Ushauri: Jirani yangu anamtongoza mke wangu

Ushauri: Jirani yangu anamtongoza mke wangu

Nyie wanaume wa humu, kinachoshangaza ni nini? Mnadhani mkishaoa mnazuia wasitongozwe na wengine? Omba mke ajitambue. Atambue thamani yake. Kutongozwa sio dhambi wapendwa. Ni lazima kila anayemtongoza akwambie? Anyway, ongea na mkeo kwa namna ambayo si ya kumshutumu wala kumtuhumu ( in a friendly way)
Kuhadisiwa na mwanamke mitongozo anayo kutananayo ni mbaya sana
 
Yaani kua Mwanaume wa dar ni shidah unamshauri asaidiwe matumizi
 
Hivi kwa mfano huyo jirani yako akigonga mashine ya mkeo, bado utakuja jamvini kuomba ushauri?
 
Mkuu kumbuka kesho kazi, hii mim ilinitokea last week, saa moja asubuh nko njiani kutafuta bar ya kupunguza stress. Aisee I had 450 in my pocket ila mpaka sasa sina hata ya kupiga mwendokasi. Hawa viumbe ni hatari sana, kama hujaoa usikubali kuukwaa huu mtego. Huwezi jua raha ya kuwa bachelor mpaka ukioa

Poleni sana mliooa kwa mihemko! Yaan nioe mimi alafu mke anikoseshe amani??? Mwanamke anaeishi nyumbani kwangu mimi tena ambae tumekutana nae ukubwani anifanye niwe wa kwanza kwenda bar saa moja asbh????? Huo ni udhaifu mkubwa sana na inaonesha nyie ndo mnakaa na kuhudumiwa na mwanamke! Mwanaume unashindwa kuwa na maamuzi!!!! Shame on u
 
kupanga chumba ukiwa bachelor ni shida sana yaani mi napokaa ni mwaka wa pili huu lakin isingekuwa kuwa na roho ya chumba ningeshawala wake za watu wote hapa napokaa maana mwaka jana nmehamia tu kuna demu yeye yupo singo alikuwa anafanya kazi mikocheni akajigeuza ndio msemaji wangu yaani kukihitajika chochote nitoe iwe hela ya umeme au maji au takataka yeye ndo ananletea taarifa akijua nipo ghetto atajipitisha na kanga moja weee nkaona isiwe tabu kero hz namna ya kuziepuka ni kugonga afu kuleta madem wengine shobo zikaisha kweli akajilengesha akaliwa sasa wao wake z watu wakawa hawaelewani nae maana na wao walikuwa wanautaka mkwaju isingekuwa busara zangu ningewalamba wote na wasingeongea jamani kupanga chumba dar inahitaji moyo sana
 
Ila moyoni utakuwa unajikubali kuwa ulichagua kisu .
Sure huwa inatia kiburi sana moyoni kua umechagua chuma pia inafariji kua umepata mtu muaminifu ...

ila sasa mbaya ni pale unapokubali hii kitu alafu unapita muda mrefu bila kukuhadithia tena kuhusu kutongozwa. Hapo ndio utabaki na 21 questions kama 50 cent
 
Wazee kama nilivyowadokezea hapo juu.huyu jamaa tuko nae nyumba moja (2 in 1) ni bachela ila kwa uchunguzi nilioufanya kwa muda jamaa anamtongoza wife japo mkewangu hajaniambia ila vyanzo vyangu vimenithibitishia kwamba jamaa anamtongoza wife na huenda hata keshamtafuna ila sina kidhibiti.

Sasa hebu mnishauri cha kufanya nilitaka kumfuata ila nikaona tunaweza kupigana.
Mm naona kwa kua unaisi tuu uache usiwe na haraka endelea kujifanya mjinga utawadaka,au u hack SMU ya mke wako uwe unafuatilia mwenendo wake
 
Kama anafahamu fika yule ni Mke wako na bado anafanya ivyo bhas anakukosea sana... Mvute pembeni mwambie kiume tu akizidisha mazoea bunu mbunu nyingine
 
Ata usjali man mambo yakupita tu kwani anaondoka nayo,.....

Kuna jamaa yangu alinifundisha jambo moja gumu sijui ata anawezaje...

Jamaa anamkewe anaishi nae japo tofauti sometime zipo ila wanapendana sana....... Kuja mwana mwingine akawa anatembea na Mkewe jamaa akagundua mwenyewe na sister ake akamwambia ila jamaa anashow love kwa mwana na Demu wake na ajawai kumwambia yoyote kati yako....

Siku moja shem anatupikia njee si tupo ndani yule msela akatoka nje, basi shem alipiga kisauti flan cha mahaba msela akaniambia apo kelele hizo Atakua kamgusa titi apo..... Nilicheka sana
 
Back
Top Bottom