Wanawake Ni Wasanii?

Jaribu kufunga dubwana tumboni ambalo ni sawa na ujauzito wa kati ya miezi sita na hadi tisa na utembee nalo hata kwa masaa machache tu na kulala nalo hata usiku kucha ili uone wanawake hata wale ambao mimba zao zinakuwa hazina matatizo wanavyopata shida kutokana na ujauzito.



Ona huyu Bubu alivyopagawa.

Soon or later utasema hata matiti ya wanawake ni mzigo kwao!!! KWII KWIII KWIII!!!!

Ngoja nikusomeshe:

Mimba inakuwa implanted ndani ya mwili, and so inakuwa kama sehemu ya mwili...! Mwisho tutasema hata koro**d*ni zetu ni nzito!

Thats Over too-much Mercy Bubu!...Na ijulikane nakuheshimu sana, lakini

ukubali tu kutokukubaliana!

Ur too wrong on that!
 
...sawa kaka'ngu, nimekusoma... naona tumepishana lugha tu hapa. Mzee wangu aliniusia pakitokea hali hii ni bora kunywa mafunda mawili matatu ya maji kusaidia kushusha pumzi na munkari.

...Hakuna ubaya kumdekeza mkeo, awe mjamzito, mgonjwa au mzima bukheri wa afya,...

...pakajimmy nilivyomuelewa mimi anatanzika na madeko kupita kiasi ya mjamzito, kama kayaona kwa mkewe, allahu alam.. lakini binfsi naamini (kama) mwana umleavyo na akuavyo, hivyo hivyo kwa mkeo. Kama utamdekeza sana, hata kumsukuma huyo mtoto itakuwa shughuli...

Ni maoni yangu tu bro, calm down.

Mimi na wewe tena Mkuu!!!...sisi ni damu damu Mkuu wala sijavua shati na kuanza kujipiga kifua ha ha ha ha ....unajua nimeandika haya kutokana na experience niliyoishuhudia kutoka kwa mama yangu, ndugu zangu, inayonihusu mimi mwenyewe, mashemeji wa karibu kabisa na hata wa mbali

Mbu, mmejaaliwa kuumba kiumbe ambacho wote mnakisubiri kwa hamu sana na kila siku mnaomba kiingie duniani kikiwa healthy na afya ya mama wakati wote iwe njema na hata wakati wa kujifungua kusiwe na complications kubwa. Sasa ukiamua kumdekeza shemeji katika miezi hiyo michache kwa kuhakikisha anakula anachotamani, na mengineyo ili kuhakikisha uja uzito wake unakuwa hauna matatizo makubwa kuna ubaya gani Mkuu wangu? Unatakiwa umdekeze kwa roho nyeupe kabisa ili kuahakikisha kila kitu kinaenda shwari kabisa. Hilo la kufunga dubwasha tumboni niliona nadhani kwa Oprah kwa wanaume ambao walikuwa wanalamika kwamba wanawake wao wanawasumbua usiku kucha kwamba wanashindwa kulala kutokana na uja uzito. Baada ya wao kuvalishwa hilo dubwana ambalo liliuwa linaonekana kama ujauzito wa miezi kati ya miezi sita na tisa wengi walibadili msimamo wao. Na hapo utilie maanani kwamba hao wanaume hawakuwa na movement zozote za mtoto tumboni au maumivu ambayo huweza kusababishwa na uja uzito.

By the way umeshatafuta timu ya "kuishangilia" kwenye EPL ambayo inaanza in 2 weeks? Maana timu yetu mwaka huu hmmmm! mimi wala sitii neno :(. Naona "nitaishangilia" ManCity ambayo inaonekana Mwarabu kaamua kuacha pochi lake wazi ili kununua ubingwa. Labda vijana wetu wanaweza kufanya maajabu, lakini sidhani kama kutakuwa na maajabu yoyote bali ni vipigo tu kila tukitoa pua.

