Recent content by Neck of the Wood

  1. Neck of the Wood

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    we ni mbulula usiye na mipaka
  2. Neck of the Wood

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    the tower looks like watchtower signaling ships over horizon
  3. Neck of the Wood

    Ushauri: Jirani yangu anamtongoza mke wangu

    kupanga chumba ukiwa bachelor ni shida sana yaani mi napokaa ni mwaka wa pili huu lakin isingekuwa kuwa na roho ya chumba ningeshawala wake za watu wote hapa napokaa maana mwaka jana nmehamia tu kuna demu yeye yupo singo alikuwa anafanya kazi mikocheni akajigeuza ndio msemaji wangu yaani...
  4. Neck of the Wood

    Hii ndiyo "Private Jet" ya Mtume na Nabii Josephat Mwingira wa Efatha. Ni zama za Watumishi wa Mungu kumiliki ndege

    mitume na manabii walishapita zama zao hao wa sasa ni matapeli wanajifunzia nigeria raia badala ya kufight wapate maisha wanaenda kuwazawadia manabii feki pesa kila jpili tena wanapangwa kwa idadi ya sadaka
  5. Neck of the Wood

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    the only swag there is range rover autobiography other shits are just shits
  6. Neck of the Wood

    Kidiplomasia Tanzania tumeanguka sana!

    hahahaaa ulitaka mzee wa kuombewa akajibebishe kwa wakoloni wale wanaotuibia mchana kweupe sijui labda km Putin ila sio kwa malkia
  7. Neck of the Wood

    Wapenzi wa zamani kukutana na kufanya mapenzi 'kupasha kiporo'

    bodaboda pale kitaa watakuwa wanakupashia kiporo wife daily anajifanya kuumwa tumbo just wait and see
  8. Neck of the Wood

    Zitto Kabwe arudishwa darasani na mwalimu Polepole hakuna hata senti moja iliyopotea

    Hela imepigwa hiyo na huu mjadala haujaisha bado tutaskia mengi tu
  9. Neck of the Wood

    Nilichogundua kuhusu Wanawake wa Mombasa...

    ngoja nami nikaoe mombasa yakhee maana sio kwa utamu huo aliojipatia bwana Ali
  10. Neck of the Wood

    Fiji: Nchi inayokaliwa na Watanganyika wa kale

    wale ndo wana ufumbuzi jinsi gani tri 1.5 imepotea kimachomacho afu tunaambiwa tujipige vifua mbele nchi iko pazuri sana
  11. Neck of the Wood

    Kwa warembo mjifunze aina ya wanaume kabla ya kuanza kulalamika

    Wanawake hawajuagi wanataka nn aisee walishasema mwalimu wao kipofu kwahiyo ukiwaendekeza sana we ndo utakaeumia kwakuwa wanajifanyaga kupenda sana bad boys nawe kuwa bad tu hakuna kucheka nao maana huwa hwajifunzi chochote dawa yao hakun kuwadekeza
  12. Neck of the Wood

    Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

    hizo story utakuwa unawadihithia mabest zako pale ambapo utakuwa upo kwenu umezalishwa na hakuna wa kukuoa huku jua limeshazama na figa yote kupotea unabaki ninge ninge
  13. Neck of the Wood

    Nyerere atanisamehe sana huko aliko ila alikosea mno kuufanya Dodoma kuwa Mji Mkuu wa Tanzania

    bila aibu na haya umeonyesha jinsi gani ulivyojaza tui la nazi kwenye fuvu la kichwa kwa kuleta story za u'KANDA YA KASKAZINI' kwahiyo unaona kwamba nyie ndio mnaoustahili utanzania kuliko wgogo wa dom au chuki kwakuwa wanaichagua ccm kila chaguzi japo mimi sio mwana ccm wala chama chochote...
  14. Neck of the Wood

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    mchina alishawajua nyie ni washamba huenda kuzubaa kwenye malls na CBD kutafuta wifi ya bure ndo maaana kawajengea vituo vya treni vikubwa ili mjazane mshangae huku mkisubiri garimoshi la mchina kutoka Guangzhou museum
  15. Neck of the Wood

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    sugar consumption nayo ni sifa ya kuwa DC?
Back
Top Bottom