TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,889
- 11,283
Masanja,
..mama Nyoni nimekuwa nikimsikia sifa zake kwamba ni mchapa kazi.
..sasa kinachonishangaza ni kuja kufanya uamuzi kama huu --ikiwa madai ya Mbunge ni ya kweli.
..Tanzania sijui tuna matatizo gani hapa. yaani karibu kila mtu I have been looking up to amekuja kuni-disappoint.
NB:
..hili suala lilishazungumziwa mwanzoni.
..moderator, at your convinience, unaweza kuunganisha na thread ya zamani inayomhusu Blandina Nyoni.
Mkuu, ilianzishwa thread ya Mama Nyoni, lakini kwasababu alikuwa na wapambe humu yakaisha
The fact is that, Mama Nyoni is a good leader and a good follwoer of her strategies (or allies, need to say). However, if things go wrong, she really sink in so deep as she is one dimensional... kuna misala iko maliasili, kuanzia sabsaba money, mikataba na adverts, etc. etc. Being a key stakeholder at MOHSW kuna vimeo pia vipo humo
She is good as long as her strategies work but she isnt flexible hence high risk index