Have a great weekend
 
Last edited:
Mimi na wewe tena Mkuu!!!...sisi ni damu damu Mkuu wala sijavua shati na kunza kujipia kifua ha ha ha ha ....unajua nimeandika haya kutokana na experience niliyoishuhudia kutoka kwa mama yangu, ndugu zangu, inayonihusu mimi mwenyewe, mashemeji wa karibu kabisa na hata wa mbali

Mbu, mmejaaliwa kuumba kiumbe ambacho wote mnakisubiri kwa hamu sana na kila siku mnaomba kiingie duniani kikiwa healthy na afya ya mama wakati wote iwe njema na hata wakati wa kujifungua kusiwe na complications kubwa. Sasa ukimua kumdekeza shemeji katika miezi hiyo michache kwa kuhakikisha anakula anachotamani, na mengineyo ili kuhakikisha uja uzito wake unakuwa hauna matatizo makubwa kuna ubaya gani Mkuu wangu?

By the way umeshatafuta timu ya "kuishangilia" kwenye EPL ambayo inaanza in 2 weeks? Maana timu yetu mwaka huu hmmmm! mimi wala sitii neno :(. Naona "nitaishangilia" ManCity ambayo inaonekana Mwarabu kaamua kuacha pochi lake wazi ili kununua ubingwa. Labda vijana wetu wanaweza kufanya maajabu, lakini sidhani kama kutakuwa na maajabu yoyote bali ni vipigo tu kila tukitoa pua.

Have a great weekend


bubu kama sio Man U basi Arsenal. Bisha....lol:D:D
 
...Ni kweli mara chache huwa wanaumwaumwa, lakini asilimia kubwa huwa ni matatizo ya kupangwa na yanaandaliwa na kupikwa kitaalam!...

...labda ungetaja baadhi ya matatizo ya kupangwa, yanayoandaliwa kitaalamu huenda ungeeleweka zaidi.

Wengine huona kero za "...sitaki hiki, nataka kile", ukileta anakwambia "...sio hiki, nataka kile kile" almuradi mtihani tu.
 
Ona huyu Bubu alivyopagawa.

Soon or later utasema hata matiti ya wanawake ni mzigo kwao!!! KWII KWIII KWIII!!!!

Ngoja nikusomeshe:

Mimba inakuwa implanted ndani ya mwili, and so inakuwa kama sehemu ya mwili...! Mwisho tutasema hata koro**d*ni zetu ni nzito!

Thats Over too-much Mercy Bubu!...Na ijulikane nakuheshimu sana, lakini

ukubali tu kutokukubaliana!

Ur too wrong on that!

Please watch your language!!! I did not use any abusive language against you and I expected the same from you.

Ha ha ha ha ha sasa unaanza kuja na maneno ambayo wala sijayasema na kutaka kujifanya yamesemwa na mimi ha ha ha

Hata madaktari wanaoamini kwamba wanawake wajawazito wanastahili special treatment ni wasanii na huyo mwanamke mmoja umemwamini sana kuliko madaktari duniani kote ambao wana mtazamo mmoja kuhusiana na wanawake wnapokuwa wajawazito.

Uwe unafikiri kwanza kabla ya kuandika badala ya kuandika vitu ambayo huna supporting evidence yoyote ya kusupport ulichoandika. Kauli ya mwanamke mmoja kamwe haiweze kutumika kama hitimisho la hicho unachokidhania.

lakini baadaye nikaja kuhakikisha kwamba Wanawake pindi wawapo wajawazito huwa wasumbufu saana, na wanadeka ajabu!

Na hilo bandiko lako hapo juu halina data zozote za kutuonyesha ni vipi ulihakikisha kwamba wanawake wajawazito wanadeka ajabu na wasumbufu sana. Hapa JF ukiandika kitu basi ujiandae kutoa ushahidi wa kutosha vinginevyo hakiwezi kabisa kuachiwa kionekane kama kina ukweli wowote ule.
 
bubu kama sio Man U basi Arsenal. Bisha....lol:D:D


Ha ha ha ha mimi Arsenal bwana lakini Wenger kaamua kuisambaratisha timu yetu msimu huu. Inasikitisha sana lakini ndiyo ukweli wa mambo sasa hivi ni midabwada mitupu.
 
