ChaMtuMavi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2008
- 330
- 8
guys,
huu ni uvumi tu.believe me or not.
hivyvo vyanzo vyenu vya habari ''ni utata mtupu''
Usiwe Tomaso, lisemwalo lipo, mtu mzima hawezi tungu uwongo wa namna hii, umsaidie nini?
Kesi nyingi tu za namna hii zimetokea na zinaendelea kutokea. Cha msingi changia wewe unaionaje hii??? unanitia wasiwasi, wewe unaishi ulimwengu upi?? Ile iliyotokea Austiria ya baba kuzaa na bintiye watoto 6-8 wewe hukuisikia? Umepewa mada, changia unaionaje? kama huna mchango basi tulia tu soma michango ya watu.
Pole sana dada uliyekutwa na mkasa huu.