwanza hawajui kupka, wapenda misifa hata pasipo, kujifanya wanajua na huku hawajui
Mkuu unaongelea kupika ugali mgumu wa kukupa Constipation au??
 
Subiri hapo hapo nakuja na utafiti mwingne hadi mseme oktirimbe na ekambe maanake ni nini
 
Mkuu unaongelea kupika ugali mgumu wa kukupa Constipation au??
ule sasa ndio ugali na unakuta umeiva na sio ule ugali unaokaa kama tapish la mbwa ukimaliza kula unakaa karibu na mlango wa choo. Ule ugali mgumu ukiula kama unahisi utakumbua wewe tafuta paipai kula mambo yote kwisha. Yo gor me bra!
 
Wasukuma na nyie mjitahidi mtahiriwe na sio kukaa na mashine ikiwa cealed kumbe ndani ishaoza. Cku hizi hakuna cha mikono ya sweta.
 
Back
Top Bottom