Mbona hicho cha mtoto soma hapa
No Smoking" in Kiswahili.
After public smoking was banned in Kenya , each Town Clerk was assigned the duty of posting notices in Kiswahili to that effect. See how different councils posted their notice: Other councils are still working on theirs...
Mtu B,
Umesema kweli ni tabia ya kijiendekeza na kupenda vya chee. kwani mbona huko vijijini kuwa ma- impotence wengi na si mashoga jamani?
Kama amezaliwa vile mbona kuna ma- Dr wa mitishamba wanajitangaza kutibu kwanini wasiwaendee kupata tiba?
Pia kupata pesa za vuu na zisizo na baraka...
JUZAMO
siamini na utafiti huu wa huyo dokta uchwara wa kitanganyika[/I].
Ehe,Juz hebu leta utafiti wa dokta Mtg aliye maridadi tuuone.
[I]Jamani kuweni wa kweli mbona hamuwi wa kweli kila kitu mnasukumwa na dini najua uyo dokta ansumbuliwa na ukabila na ugalatia
Ehe kumbe utafiti wa...
Mbona hii ipo sana hasa kwa baba wa kambo.
Jamii inapaswa kujiuliza chanzo nini? Maadili kuporomoka, tumemsahau Mungu na mafundisho ya kiroho, Laana zimetawala, kuchanganyikiwa na maisha au Mapesa yasiyokuwa na baraka yanawavuruga akili zetu?
Naomba Tujadili chanzo kwani lisemwalo lipo...
Maane, Kumbuka usemi wa "usikatae wito.........." Paroko ni mtumishi wa Mungu hivyo ni ktk kufuata matendo ya bwana wetu Yesu kristu aliyewaambia mafarisayo kuwa" Sikuja kuwaita watu wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu".
Pili watu walioalikwa na EL ni marafiki zake hata kabla hajapata...
Kila mbuyu na shetani wake na usiusemee moyo wa mwenzio kwani kila mtu anamaumbile ,mtazamo,na fikira zake ingawa wote wako jinsia moja. kama ambavyo kila mzazi atawasemea wanae kuwa malaria ya vijududu 2 vikimkamata fulani humu ndani hatulali lakini mwanangu fulani ahhaa utafikiri haumwi, ni...
Kitendo alichokifanya Spika dhidi ya Cheyo si cha kiungwana kabisa. Cheyo alionyesha utulivu na kutokujibu maneno ya kejeli ambayo spika aliendelea kuyatoa. Kweli Bunge limetawaliwa na chuki binafsi.
Hivi Spika alipima vipi udikiteta wa Cheyo, kwa ile picha ya jana yupi dicteta kati ya...
Nakumbuka maneno ya Dr Sengondo,M aliyasema akihojiwa na mwandishi kuwa Mawakili na wasomi wako busy kuwatetea matajiri na watu wakubwa na kuwasahau walalahoi na masikini wa_Tz. Jamani hivi hakuna mawakili wa kumtetea huyu mtoto,mko wapi NGO's, Mko wapi TAWLA,NEMC, Mama Ananilea Nkya na team...
:
Wao ni watumishi wa Mungu, na wako kuwakusanya kondoo waliopotea hata kama wataalikwa kwa jambazi wao hawana budi kuitikia kwani ni kazi yao ya kuwarudisha kundini waliopotea.
Kama Wajumbe wenyewe hawaelewani watafikia mwafaka kweli. Mama Anna Malecela alisema chama kina tabia ya kunyamazisha watu, hivyo kwa suala linalohusu taifa lazima jamii ielewe.
Lo yamekuwa haya tena!!!
Jamani, mtu asitetee Taifa eti sababu ana kampuni, hivyo mnao-hoji Dr MWK kuwa na masilahi binafsi, mulitaka Richmond waendelee kutunyonya? Kweli wa Tz inabidi tubadilike na tuwe na uelewa wa mambo. Kuwa kama m-Tz na M'nge na W/k wa Kamati alichotutendea wa Tz inabidi...
Inaonyesha wakati ukuta, kuna baadhi waliokuwepo hapa duniani hawapo tena,kuna waliopo na bado wanaishi wote tunawakumbuka kwa matendo yao aidha mazuri ama mabaya ambayo waliyafanya au wanayafanya mpaka sasa. Hivyo dunia ni kama sahani ya biryani kuna kila aina ya kiungo kizuri na kibaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.