Zitto Kabwe arudishwa darasani na mwalimu Polepole hakuna hata senti moja iliyopotea

AUGUSTINO CHIWINGA

JF-Expert Member
Apr 23, 2017
220
689
Tarehe 18 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndg.Humphrey Polepole alifanya mkutano na waandishi wa habari kufafanua uzushi na uongo uliofanywa na Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini aliyedai kwamba kuna upotevu wa Trillion 1.5 uliogunduliwa katika ripoti ya Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Serikali CAG.

Ndg Polepole amekokotoa kitaalamu na kwa kutumia kanuni za kiuhasibu zinazotambulika kimataifa, hesabu zilizopo katika ripoti na ukweli ukagundulika kwamba hakuna upotevu wa Trillion 1.5 kama Ndugu Zitto alivyodanganya na kupotosha umma.

Zitto ambaya kitaaluma ni mchumi ameshindwa kukokotoa hesabu hizi ndogo za kidato cha kwanza.Ameshindwa kujua kwamba huwezi kukokotoa hesabu wakati wa ukaguzi kwa kutumia mapato ghafi badala ya mapato halisi.

JINSI ZITTO ASIVYOJUA HESABU.

Katika hesabu za Serikali kuna kitu kinaitwa mapato ghafi ambapo mapato hayo ghafi jumla yake yalikua ni Shillingi Trillion 25.3.

Sasa Zitto anasema ukichukua hayo mapato ghafi ya Trilion 25.3 ukitoa fedha ambayo CAG aliikuta kipindi anafanya ukaguzi ambayo ilikua ni Trilion 23.79 unapata Trillion 1.5.
Pesa ambayo Zitto anadai imepotea .
Huu ni uongo na upoyoshaji mkubwa Hiki ni kichekesho kwa mchumi kama Zitto kutojua hesabu hizi za kidato cha kwanza.
Katika kanuni za mahesabu ya ukaguzi huwezi ukakokotoa kwa kutumia mapato ghafi ni lazima uondoe ili upate mapato halisi kisha hayo ndiyo unayakokotoa na matumizi .

UKWELI WA TRLION.1.5 HUU HAPA.

Mapato ghafi ni Trilion 35.3 ndani ya hiyo pesa kuna pesa za kuwapa Zanzibar ambayo ni Billion 2003 na million 920.
Pesa ya Zanzibar huiwezi kuiweka katika Pesa za Jamhuri ya Muungano.Ni makosa kufanya hivyo.

Lakini pia hayo mapato ghafi yalikua yamejumlisha Huduma ambazo Serikali imezitoa lakini pesa haijangia bado ambazo jumla yake ni Billion 687 na Million 300.
Sasa ili upate makusanyo halisi unachukua mapato ghafi unatoa pesa zilizokusanywa kwa niaba ya Zanzibar lakini pia unatoa fedha tarajiwa .
Ukifanya hesabu hapo unapata jumla ya Trilion 24.4

Sasa hata katika ile Trilion. 23.79 haikua timilifu bali kulikuwepo na fedha yetu ya hati fungani ambayo ilikua bado haijaiva na ilipoiva jumla yake ikawa ni Billion 697 na Million 850.
Ukijumlisha Trillion 23.79 na Billion 697 na Million 850 unapata Trillion 24.4.

HESABU IMEBALANCE! HAKUNA FEDHA ILIYOPOTEA

Kwa hili ni kweli kabisa anastahili kukamatwa na kushtakiwa kwa kutoa taarifa za uongo.

Sheria ya Makosa ya Mtandao ya Mwaka ya 2015 kifungu cha 16 ( Cybercrimes Act of 2015) kinaeleza kuwa endapo mtu akipatikana na hatia ya kuchapisha taarifa za uongo zinazopotosha au siyo sahihi atatumikia adhabu ya kifungo kisichopungua miezi sita jela.

Zitto Kabwe ametoa taarifa hizo za uongo kupitia katika kurasa zake za mitandao ya Facebook ,Twitter na Instagram. Anastahili kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.

