Tujadili PICHA hii

Aliyekaa chini lakini mbele ya hiyo round table mwenye masharubu si ni rais mstaafu aliyepigwa na muumini juzi juzi?
 
....Ok, we have seen it and seen them all: Prince Charles, Napoleon Bornapate, Kamanda Che Guevara, Kamanda Fidel Castro, Kofi Annan, Gandhi, Ghenkis Khan etc...SO?? The War of the Worlds???
 
Last edited:
Hawa sio akina George Washington na wenzake wakati wanatia sahihi Declaration of Independence katika miaka ya Karne ya 18? Lakini pengine siyo kwani pale maeneo ya katikati kuna watu kama Mao se Dong, Abraham Lincoln, Charles Darwin, Joseph Stalin, Albert Einstein, Mahatma Gandhi, William Shakespeare, n.k.

Ebwana mpk Karl Marx ndani, hakika hii ni siku ya mwisho mkubwa
 
Painting of famous/remarkable people who have lived on this earth...made major contributions.
So far i have spotted,
Albert Einstein, Mahatma Gandhi, Abraham Lincoln, Moses and his commandments...
 
Hii picha ina maana dunia ni mchanganyiko wa vitu vingi kuanzia siasa,michezo,mazingira na kila kitu kwa sababu picha hii inajumuisha kila kitu kinachofanyika duniani na kuifanya dunia izunguke.
 
Kwa nini tuijadili hii picha? Au wewe ni kama watu wanaonunua picha moja kwa kutumia dola 20 milioni?
 
Inaonyesha wakati ukuta, kuna baadhi waliokuwepo hapa duniani hawapo tena,kuna waliopo na bado wanaishi wote tunawakumbuka kwa matendo yao aidha mazuri ama mabaya ambayo waliyafanya au wanayafanya mpaka sasa. Hivyo dunia ni kama sahani ya biryani kuna kila aina ya kiungo kizuri na kibaya.
 
Mimi nimeona Jamaa mwusi mmoja tu kava disaini nguo nyeupe kama wahehe,makonde,ngoni au wazulu.

huyo tu ndio nimemuona wengine sijawaelewa
 
Hii pchimebeba ujumbe mkubwa sana kwa wanaojua kutafsiri picha na kila mtu anaweza kutoa ujumbe wake na ukawa sahihi. Huyu painter ni mzuri sana maana ameonyesha kitu kinachoonekana kubeba tafsiri nyingi ndani yake.

Bin Laden anaondoka na wafuasi wake kwa kuwa hawakubaliani na mchanganyiko unaonekana hapo pichani
 
Back
Top Bottom