Jinsi wanausalama wa mtandaoni wanavyowapata watu

Jinsi wanausalama wa mtandaoni wanavyowapata watu

Hacker wako silent na hao ni newbie wanaotumia hizo njia..
Sitaexpose njia muhim ya sasa ila take care na smartphone yako kwa sasa ndio device wanayo target sana
Don't trust any one hata mtu wa karibu sana..
 
Navyofaham uchunguzi wa kiusalama mwingi huwekwa kwenye keyword search

Wao wanakuwa na search engine yao kwa ajili ya kusearch keywords zao na kila unapopost ina trigger kwenye

Dictionary yao

Mfano wameweka neno raisi

Ukipost neno raisi wanajua kisha wanaanza kufuatilia aliyepost nani.

Watakusanya post zako wata analyze kisha watakuja na mipango kama wewe ni threat au la.

Hapo ndo hatua zaidi hufuata kama kukudua na mengineyo
 
Back
Top Bottom