Mimi na wewe tena Mkuu!!!...sisi ni damu damu Mkuu wala sijavua shati na kunza kujipia kifua ha ha ha ha ....unajua nimeandika haya kutokana na experience niliyoishuhudia kutoka kwa mama yangu, ndugu zangu, inayonihusu mimi mwenyewe, mashemeji wa karibu kabisa na hata wa mbali

Mbu, mmejaaliwa kuumba kiumbe ambacho wote mnakisubiri kwa hamu sana na kila siku mnaomba kiingie duniani kikiwa healthy na afya ya mama wakati wote iwe njema na hata wakati wa kujifungua kusiwe na complications kubwa. Sasa ukimua kumdekeza shemeji katika miezi hiyo michache kwa kuhakikisha anakula anachotamani, na mengineyo ili kuhakikisha uja uzito wake unakuwa hauna matatizo makubwa kuna ubaya gani Mkuu wangu?

...:D we acha tu, ilikuwa heka heka mara nikande mgongo njemba naamka usiku wa manane naanza kuchua..., mara sitaki kupanda Sea express nataka ndege, haoo uwanja wa ndege... Sasa aaaah, nafurahia matunda. Njemba mbili za maana! Mw'Mungu ashukuriwe sana.

...By the way umeshatafuta timu ya "kuishangilia" kwenye EPL ambayo inaanza in 2 weeks? Maana timu yetu mwaka huu hmmmm! mimi wala sitii neno :(. Naona "nitaishangilia" ManCity ambayo inaonekana Mwarabu kaamua kuacha pochi lake wazi ili kununua ubingwa. Labda vijana wetu wanaweza kufanya maajabu, lakini sidhani kama kutakuwa na maajabu yoyote bali ni vipigo tu kila tukitoa pua.
Have a great weekend

...mimi na Arsenal mpaka kieleweke, hata wakiondoka wachezaji wote! Naona Arsene Wenger kaamua 'kuwauza' wachezaji kabla ya African Cup of Nations...

Nice weekend Bro!
 
Kila mbuyu na shetani wake na usiusemee moyo wa mwenzio kwani kila mtu anamaumbile ,mtazamo,na fikira zake ingawa wote wako jinsia moja. kama ambavyo kila mzazi atawasemea wanae kuwa malaria ya vijududu 2 vikimkamata fulani humu ndani hatulali lakini mwanangu fulani ahhaa utafikiri haumwi, ni vivyo hivyo hata kwa mama mjamzito mbali na matatizo ya hapa na pale inategemea ni jinsi gani huyo mama mwili wake unavyopokea mabadiliko ya mwili.
Wengine husema mimba si ugonjwa hasa kwa wale wasiokuwa na matatizo lakini kwa wengine ni ugojnwa kwa sababu tangu kuingia kwake mpaka kujifungua ni matatizo tupu. Hebu fikiria mama anatembea na kopo la kutemea mate miezi yote hiyo bado unasema ni msanii? raha iko wapi hapo.

Ndiyo sikatai wapo wnaodeka lakini si kwa mnajili ya usanii,ndivyo walivyo toka nyumbani kwao , ndo wale wa vijidudu 2 vya malaria wanakuwa hoi.

Kwa kifupi ndugu zangu usanii kwa ujauzito haupo kwani ni hofu tupu kwani akina mama huwa hata pengine hawajui kama safari ya miezi tisa itafika salama.
 
...sawa kaka'ngu, nimekusoma... naona tumepishana lugha tu hapa. Mzee wangu aliniusia pakitokea hali hii ni bora kunywa mafunda mawili matatu ya maji kusaidia kushusha pumzi na munkari.

...Hakuna ubaya kumdekeza mkeo, awe mjamzito, mgonjwa au mzima bukheri wa afya,...

...pakajimmy nilivyomuelewa mimi anatanzika na madeko kupita kiasi ya mjamzito, kama kayaona kwa mkewe, allahu alam.. lakini binfsi naamini (kama) mwana umleavyo na akuavyo, hivyo hivyo kwa mkeo. Kama utamdekeza sana, hata kumsukuma huyo mtoto itakuwa shughuli...