Zitto Kabwe alishawahi pia kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kusimamia mashirika ya umma (POAC) ndo maana sasa napata majawabu kwa nini mifuko ya hifadhi ya Jamii miaka hiyo ilifanya vibaya sana kumbe ilikua inasimamiwa na mtu zero brain kama Zitto.

Wasalaam,
Augustino Chiwinga.
 
Tarehe 18 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndg.Humphrey Polepole alifanya mkutano na waandishi wa habari kufafanua uzushi na uongo uliofanywa na Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini aliyedai kwamba kuna upotevu wa Trillion 1.5 uliogunduliwa katika ripoti ya Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Serikali CAG.

Ndg Polepole amekokotoa kitaalamu na kwa kutumia kanuni za kiuhasibu zinazotambulika kimataifa, hesabu zilizopo katika ripoti na ukweli ukagundulika kwamba hakuna upotevu wa Trillion 1.5 kama Ndugu Zitto alivyodanganya na kupotosha umma.

Zitto ambaya kitaaluma ni mchumi ameshindwa kukokotoa hesabu hizi ndogo za kidato cha kwanza.Ameshindwa kujua kwamba huwezi kukokotoa hesabu wakati wa ukaguzi kwa kutumia mapato ghafi badala ya mapato halisi.

JINSI ZITTO ASIVYOJUA HESABU.

Katika hesabu za Serikali kuna kitu kinaitwa mapato ghafi ambapo mapato hayo ghafi jumla yake yalikua ni Shillingi Trillion 25.3.

Sasa Zitto anasema ukichukua hayo mapato ghafi ya Trilion 25.3 ukitoa fedha ambayo CAG aliikuta kipindi anafanya ukaguzi ambayo ilikua ni Trilion 23.79 unapata Trillion 1.5.
Pesa ambayo Zitto anadai imepotea .
Huu ni uongo na upoyoshaji mkubwa Hiki ni kichekesho kwa mchumi kama Zitto kutojua hesabu hizi za kidato cha kwanza.
Katika kanuni za mahesabu ya ukaguzi huwezi ukakokotoa kwa kutumia mapato ghafi ni lazima uondoe ili upate mapato halisi kisha hayo ndiyo unayakokotoa na matumizi .

UKWELI WA TRLION.1.5 HUU HAPA.

Mapato ghafi ni Trilion 35.3 ndani ya hiyo pesa kuna pesa za kuwapa Zanzibar ambayo ni Billion 2003 na million 920.
Pesa ya Zanzibar huiwezi kuiweka katika Pesa za Jamhuri ya Muungano.Ni makosa kufanya hivyo.

Lakini pia hayo mapato ghafi yalikua yamejumlisha Huduma ambazo Serikali imezitoa lakini pesa haijangia bado ambazo jumla yake ni Billion 687 na Million 300.
Sasa ili upate makusanyo halisi unachukua mapato ghafi unatoa pesa zilizokusanywa kwa niaba ya Zanzibar lakini pia unatoa fedha tarajiwa .
Ukifanya hesabu hapo unapata jumla ya Trilion 24.4

Sasa hata katika ile Trilion. 23.79 haikua timilifu bali kulikuwepo na fedha yetu ya hati fungani ambayo ilikua bado haijaiva na ilipoiva jumla yake ikawa ni Billion 697 na Million 850.
Ukijumlisha Trillion 23.79 na Billion 697 na Million 850 unapata Trillion 24.4.

HESABU IMEBALANCE! HAKUNA FEDHA ILIYOPOTEA

Kwa hili ni kweli kabisa anastahili kukamatwa na kushtakiwa kwa kutoa taarifa za uongo.

Sheria ya Makosa ya Mtandao ya Mwaka ya 2015 kifungu cha 16 ( Cybercrimes Act of 2015) kinaeleza kuwa endapo mtu akipatikana na hatia ya kuchapisha taarifa za uongo zinazopotosha au siyo sahihi atatumikia adhabu ya kifungo kisichopungua miezi sita jela.

