Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,926
Hahahaah sawa mtani.Jumamosi mtani.
Kesho tukutane kwa sports [emoji6]
Lazima muangukie pua dadadeki,haiwezekani machozi yangu ya juzi yaende bure.
Sasa hiyo kesho utakuwa upande wa lambalamba??
Hahahaah sawa mtani.Jumamosi mtani.
Kesho tukutane kwa sports [emoji6]
Lazima muangukie pua dadadeki,haiwezekani machozi yangu ya juzi yaende bure.
Hilo la kuuliza mtani?Hahahaah sawa mtani.
Sasa hiyo kesho utakuwa upande wa lambalamba??
Jamaa nadhan hapo hakuwa makini,mzee amesema kama bei ndogo ataongeza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hukutazama au unataka kuupotosha umma? Usiwe unabisha kisiasa mara zote. Rais amesema atapandisha au kushusha bei!
Mzee Tupatupa
I Think unahitaji ban si bure [emoji30] [emoji30] [emoji30] MziziMkavu nipe dawa ya kumfanya mtu asahau nywila zake za jf ndani ya mwezi mmoja tu unamtosha
Kaka jamaniiiiiii! Unataka sisi tule nini?Pale unapopata dada mnoko [emoji31] [emoji31] [emoji31]
Aaaah mdau nikila ban unadhan Clkey ntamuonea wapi?I Think unahitaji ban si bure [emoji30] [emoji30] [emoji30] MziziMkavu nipe dawa ya kumfanya mtu asahau nywila zake za jf ndani ya mwezi mmoja tu unamtosha
Simba bingwa hamna namnaHilo la kuuliza mtani?
Lazima mlewe lambalamba,kipindi cha kwanza tu mtalala 2-0,utanitafuta [emoji4].
Nauchunguza mkono sioni Password kwenye vidole vya ClkeyMkuu umemmiss clkey...?she will be back soon...![]()
Yess..Ni genius kama huyo mkuu hapo kwenye avatar [emoji4].
Aahhh tutafanyaje bwana na mpini unao wewe, jimegee mapaja tu vidali na shingo tupe sisi [emoji23] [emoji23]Kaka jamaniiiiiii! Unataka sisi tule nini?
Shemeji yako anatafuta mkate wa wajomba zako hapo baadae na dada yako kwa sasa,vumilia tu [emoji4].
Na mimi naunga hojaSio siri jumamosi ni mbali mkuu ze bold na cheupe wako bibie nifah.. Hamna namna tunaweza edit ratiba? [emoji6] ili kukabiliana na hii arosto
Mi nilipropose tu tumtumie japo kidogo, hiyo post ilikua inarukwa tu hahahaHuyu jamaa si wampe ajira tuu humu JF aache hizo kazi
Ntakata rufaa TCRAHhahha huyo @CIkey ndo atakupigisha ban mkuu