Ni maoni yangu tu bro, calm down.
Hata mie naona kamuona mkewe ana madeko ya kisanii, ndio anataka kusema hapa kila mwanamke ana madeko kipindi cha mimba. Nakumbuka kuna post yake hapa alisema mkewe mchafu, haoshi nywele zake, basi akaona wote wachafu. Kwanza sijui ulimuomba mkeo samahani kwa kumuanika mtandaoni kwamba mchafu.

Hivyo Pakajimmy sio wanawake wote ni wasanii, wengine inatokea tu involuntary action.
 
makubwa haya. mlishaona watu wasokula pilipili wakizungumzia ukali wake?

Sikatai kuna wale wanaodeka ila sidhani kama ni vibaya kumdekea mumeo ila pia sidhani mtu anaweza kukudekea akakumbuka kukudai vitu vya ajabu mfano mahindi ya kuchoma usiku- huyo atakuwa anataka kukukomoa na si kudeka huku. Most of the time mama mjamzito anakuwa anajisikia ndivyo sivyo na the only relief aipatayo ni kueelezea vile ajisikiavyo

Hamuwezi kujua ukali wa pilipili msoila wajameni.
 
makubwa haya. mlishaona watu wasokula pilipili wakizungumzia ukali wake?

Sikatai kuna wale wanaodeka ila sidhani kama ni vibaya kumdekea mumeo ila pia sidhani mtu anaweza kukudekea akakumbuka kukudai vitu vya ajabu mfano mahindi ya kuchoma usiku- huyo atakuwa anataka kukukomoa na si kudeka huku. Most of the time mama mjamzito anakuwa anajisikia ndivyo sivyo na the only relief aipatayo ni kueelezea vile ajisikiavyo

Hamuwezi kujua ukali wa pilipili msoila wajameni.


MJO, labda unaweza kuujua ukali wa pilipili kwa kumsoma ;) mlaji pale 'anapodeka' na kuhangaika huku na kule kutafuta maji kama kipoozeo cha ukali wa ile pili pili aliyoila ambayo ukali wake si wa kawaida.
 
Wanaume.... jamani msikufuru! Nyie sikieni tu mambo ya mimba.... kama unaona kero mkeo kukudekea akiwa na mimba basi msiziweke!
 
Ha ha ha ha mimi Arsenal bwana lakini Wenger kaamua kuisambaratisha timu yetu msimu huu. Inasikitisha sana lakini ndiyo ukweli wa mambo sasa hivi ni midabwada mitupu.


haha pole mku..jamaa mwenywe mbishi kama nini...anadai waingereza wanaamini mno mafanikio yanaletwa kwa kununua wachezaji...sasa ndo muisahau top four apo:D
 
...:D we acha tu, ilikuwa heka heka mara nikande mgongo njemba naamka usiku wa manane naanza kuchua..., mara sitaki kupanda Sea express nataka ndege, haoo uwanja wa ndege... Sasa aaaah, nafurahia matunda. Njemba mbili za maana! Mw'Mungu ashukuriwe sana.



...mimi na Arsenal mpaka kieleweke, hata wakiondoka wachezaji wote! Naona Arsene Wenger kaamua 'kuwauza' wachezaji kabla ya African Cup of Nations...

Nice weekend Bro!


Unaona basi Mkuu! Mambo yote yalienda shwari kabisa sasa kama usingeamka huo usiku wa manane shemeji labda angekata tamaa na hivyo kuathiri hizo njemba, lakini aliona mko pamoja basi akapata nguvu mpya ya kuendelea na ujauzito.

Hiyo Sea express hata mimi huipanda nikiwa sina jinsi nyingine mara mbili nilikuwa naenda Zenj na nikawa sina jinsi ila kuipanda hiyo Sea express. Mara moja kikazi na mara nyingine kwenye vekesheni (kama anavyojisemea muhiddin wa Michuzi) mara zote nilisikia kichefuchefu cha hali ya juu na wote niliokuwa nao hali ilikuwa ni hivyo bahati nzuri hakuna aliyeta....... sasa fikiria kwa mama mja uzito hali si ndiyo ingekuwa mbaya zaidi!? Kama naenda Zenj nimeapa ni sharti kwa ndege lakini Sea express sitatia tena mguu wangu.
 