Zitto Kabwe ametoa taarifa hizo za uongo kupitia katika kurasa zake za mitandao ya Facebook ,Twitter na Instagram. Anastahili kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.

Zitto Kabwe alishawahi pia kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kusimamia mashirika ya umma (POAC) ndo maana sasa napata majawabu kwa nini mifuko ya hifadhi ya Jamii miaka hiyo ilifanya vibaya sana kumbe ilikua inasimamiwa na mtu zero brain kama Zitto.

Wasalaam,
Augustino Chiwinga.

Mod unganisha huu ugoro
 
Chadema/UKAWA wamemuacha Zitto ajikaange na mafuta yake mwenyewe.
 
Wala hakuna mtu wa chadema bungeni aliyemjibu zitto walimwachia upumbavu wake weeee
 
Tarehe 18 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndg.Humphrey Polepole alifanya mkutano na waandishi wa habari kufafanua uzushi na uongo uliofanywa na Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini aliyedai kwamba kuna upotevu wa Trillion 1.5 uliogunduliwa katika ripoti ya Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Serikali CAG.

Ndg Polepole amekokotoa kitaalamu na kwa kutumia kanuni za kiuhasibu zinazotambulika kimataifa, hesabu zilizopo katika ripoti na ukweli ukagundulika kwamba hakuna upotevu wa Trillion 1.5 kama Ndugu Zitto alivyodanganya na kupotosha umma.

Zitto ambaya kitaaluma ni mchumi ameshindwa kukokotoa hesabu hizi ndogo za kidato cha kwanza.Ameshindwa kujua kwamba huwezi kukokotoa hesabu wakati wa ukaguzi kwa kutumia mapato ghafi badala ya mapato halisi.

JINSI ZITTO ASIVYOJUA HESABU.

Katika hesabu za Serikali kuna kitu kinaitwa mapato ghafi ambapo mapato hayo ghafi jumla yake yalikua ni Shillingi Trillion 25.3.

Sasa Zitto anasema ukichukua hayo mapato ghafi ya Trilion 25.3 ukitoa fedha ambayo CAG aliikuta kipindi anafanya ukaguzi ambayo ilikua ni Trilion 23.79 unapata Trillion 1.5.
Pesa ambayo Zitto anadai imepotea .
Huu ni uongo na upoyoshaji mkubwa Hiki ni kichekesho kwa mchumi kama Zitto kutojua hesabu hizi za kidato cha kwanza.
Katika kanuni za mahesabu ya ukaguzi huwezi ukakokotoa kwa kutumia mapato ghafi ni lazima uondoe ili upate mapato halisi kisha hayo ndiyo unayakokotoa na matumizi .

UKWELI WA TRLION.1.5 HUU HAPA.

Mapato ghafi ni Trilion 35.3 ndani ya hiyo pesa kuna pesa za kuwapa Zanzibar ambayo ni Billion 2003 na million 920.
Pesa ya Zanzibar huiwezi kuiweka katika Pesa za Jamhuri ya Muungano.Ni makosa kufanya hivyo.

Lakini pia hayo mapato ghafi yalikua yamejumlisha Huduma ambazo Serikali imezitoa lakini pesa haijangia bado ambazo jumla yake ni Billion 687 na Million 300.
Sasa ili upate makusanyo halisi unachukua mapato ghafi unatoa pesa zilizokusanywa kwa niaba ya Zanzibar lakini pia unatoa fedha tarajiwa .
Ukifanya hesabu hapo unapata jumla ya Trilion 24.4

Sasa hata katika ile Trilion. 23.79 haikua timilifu bali kulikuwepo na fedha yetu ya hati fungani ambayo ilikua bado haijaiva na ilipoiva jumla yake ikawa ni Billion 697 na Million 850.
Ukijumlisha Trillion 23.79 na Billion 697 na Million 850 unapata Trillion 24.4.

HESABU IMEBALANCE! HAKUNA FEDHA ILIYOPOTEA

Kwa hili ni kweli kabisa anastahili kukamatwa na kushtakiwa kwa kutoa taarifa za uongo.

