Elewa somo LuisMkinga kifaa chochote kinachotumia mawimbi ya kimtandao kina kawaida ya kutuma signal au Taarifa kila sekunde katika chanzo chake Sever machine hivyo kitendo cha wewe kutumia kifaa cha aina hiyo Tayari umejiingizA katika hesabu za mtu Na ni rahisi kudakwa kwa sababu kifaa chako kinasema ulipo.Tochi ndo simu nzuri lwa usalama. Trust me
dhaifu kivipi akati zipo effectiveMbinu dhaifu sana hizi
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]unamaanisha wale mabint niwapendao akina miss natafuta na miss chagga wanaeza kuwa wanaume wa miraba minne!lahaulhaaa!!!!
Sawa. Ila loophole ipo kwenye usajili wa simcard. Simcard zinasajiliwa na watu ambao sio waajiriwa wa kampuni za simu. Walipwa kamisheni kulingana na laini alizouza, hivyo kuna mwanya mkubwa wa kusajili laini kwa kutumia ID fake na kumfanya mtu asipatikane kirahisi. Lakini pia kuna lain nyingi ambazo waweza kuzitumia kwa siku kadhaa bila kusajili kabla haijafungwa na makampuni ya simu.Kuna kitu kinaitwa IP Address ya simu unayotumia inatosha kutumiwa na TCRA kuijui line yako ya simu. Yaani namba yako ya simu na hapo wanakupata haraka. Tuwe makini na lugha tunazotumia na majina yasiweze kutufunga kirahisi.
Mbona mbinu za kitoto sana
Hizi mbinu ni very effective na ni rahisi sana maana huhitaji ujuzi mkubwa wa ICT zaid ya kujua kutumia. Ndo social engineering yenyewe. Watu wengi sana wanaingia kingi, hadi wataalam wa ICT wenyewe.Mbinu dhaifu sana hizi
Hahahaha bank zengine wanatumia window xpHizi mbinu ni very effective na ni rahisi sana maana huhitaji ujuzi mkubwa wa ICT zaid ya kujua kutumia. Ndo social engineering yenyewe. Watu wengi sana wanaingia kingi, hadi wataalam wa ICT wenyewe.
Kuna siku nilipata pm ya 'mdada' anataka nimpe namba yangu ya simu ili kuniunga na kundi la wajasiliamali la whatsApp. Mimi siposti kuhusiana na mambo ya ujasiliamali, alijuaje nitakuwa interested? Lazima uwe na alarm kichwani ili uweze kuruka huo mtego. Japo sina cha kuficha,siwezi kuwarahisishia maisha ktk kunitafuta.
Kwa Social engineering hata benki zinaingia kingi pamoja na kwamba ni taasisi ambazo ni very security conscious.
Seriously? Kuuliza kuwa kama huna kosa hofu ya nini ndio umeona nina hasira?Hutakiwi kuwa na hasira na mkulu!Hata ukihisi amekosea jitahidi usinene lolote.Shoka limewekwa kwenye mti,nini kitazuia lisikate?
Yeah, hakuna OS kimeo kama Windows XP kwenye security. Watu ndiko wanajifunzia hacking huko, ajabu taasisi za maana tu unakuta wanatumia Windows XP. But hizo ni benki za nchi zinazoendelea. Nilikuwa namaanisha bank za mbele.Hahahaha bank zengine wanatumia window xp
Na password yenye tarakim nne
Wakati account yako ya email umeweka nane tena mchanganyiko wa herufi na namba