......... Ila ni wanaume wengi ambao huwa hawajali kabisa mke wake anapokuwa na hali hii. Sijui ni hizi hisia za kuwa huwa tunadeka makusudi? Utakuta anakuja na maudhi ya kukufanya uwe unalia kila mara yaani huwa wako insensitive kabisa acheni tu mtu anawezasema hivi tabu yote ya nini lijitu lililosababisha ndo hata halijali. Wanaume!!

angalizo
Baadhi
 
Niliwahi kuambiwa kuwa mwanamke akiwa na ujauzito anakuwa na mambo yafauatayo
1. Kumpenda mumewe, yaani kila saa anataka akae nae
2. Kumchukia sana mumewe, yaani saa nyingine anatamani hata kummeza, hataki kabisa kumuona, ila akitoka tu mbele ya macho yake anasikia kummis
3. Kumpenda mtu mwingine yeyote sasa kasheshe pale anapompenda mwanumme mwingine wakati anamchukia mumewe halafu ukute mume hana hili somo, patachimbika
4. Kama alikuwa na mtoto mwingine anaweza kumchukia pasipo sababu au kumpenda pasipo sababu (hii mimi nimeishuudia live, jirani na home when i was 17 yrs old)
5. Mengine ni yale ya kula aina fulani ya vyakula na vingine kuvichukia

Nawasilisha

wazungu wanatabia ya kwanza
sijawahi kuona/kusikia mzungu mwenye mimba anamchukia mumewe....
hii ni kwa wanawake wa ki TZ kumchukia mumewe na kumpenda mwanaume mwingine (utakuta alikuwa anampenda tokea zamani lakini halikua hana sababu ya kufanya hivyo)
 
Ona huyu Bubu alivyopagawa.

Soon or later utasema hata matiti ya wanawake ni mzigo kwao!!! KWII KWIII KWIII!!!!

Ngoja nikusomeshe:

Mimba inakuwa implanted ndani ya mwili, and so inakuwa kama sehemu ya mwili...! Mwisho tutasema hata koro**d*ni zetu ni nzito!

Thats Over too-much Mercy Bubu!...Na ijulikane nakuheshimu sana, lakini

ukubali tu kutokukubaliana!

Ur too wrong on that!
you are too insensitive and slapdash, Mkuu bubu ataka kusema yuko right. coz nilitegemea ungeanza kumfikiria mama yako mzazi alivykubeba wewe mtoto usie na fadhila kabda ya kumdhalilisha mbele ya jamii.
 
Awali nilikuwa naambiwa, lakini baadaye nikaja kuhakikisha kwamba Wanawake pindi wawapo wajawazito huwa wasumbufu saana, na wanadeka ajabu!

Mwanamke mmoja akaja kunambia kwamba huwa wanafanya hayo mambo makusudi, maana ni nafasi yao ya pekee ya kutesa, kuomba kila watakacho, na kuwaonyesha mabwana zao kwamba ile shughuli ya kubeba mimba ni ya pekee, maana wanajua kwamba wanaume hawana uzoefu, na wala hawatakaa waijue!

Ni kweli mara chache huwa wanaumwaumwa, lakini asilimia kubwa huwa ni matatizo ya kupangwa na yanaandaliwa na kupikwa kitaalam!

Je wanaJF, tudhibiti vipi hii hali ya kuonewa na hawa raia wa kike?

WoS,Nyamayao,Penina na wengineo, kwanini mnakuwa wasanii kiasi hicho?


Kama ni mimi ndungu uliyetaja hapo juu sorry my name is PENNY. Alafu wewe kama biology hujasoma ni vizuri ukamuuliza doctor badala ya kuponda mambo usoyajua wala na hutuyajua maishani mwako mote mpaka kifo.
 
What is depression?