Sheria ya Makosa ya Mtandao ya Mwaka ya 2015 kifungu cha 16 ( Cybercrimes Act of 2015) kinaeleza kuwa endapo mtu akipatikana na hatia ya kuchapisha taarifa za uongo zinazopotosha au siyo sahihi atatumikia adhabu ya kifungo kisichopungua miezi sita jela.

Zitto Kabwe ametoa taarifa hizo za uongo kupitia katika kurasa zake za mitandao ya Facebook ,Twitter na Instagram. Anastahili kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.

Zitto Kabwe alishawahi pia kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kusimamia mashirika ya umma (POAC) ndo maana sasa napata majawabu kwa nini mifuko ya hifadhi ya Jamii miaka hiyo ilifanya vibaya sana kumbe ilikua inasimamiwa na mtu zero brain kama Zitto.

Wasalaam,
Augustino Chiwinga.
Akili yako haina tofauti na bashite ambaye haeleweki kama alisoma au hakusoma
Mnamshambulia Zitto wakati mtoa taarifa ni CAG
Muwe mnatumia vichwa na ubongo wenu kupambanua mambo sio kukurupuka tu kwa ajili ya kumfurahisha bwana yule
Usinijibu tafadhali maana kitakachofuata naogopa ban
 
Akili yako haina tofauti na bashite ambaye haeleweki kama alisoma au hakusoma
Mnamshambulia Zitto wakati mtoa taarifa ni CAG
Muwe mnatumia vichwa na ubongo wenu kupambanua mambo sio kukurupuka tu kwa ajili ya kumfurahisha bwana yule
Usinijibu tafadhali maana kitakachofuata naogopa ban
Kisu kimegusa mfupa
 
Hivi kwa kuangalia kwa macho ya kawaida ya binadamu nani aweza kuwa mkweli na mwenye uchungu na nia njema ya maendeleo ya Tanzania kati MAGUFULI VS ZITTO??.

Tukipata jibu sahihi hapa mjadala wa tsh 1.5tr utaishia hapo.
 
Kwenye ripoti yake, CAG hajasema popote kuwa TZS 1.5trn zimeibiwa. Alichosema leo Ikulu ndio msimamo wake uliopo kwenye Taarifa yake ukurasa wa 34. Fedha hizo HAZIONEKANI kwenye matumizi ya Serikali ya mwaka 2016/17.



Ndio maana tunahoji zipo wapi. Tunataka Ukaguzi Maalumu ili kuhakiki majibu ya Serikali na kujua hela zetu zipo wapi. Hilo tu, hakuna lingine.



Vitisho vya hatua za kisheria ni tambo tu za watawala, hazina maana yeyote. Kumsimamisha CAG Ikulu na kumhoji mbele ya Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama ni kumtisha CAG, ni kinyume na misingi ya Katiba yetu. Ripoti ya CAG ikishakuwa mbele ya Bunge sio Ripoti ya Executive tena. Ni mali ya Bunge. Kama Rais ana majibu aende akayaseme Bungeni mbele ya PAC.



Rais sio wa kumchekea chekea anapovunja misingi ya nchi yetu. Ni lazima ADHIBITIWE na Taasisi za Kikatiba ikiwemo Bunge. Rais leo amekosea. CAG naye amekosea kwenda Ikulu.



Watanzania sikilizeni, mimi nimekuwa Mwenyekiti wa PAC/POAC miaka 8, ninajua kusoma, kuchambua na kutafsiri Taarifa ya CAG. TZS 1.5trn hazina maelezo, hazipo Benki Kuu na Maelezo ya Naibu Waziri Fedha leo ni kujikosha tu.



Nikiwa Mwenyekiti wa PAC, Mwaka 2013 Waziri wa Ujenzi John Pombe Magufuli alikutwa na Hoja ya ukaguzi ya TZS 252 bilioni ya ujenzi wa barabara hewa ambayo mpaka sasa haijajibiwa na utaikuta kwenye Hoja za CAG za mwaka 2016/17. Hivyo ni Kawaida yake kutoheshimu sheria za Fedha na kutojibu Hoja za Ukaguzi.



