Korozoni
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 264
- 105
Habari wana Jukwaa,
mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 25,nimesoma mpaka kidato cha sita lakini matokeo yangu hayakuwa mazuri.Mwaka niliofanya mtihani ni 2014.
Na baada ya matokeo kwenda mrama nilijitahidi kufanya kazi za hapa na pale ili nikusanye kiasi cha fedha kitakachoniwezesha kujiunga na vyuo vya kati.
Bahati mbaya sana pesa niliyoipata iliishia kuhudumia familia yangu(mimi,wadogo zangu na mama yangu),baba yupo na maisha yake pamoja na ndugu wengine ambao ni half brothers!
Kaka zangu(Half brothers) wamesoma kiasi chake na walikuwa wakitoa ahadi za kunisaidia kusoma lakini mwisho wa siku wanashindwa kutekeleza.
Hivyo nimekuwa nikiishi maisha magumu sana yenye misukosuko sana.
Lakini kuna jambo si jema lilianza mwezi desemba mwaka jana ambalo ni kujiwa na fikra mbaya kichwani zinazonishawishi kujiua kwa kujitupa mbele ya gari au kwa vitu vya ncha kali.
Hali hii ilianza mara baada ya tatizo la kichwa kuuma upande mmoja(migraines) kwisha.
Nimejaribu kulazimisha ubongo ufikirie mengine lakini wapi!naomba wataalam mliopo humu jukwaani mnisaidie nini hasa tatizo langu na nifanye nini kuondokana nalo,
Asante na nawasilisha!
mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 25,nimesoma mpaka kidato cha sita lakini matokeo yangu hayakuwa mazuri.Mwaka niliofanya mtihani ni 2014.
Na baada ya matokeo kwenda mrama nilijitahidi kufanya kazi za hapa na pale ili nikusanye kiasi cha fedha kitakachoniwezesha kujiunga na vyuo vya kati.
Bahati mbaya sana pesa niliyoipata iliishia kuhudumia familia yangu(mimi,wadogo zangu na mama yangu),baba yupo na maisha yake pamoja na ndugu wengine ambao ni half brothers!
Kaka zangu(Half brothers) wamesoma kiasi chake na walikuwa wakitoa ahadi za kunisaidia kusoma lakini mwisho wa siku wanashindwa kutekeleza.
Hivyo nimekuwa nikiishi maisha magumu sana yenye misukosuko sana.
Lakini kuna jambo si jema lilianza mwezi desemba mwaka jana ambalo ni kujiwa na fikra mbaya kichwani zinazonishawishi kujiua kwa kujitupa mbele ya gari au kwa vitu vya ncha kali.
Hali hii ilianza mara baada ya tatizo la kichwa kuuma upande mmoja(migraines) kwisha.
Nimejaribu kulazimisha ubongo ufikirie mengine lakini wapi!naomba wataalam mliopo humu jukwaani mnisaidie nini hasa tatizo langu na nifanye nini kuondokana nalo,
Asante na nawasilisha!