Depression is more than just feeling "blue" or "down in the dumps" for a few days. It's a serious illness that involves the brain. With depression, sad, anxious, or "empty" feelings don't go away and interfere with day-to-day life and routines. These feelings can be mild to severe. The good news is that most people with depression get better with treatment.
How common is depression during and after pregnancy?

Depression is a common problem during and after pregnancy. About 13 percent of pregnant women and new mothers have depression.
How do I know if I have depression?



When you are pregnant or after you have a baby, you may be depressed and not know it. Some normal changes during and after pregnancy can cause symptoms similar to those of depression. But if you have any of the following symptoms of depression for more than 2 weeks, call your doctor:
  • Feeling restless or moody
  • Feeling sad, hopeless, and overwhelmed
  • Crying a lot
  • Having no energy or motivation
  • Eating too little or too much
  • Sleeping too little or too much
  • Having trouble focusing or making decisions
  • Having memory problems
  • Feeling worthless and guilty
  • Losing interest or pleasure in activities you used to enjoy
  • Withdrawing from friends and family
  • Having headaches, aches and pains, or stomach problems that don't go away
Your doctor can figure out if your symptoms are caused by depression or something else.



What causes depression? What about postpartum depression?



There is no single cause. Rather, depression likely results from a combination of factors:
  • Depression is a mental illness that tends to run in families. Women with a family history of depression are more likely to have depression.
  • Changes in brain chemistry or structure are believed to play a big role in depression.
  • Stressful life events, such as death of a loved one, caring for an aging family member, abuse, and poverty, can trigger depression.
  • Hormonal factors unique to women may contribute to depression in some women. We know that hormones directly affect the brain chemistry that controls emotions and mood. We also know that women are at greater risk of depression at certain times in their lives, such as puberty, during and after pregnancy, and during perimenopause. Some women also have depressive symptoms right before their period.
Depression after childbirth is called postpartum depression. Hormonal changes may trigger symptoms of postpartum depression. When you are pregnant, levels of the female hormones estrogen (ESS-truh-jen) and progesterone (proh-JESS-tur-ohn) increase greatly. In the first 24 hours after childbirth, hormone levels quickly return to normal. Researchers think the big change in hormone levels may lead to depression. This is much like the way smaller hormone changes can affect a woman's moods before she gets her period.

Levels of thyroid hormones may also drop after giving birth. The thyroid is a small gland in the neck that helps regulate how your body uses and stores energy from food. Low levels of thyroid hormones can cause symptoms of depression. A simple blood test can tell if this condition is causing your symptoms. If so, your doctor can prescribe thyroid medicine.


Other factors may play a role in postpartum depression. You may feel:
  • Tired after delivery
  • Tired from a lack of sleep or broken sleep
  • Overwhelmed with a new baby
  • Doubts about your ability to be a good mother
  • Stress from changes in work and home routines
  • An unrealistic need to be a perfect mom
  • Loss of who you were before having the baby
  • Less attractive
  • A lack of free time
Are some women more at risk for depression during and after pregnancy?



Certain factors may increase your risk of depression during and after pregnancy:
  • A personal history of depression or another mental illness
  • A family history of depression or another mental illness
  • A lack of support from family and friends
  • Anxiety or negative feelings about the pregnancy
  • Problems with a previous pregnancy or birth
  • Marriage or money problems
  • Stressful life events
  • Young age
  • Substance abuse
Women who are depressed during pregnancy have a greater risk of depression after giving birth.

If you take medicine for depression, stopping your medicine when you become pregnant can cause your depression to come back. Before you stop any prescribed medicines, talk with your doctor. Not using medicine that you need may be harmful to you or your baby.

What is the difference between "baby blues," postpartum depression, and postpartum psychosis?



Many women have the baby blues in the days after childbirth. If you have the baby blues, you may:
  • Have mood swings
  • Feel sad, anxious, or overwhelmed
  • Have crying spells
  • Lose your appetite
  • Have trouble sleeping
The baby blues most often go away within a few days or a week. The symptoms are not severe and do not need treatment.