Kama Serikali ina uhakika kabisa hii hoja ya TZS 1.5trn haipo inipeleke mahakamani hata leo. Nitawashinda hata Jaji akiwa mmoja wa majaji wapya walioapishwa leo.



Mimi siogopi. Nitasema UKWELI daima fitina kwangu mwiko.



Zipo wapi TZS 1.5trn?
 
Watanzania wenzangu,

Kwenye ripoti yake, CAG hajasema popote kuwa TZS 1.5trn zimeibiwa. Alichosema leo Ikulu ndio msimamo wake uliopo kwenye Taarifa yake ukurasa wa 34. Fedha hizo HAZIONEKANI kwenye matumizi ya Serikali ya mwaka 2016/17.

Ndio maana tunahoji zipo wapi. Tunataka Ukaguzi Maalumu ili kuhakiki majibu ya Serikali na kujua hela zetu zipo wapi. Hilo tu, hakuna lingine.

Vitisho vya hatua za kisheria ni tambo tu za watawala, hazina maana yeyote. Kumsimamisha CAG Ikulu na kumhoji mbele ya Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama ni kumtisha CAG, ni kinyume na misingi ya Katiba yetu. Ripoti ya CAG ikishakuwa mbele ya Bunge sio Ripoti ya Executive tena. Ni mali ya Bunge. Kama Rais ana majibu aende akayaseme Bungeni mbele ya PAC.

Rais sio wa kumchekea chekea anapovunja misingi ya nchi yetu. Ni lazima ADHIBITIWE na Taasisi za Kikatiba ikiwemo Bunge. Rais leo amekosea. CAG naye amekosea kwenda Ikulu.

Watanzania sikilizeni, mimi nimekuwa Mwenyekiti wa PAC/POAC miaka 8, ninajua kusoma, kuchambua na kutafsiri Taarifa ya CAG. TZS 1.5trn hazina maelezo, hazipo Benki Kuu na Maelezo ya Naibu Waziri Fedha leo ni kujikosha tu.

Nikiwa Mwenyekiti wa PAC, Mwaka 2013 Waziri wa Ujenzi John Pombe Magufuli alikutwa na Hoja ya ukaguzi ya TZS 252 bilioni ya ujenzi wa barabara hewa ambayo mpaka sasa haijajibiwa na utaikuta kwenye Hoja za CAG za mwaka 2016/17. Hivyo ni Kawaida yake kutoheshimu sheria za Fedha na kutojibu Hoja za Ukaguzi.

Kama Serikali ina uhakika kabisa hii hoja ya TZS 1.5trn haipo inipeleke mahakamani hata leo. Nitawashinda hata Jaji akiwa mmoja wa majaji wapya walioapishwa leo.

Mimi siogopi. Nitasema UKWELI daima fitina kwangu mwiko.

Zipo wapi TZS 1.5trn?
 
Tarehe 18 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndg.Humphrey Polepole alifanya mkutano na waandishi wa habari kufafanua uzushi na uongo uliofanywa na Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini aliyedai kwamba kuna upotevu wa Trillion 1.5 uliogunduliwa katika ripoti ya Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Serikali CAG.

Ndg Polepole amekokotoa kitaalamu na kwa kutumia kanuni za kiuhasibu zinazotambulika kimataifa, hesabu zilizopo katika ripoti na ukweli ukagundulika kwamba hakuna upotevu wa Trillion 1.5 kama Ndugu Zitto alivyodanganya na kupotosha umma.

Zitto ambaya kitaaluma ni mchumi ameshindwa kukokotoa hesabu hizi ndogo za kidato cha kwanza.Ameshindwa kujua kwamba huwezi kukokotoa hesabu wakati wa ukaguzi kwa kutumia mapato ghafi badala ya mapato halisi.

JINSI ZITTO ASIVYOJUA HESABU.

Katika hesabu za Serikali kuna kitu kinaitwa mapato ghafi ambapo mapato hayo ghafi jumla yake yalikua ni Shillingi Trillion 25.3.

