huu ni upuuzi kabisa kutoza sh.10000 maana makosa walifanya wao tangu mwanzo.km nia njema kwanini isiwe bure tu maana unaponunua pkpk mpya hayo unakua umelipia halafu tena kwenye kubadili unalipia tena huko ni kukosa ubunifu kwa serikali ya ccm wanataka kupiga hela ki-aina! tena ni uonevu na...
Mwalimu mwenye shahada ya kwanza akiajiriwa shule ya sekondari huitwa AFISA ELIMU DARAJA LA PILI na huanzia na ngazi ya TGTSD sh. 532000= wakati kiwango hichohicho cha elimu akiajiriwa ktk chuo cha ualimu huitwa MKUFUNZI na huanza na mshahara wa TGTSE sh.740000= Je, serikali sikivu ya CCM...
Hebu pitia takwimu fupi za CHADEMA
MWAKA1995 tulishinda Wabunge 4, madiwani 42.
Mwaka2000, tulishinda wabunge 5 madiwani 75.
Mwaka 2005 Wabunge 11 madiwani 103"
Mwaka 2010 Wabunge 48, Madiwani. 467.
itakua vp 2015 kama si kwenda IKULU? Mchango wako ni muhim sn kufanikisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.