Kuwa mweusi ni matokeo ya vinasaba vinavyobeba melanin kuwa na nguvu katika muonekano wa mtu.
Kwahiyo kadiri vinavyokuwa vingi kutoka kwenye vinasaba ndio husababisha mtu huyo kuwa mweusi zaidi.
Vikiwa pungufu matokeo yake mtu anaweza kuwa albino.
Ila kuwa mweusi haimanishi kuwa mwafrika...
Kuna cable za 2.0
Na kuna cable za 3.0
3.0 ina speed kwenye kutuma data kuliko 2.0
Vile vile system bus ya pc yako kama ni ya speed ndogo huwezi force.
Ningekushauri ufuate hatua zifuatazo
1.hakikisha partition iliyokaa os haijai mpaka ikawa nyekundu.
2.fanya disk defragmentatiin
3.disk clean up
4.punguza application ambazo hutumii na ambazo zinaamka na pc.
5.tafuta sehem yenye blower waipulize pc yako iondoke vumbi
6.Weka pc juu ya kitu...
Ukidownload vitu vinaenda kwenye main memory ya simu sio kwenye external memory.
Kama una uwezo Ukidownload hakikisha unavihamisha kwenda kwenye extenal memory kuepuka kujaaa.
Vitu kama picha za kamera unaweza elekeza ukipiga zikakae huko
Neno lenyewe linasadifu maana
Microchip
Micro -ndogo
Chip-kikadi kidogo kinachohifadhi taarifa.
Kwahiyo microchip ni kadi ndogo maalum ambayo imetengenezwa kwa ajili ya kuhifadhi data za mhusika.
Matumizi hapo ndo itategemea
Ya kifedha
Ki intelligencia
Na mengineyo.
Ushawahi jiuliza...
Nimekwambia wanakuwa na search engine yao kwa ajili ya kudaka maneno waliyohifadhi (database dictionary)
Mfano wanaweza weka maneno kama (raisi, ikulu, mkuu wa nchi, jenerali)
Majambazi wanapopanga mambo yao hutumia maneno ambayo sio rahisi kwa mtu wa kawaida kujua tukio litalo fanyika wanaweza...
Navyofaham uchunguzi wa kiusalama mwingi huwekwa kwenye keyword search
Wao wanakuwa na search engine yao kwa ajili ya kusearch keywords zao na kila unapopost ina trigger kwenye
Dictionary yao
Mfano wameweka neno raisi
Ukipost neno raisi wanajua kisha wanaanza kufuatilia aliyepost nani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.