Sio kweli Nina dada yangu amemaliza miaka zaidi ya 10 na mwaka Jana kafanya mtihani na mwaka huu kapata matokeo na kapasua vizuri tuu mm pia Nina zaidi ya miaka mitano na nimeshasajiliwa NECTA kwa ajili ya mtihani mwaka huu so fatilia mapema usiridhike na majibu marahisi tu
Pole sana hali hiyo ilinipata kipindi Fulani hivi nilitamani kufanya hayo BT nilikuwa najipa moyo na kuamini mungu hakunileta duniani ili nipate shida sikupata msaada km wako kwa watu niliowategemea bt nilisimama nilipambana mpaka nijue hatma yangu sikuacha pia kulia na mungu na kumuomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.