MwalimuZawadi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2007
- 643
- 68
MUNGU atusaidie tuepukane na janga ili maana hukumu yake nu kubwa na ya jabu hapa duniani na jehanamu
Mkuu Sipo
Mungu hawezi kupisha vitendo tunavyofanya kwa hiari yetu. Tusimchanganye Mungu humu ndio maana anaacha watu wafanye watakavyo. Mungu yeye ni kama wewe 'SIPO' endeleeni kubanjuka