The symptoms of postpartum depression last longer and are more severe. Postpartum depression can begin anytime within the first year after childbirth. If you have postpartum depression, you may have any of the symptoms of depression listed above. Symptoms may also include:
  • Thoughts of hurting the baby
  • Thoughts of hurting yourself
  • Not having any interest in the baby
Postpartum depression needs to be treated by a doctor.



Postpartum psychosis (seye-KOH-suhss) is rare. It occurs in about 1 to 4 out of every 1,000 births. It usually begins in the first 2 weeks after childbirth. Women who have bipolar disorder or another mental health problem called schizoaffective (SKIT-soh-uh-FEK-tiv) disorder have a higher risk for postpartum psychosis. Symptoms may include:
  • Seeing things that aren't there
  • Feeling confused
  • Having rapid mood swings
  • Trying to hurt yourself or your baby
What should I do if I have symptoms of depression during or after pregnancy?



Call your doctor if:
  • Your baby blues don't go away after 2 weeks
  • Symptoms of depression get more and more intense
  • Strong feelings of sadness or anger come on 1 or 2 months after delivery
  • It is hard for you to perform tasks at work or at home
  • You cannot care for yourself or your baby
  • You have thoughts of harming yourself or your baby
Your doctor can ask you questions to test for depression. Your doctor can also refer you to a mental health professional who specializes in treating depression.

Some women don't tell anyone about their symptoms. They feel embarrassed, ashamed, or guilty about feeling depressed when they are supposed to be happy. They worry they will be viewed as unfit parents.
Any woman may become depressed during pregnancy or after having a baby. It doesn't mean you are a bad or "not together" mom. You and your baby don't have to suffer. There is help.


Here are some other helpful tips:
  • Rest as much as you can. Sleep when the baby is sleeping.
  • Don't try to do too much or try to be perfect.
  • Ask your partner, family, and friends for help.
  • Make time to go out, visit friends, or spend time alone with your partner.
  • Discuss your feelings with your partner, family, and friends.
  • Talk with other mothers so you can learn from their experiences.
  • Join a support group. Ask your doctor about groups in your area.
  • Don't make any major life changes during pregnancy or right after giving birth. Major changes can cause unneeded stress. Sometimes big changes can't be avoided. When that happens, try to arrange support and help in your new situation ahead of time.
How is depression treated?



The two common types of treatment for depression are:
  • Talk therapy. This involves talking to a therapist, psychologist, or social worker to learn to change how depression makes you think, feel, and act.
  • Medicine. Your doctor can prescribe an antidepressant medicine. These medicines can help relieve symptoms of depression.
These treatment methods can be used alone or together. If you are depressed, your depression can affect your baby. Getting treatment is important for you and your baby. Talk with your doctor about the benefits and risks of taking medicine to treat depression when you are pregnant or breastfeeding.

What can happen if depression is not treated?



Untreated depression can hurt you and your baby. Some women with depression have a hard time caring for themselves during pregnancy. They may:
  • Eat poorly
  • Not gain enough weight
  • Have trouble sleeping
  • Miss prenatal visits
  • Not follow medical instructions
  • Use harmful substances, like tobacco, alcohol, or illegal drugs
Depression during pregnancy can raise the risk of:
  • Problems during pregnancy or delivery
  • Having a low-birth-weight baby
  • Premature birth
Untreated postpartum depression can affect your ability to parent. You may:
  • Lack energy
  • Have trouble focusing
  • Feel moody
  • Not be able to meet your child's needs
As a result, you may feel guilty and lose confidence in yourself as a mother. These feelings can make your depression worse.



Researchers believe postpartum depression in a mother can affect her baby. It can cause the baby to have:
  • Delays in language development
  • Problems with mother-child bonding
  • Behavior problems
  • Increased crying
It helps if your partner or another caregiver can help meet the baby's needs while you are depressed.

All children deserve the chance to have a healthy mom. And all moms deserve the chance to enjoy their life and their children. If you are feeling depressed during pregnancy or after having a baby, don't suffer alone. Please tell a loved one and call your doctor right away.
 
Last edited:
Back
Top Bottom