Sasa Zitto anasema ukichukua hayo mapato ghafi ya Trilion 25.3 ukitoa fedha ambayo CAG aliikuta kipindi anafanya ukaguzi ambayo ilikua ni Trilion 23.79 unapata Trillion 1.5.
Pesa ambayo Zitto anadai imepotea .
Huu ni uongo na upoyoshaji mkubwa Hiki ni kichekesho kwa mchumi kama Zitto kutojua hesabu hizi za kidato cha kwanza.
Katika kanuni za mahesabu ya ukaguzi huwezi ukakokotoa kwa kutumia mapato ghafi ni lazima uondoe ili upate mapato halisi kisha hayo ndiyo unayakokotoa na matumizi .

UKWELI WA TRLION.1.5 HUU HAPA.

Mapato ghafi ni Trilion 35.3 ndani ya hiyo pesa kuna pesa za kuwapa Zanzibar ambayo ni Billion 2003 na million 920.
Pesa ya Zanzibar huiwezi kuiweka katika Pesa za Jamhuri ya Muungano.Ni makosa kufanya hivyo.

Lakini pia hayo mapato ghafi yalikua yamejumlisha Huduma ambazo Serikali imezitoa lakini pesa haijangia bado ambazo jumla yake ni Billion 687 na Million 300.
Sasa ili upate makusanyo halisi unachukua mapato ghafi unatoa pesa zilizokusanywa kwa niaba ya Zanzibar lakini pia unatoa fedha tarajiwa .
Ukifanya hesabu hapo unapata jumla ya Trilion 24.4

Sasa hata katika ile Trilion. 23.79 haikua timilifu bali kulikuwepo na fedha yetu ya hati fungani ambayo ilikua bado haijaiva na ilipoiva jumla yake ikawa ni Billion 697 na Million 850.
Ukijumlisha Trillion 23.79 na Billion 697 na Million 850 unapata Trillion 24.4.

HESABU IMEBALANCE! HAKUNA FEDHA ILIYOPOTEA

Kwa hili ni kweli kabisa anastahili kukamatwa na kushtakiwa kwa kutoa taarifa za uongo.

Sheria ya Makosa ya Mtandao ya Mwaka ya 2015 kifungu cha 16 ( Cybercrimes Act of 2015) kinaeleza kuwa endapo mtu akipatikana na hatia ya kuchapisha taarifa za uongo zinazopotosha au siyo sahihi atatumikia adhabu ya kifungo kisichopungua miezi sita jela.

Zitto Kabwe ametoa taarifa hizo za uongo kupitia katika kurasa zake za mitandao ya Facebook ,Twitter na Instagram. Anastahili kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.

Zitto Kabwe alishawahi pia kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kusimamia mashirika ya umma (POAC) ndo maana sasa napata majawabu kwa nini mifuko ya hifadhi ya Jamii miaka hiyo ilifanya vibaya sana kumbe ilikua inasimamiwa na mtu zero brain kama Zitto.

Wasalaam,
Augustino Chiwinga.
Zero brain,una maana ya zero sifuri au mimi ndio sielewi..?
 
Halafu huwa akitaka kushtua watu, lazima atumie maneno ambayo yatazua taharuki, lakini content wise, hakuna kitu...
Mnahabari DPP amefunga jalada la yale mauaji ya Aquline Akwelina? Kwanini huu mjadala wa matrilioni yaliyopigwa unachelewa kufungwa?
 
Kifupi Ado shaibu press release yake inaeleweka kuliko huu utumbo wenu, hadi kuusoma inaudhi.
 
Akili yako haina tofauti na bashite ambaye haeleweki kama alisoma au hakusoma
Mnamshambulia Zitto wakati mtoa taarifa ni CAG
Muwe mnatumia vichwa na ubongo wenu kupambanua mambo sio kukurupuka tu kwa ajili ya kumfurahisha bwana yule
Usinijibu tafadhali maana kitakachofuata naogopa ban
Nataman akujibu ili nione jibu atakalopewa thereafter.
 
Back
Top Bottom