Actually Magufuli was not a presidential material

Actually Magufuli was not a presidential material

There is always a say that survival of the fittest. Actually jpm was not a presidential material and this made him be like a monster because he did not not know where to start and where to end.
Devil😈
 
Hakuna raisi pale , pale kulikuwa na kiranja tuu
Kiranja pekee anaekufanya unakunja nne ndani ya sgr dar dom masaa 3 tuu.....kiranja pekee anaekufanya ukifika kibaha mpaka ubungo unateleza tuu na barabara nane bila wasi.....
 
Mh! ukute nchi ndo haikumfaa nafikiri yule angekuwa kwenye nchi ambayo ipo serious angeifikisha mbali!, lakini alikuwa akipambania rasilimali hapohapo watu wa humuhumu ndani wanampinga!.

Mi naona kama nchi ndo haikuwa tayari kuwa na kiongozi wa namna yake maana imejaa wahujumu uchumi tupu!, hata hivyo nimeshangaa ulipoonyesha kama kifo ndio sababu ya yeye kuwa kama hitimisho la uongozi wake!. Ndugu sote tutakufa tu so please don't take it as a judgement.
Sahihi kabisa, mtu sahihi kwa watu wasio sahihi.
 
There is always a say that survival of the fittest. Actually jpm was not a presidential material and this made him be like a monster because he did not not know where to start and where to end.
U re very right!
 
It's not true!, ni Mungu ndie huweka serikali za mataifa, kitendo cha JPM kuwa rais, hicho pekee tuu, ni uthibitisho wa mpango wa Mungu!, kila kitu ni Mungu anapanga!.

Ili mtu yoyote uweze kuwa rais wa nchi yoyote, ni lazima kwanza upate kitu kinachoitwa Kibali!.

Hiki kibali kinatolewa na YEYE, na huwa kina masharti na maelekezo, ukikamilisha kibali kinakuwa kimeisha muda wake, ukikiuka , kibali kinafutwa anapewa mwingine!.

Kilichotokea kwa JPM ni kibali cha one term only, tena watu humu tulishauri sana tuu kama hapa
- Magufuli, "Kama Unaona Kazi ya Urais ni Ngumu Kwako, Jiuzulu! ".

Alipolazimisha 2nd term, kibali chake kikafutwa Magufuli alikuwa na kibali kikafutwa! Rais ni kibali, anajitambua? Je, tumsaidie atimize matakwa ya kibali chake ili kisifutwe, au tumuachie mwenyewe?

Mwisho Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

P
Toa ushahidi jinsi mungu alivyomuweka mwehu yule kuwa rais,waliowaambia mamlaka inatoka kwa mungu waliwaweza sana watu msio na brains kama wewe,mungu anaweka mahayawani?
 
Kama huna chuki na shetani , basi nawe utakuwa ni shetani
Chuki ni hisi na hisia huwa na sababu zake, huwezi kusema tu mie namchukia shetani kisa tu shetani ni adui kiimani.
 
There is always a say that survival of the fittest. Actually jpm was not a presidential material and this made him be like a monster because he did not not know where to start and where to end.
What about your father? Is/ Was he?
 
Ila pamoja na hayo bado utawala wake ulikubalika kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na utawala wa sasa ambao haudhulumu.
CRiteria ya kukubalika sjajua ni ipi, lakini kama ni majengo na miundombinu mingine nayeye kaifanya --- kutesa wapinzani wote wametesa, hawa wanaofanya kutomkubali lakini walimkubali yule mwingine --- wanakua wazushi mkuu,
 
CRiteria ya kukubalika sjajua ni ipi, lakini kama ni majengo na miundombinu mingine nayeye kaifanya --- kutesa wapinzani wote wametesa, hawa wanaofanya kutomkubali lakini walimkubali yule mwingine --- wanakua wazushi mkuu,
Ni kweli wengi hawajui ni kipi ambacho kimefanya watu wamkubali Jiwe, majengo na miundombinu sio sababu za kukubalika Jiwe maana hayo pia yapo na yatasifiwa kuliko wakati mwengine wowote.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Ni kweli wengi hawajui ni kipi ambacho kimefanya watu wamkubali Jiwe, majengo na miundombinu sio sababu za kukubalika Jiwe maana hayo pia yapo na yatasifiwa kuliko wakati mwengine wowote.
DHana kwamba Magu wamemuua + Rais mwanamama wa kizenji


Hayo mawili mimi ndo naona sababu
 
Samia kaniondolea unyonge uliotengenezwa na jpm
F_6Spo4WUAABhtm.jpeg


Watanzania wanyonge
 
Back
Top Bottom