Recent content by mysteryman

  1. mysteryman

    Hodi Wana JF, Popobawa Nimefika na naomba mnipokee

    Haki nimecheka kwa sauti na nipi kazini daah.......hivi zile stori ni kweli mkuu???🤣🤣😂😂
  2. mysteryman

    PostGE2025 Genge la Abdul linamuona Nchimbi kama tishio

    Unawajua boys 2 men vizuri lakini???.......
  3. mysteryman

    Alichosema Putin kuhusu Afrika

    ""TRAORE anajitambua sana kuliko viongozi wote wa AFRIKA na raia wao."" Daaah......
  4. mysteryman

    Actually Magufuli was not a presidential material

    Kiranja pekee anaekufanya unakunja nne ndani ya sgr dar dom masaa 3 tuu.....kiranja pekee anaekufanya ukifika kibaha mpaka ubungo unateleza tuu na barabara nane bila wasi.....
  5. mysteryman

    Natafuta wa kumuita Mume wangu Kwa herufi kubwa popote niwapo

    Nafasi bado ipo bibie???
  6. mysteryman

    Natafuta mume

    Mi nna miaka 40s je naruhusiwa kukuwowa???
  7. mysteryman

    Fanya hivi kupata Cheti cha Kuzaliwa kwa njia ya mtandao

    Naomba kujua na nida napataje kama nimepoteza
  8. mysteryman

    Series (Special thread)

    Hii inaitwaje ngoja nirudi sasa kwa wakorea....napenda comedy na fantasy
  9. mysteryman

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    "Lakini chakushangaza ni paale alipofariki shangazi yeetu"........daah umenikumbusha mbali sana mkuu😢
  10. mysteryman

    Pongezi kanisa limefungiwa, ila wanapenda amani tunashauri jamhuri imfungulie kesi ya uchochezi na uvunjifu wa amani Askofu Gwajima

    Angetekwa mzazi wako, mkeo ama mwanao sidhan kama ungeandika haya matakataka hapa.....mjinga ni bora kuliko mpumbavu..... Ficha upumbavu wako
  11. mysteryman

    PreGE2025 Mavunde kuwania ubunge jimbo jipya la Mtumba, atoa sababu tatu za kuiacha Dodoma mjini

    Aende kwanza huko kitongoji cha muungano kata ya makutupora akamalize kero ya watoto wadogo mpaka wa chekechea kutembea mpaka kilomita 8 kwa siku kufata shule......ndio alie sasa tumuone
  12. mysteryman

    Ni wakati wa Simba kumpigia magoti eng Hersi

    Khabiithul amal....
  13. mysteryman

    Trump Waarabu wanamcheza kama wazungu wanavyowacheza viongozi wa Afrika

    Achana na mawazo mgado ndugu, trump sio boya kiivo anajua vizuri anachofanya.....hao watu ni level nyingine kabisa
Back
Top Bottom