Natafuta mume

Natafuta mume

Mungu akujalie mume mwema,dini imeninyimia mke
 
Yaani kiswahili chenu kinanishinda kweli, sasa hapo unaelewa nini...kijana anakuja, "ooh faza mi sielewi, nifosie mazingira basi". Sisi wazee tunapata shida sana.
Mfosie mazingira, maana yake umtoe faza 😁
 
Njoo pm tuyajenge mama vigezo ninavyo nawe unavyo Alahamdulilah
 
Habari, mimi ni binti nina miaka 25 natafuta mume wa kumpenda na kumuheshimu sifa kuu awe na hofu ya mungu (dini Muslim) na mpambanaji anayetambua wajibu wake kama mwanaume.

Muonekano wangu ni mzur wa kawaida, urefu 155cm na mwili wangu wa wastani 50kg, ninajishughulisha na ufundi cherehani na ufumaji pia na pia najiendeleza na stashahada.

Asanteni
Kwahiyo nikileta cherehani yangu mbovu unatengeneza?
 
Mi Kafir ila pea mbili za Kobazi, vipi siruhusiwi kutuma maombi?
 
Habari, mimi ni binti nina miaka 25 natafuta mume wa kumpenda na kumuheshimu sifa kuu awe na hofu ya mungu (dini Muslim) na mpambanaji anayetambua wajibu wake kama mwanaume.

Muonekano wangu ni mzur wa kawaida, urefu 155cm na mwili wangu wa wastani 50kg, ninajishughulisha na ufundi cherehani na ufumaji pia na pia najiendeleza na stashahada.

Asanteni
Nipo tayari nicheck tuyajenge
 
Habari, mimi ni binti nina miaka 25 natafuta mume wa kumpenda na kumuheshimu sifa kuu awe na hofu ya mungu (dini Muslim) na mpambanaji anayetambua wajibu wake kama mwanaume.

Muonekano wangu ni mzur wa kawaida, urefu 155cm na mwili wangu wa wastani 50kg, ninajishughulisha na ufundi cherehani na ufumaji pia na pia najiendeleza na stashahada.
Umepata mume?
 
Habari, mimi ni binti nina miaka 25 natafuta mume wa kumpenda na kumuheshimu sifa kuu awe na hofu ya mungu (dini Muslim) na mpambanaji anayetambua wajibu wake kama mwanaume.

Muonekano wangu ni mzur wa kawaida, urefu 155cm na mwili wangu wa wastani 50kg, ninajishughulisha na ufundi cherehani na ufumaji pia na pia najiendeleza na stashahada.

Asanteni
wewe ni mzanzibar? Maana watu wa hiyo pande ni wana ndoa na uislamu yaani ubaguzi kama wote utadhani wao ni waarabu!
 
Habari, mimi ni binti nina miaka 25 natafuta mume wa kumpenda na kumuheshimu sifa kuu awe na hofu ya mungu (dini Muslim) na mpambanaji anayetambua wajibu wake kama mwanaume.

Muonekano wangu ni mzur wa kawaida, urefu 155cm na mwili wangu wa wastani 50kg, ninajishughulisha na ufundi cherehani na ufumaji pia na pia najiendeleza na stashahada.

Asanteni
Njoo inbox
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom