Mongoiwe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 524
- 260
MACHI 13 MWAKA HUU, Jeshi la polisi lilimnasa kijana Rajabu Ismal (20) maalufu kwa jina la Anti Rama, mkazi wa Buyekele mjini Bukoba baada ya kukamatwa akiwa na vijana wawili usiku amevalia mavazi ya kike.
Kijana huyo alikamatwa usiku majira saa 5:14 mtaa wa Mtoni Mabatini jijini Mwanza akiwa jirani na nyumba ya diwani wa viti maalum Tausi Maftah (CCM) baada ya kutiliwa shaka na diwani huyo.
Kijana huyo alikuwa amevalia viatu virefu vya kike, cheni, sketi fupi, blauzi ya juu fupi (Kitop) alikuwa amesuka nyele zake na kufunga kitambaa mikononi akiwa na bangili ambaye alionekana rangi yake kuwa iliyotiwa mkorogo.
kikubwa kilichonifanya kulileta kwenu wana Jf ni kutaka kujadiliwa kwa hili, kwani mpaka sasa sijaelewa tatizo ni nini hapa mpaka kijana avae kike? au aamue kuwa shoga?
Kijana huyo alikamatwa usiku majira saa 5:14 mtaa wa Mtoni Mabatini jijini Mwanza akiwa jirani na nyumba ya diwani wa viti maalum Tausi Maftah (CCM) baada ya kutiliwa shaka na diwani huyo.
Kijana huyo alikuwa amevalia viatu virefu vya kike, cheni, sketi fupi, blauzi ya juu fupi (Kitop) alikuwa amesuka nyele zake na kufunga kitambaa mikononi akiwa na bangili ambaye alionekana rangi yake kuwa iliyotiwa mkorogo.
kikubwa kilichonifanya kulileta kwenu wana Jf ni kutaka kujadiliwa kwa hili, kwani mpaka sasa sijaelewa tatizo ni nini hapa mpaka kijana avae kike? au aamue kuwa shoga?